Markberry1555
Senior Member
- Jan 6, 2019
- 147
- 164
We willDuh, amekuwa maarufu tangu 1983 na filamu 2006? Kuwa 2006 ndio filamu ya kwanza au?
W Rwewc dvdwdrt wdzrJapo na mimi siikumbuki jina vizuri Ila nahis itakuwa inaitwa The boss ..mm nilikuwa nazitazam miaka ya 2005/2010
L.T.O return of the Chen zhenNamkubali sana Donnie yen aisee, kuna movie zake nyingine hujaweka hapo sikumbuki vizuri jina ila ni kama pros sijui, anatoka kupigana vita anarudi China na kua mfanyakazi wa hotel,
Though katika IP Man zote napenda sana namba 2 & 3
Tiger cage hii movie inaitwaMovie ya kwanza kuiona ya don ulikuwa ni mwaka 96 nimeisahau jina ila kwa wakati ule ilikuwa ni movie Kali Sana
Kuna scene yupo na demu 1 hivi anaye tafutwa kwa tuhuma za mauaji ya bf wake wakati siye yeye aliye muua huyo bf wake
Ghafla wana kutana na makachero wanao watafuta ikabidi don aanze kuwapa kichapo .. Kuna sehemu demu wakati ana msaidia don alichukua kasha la kuhifadhia. Maua ili ampige nalo jambazi ghafla katika kasha hilo akatokea mjusi ikabidi limponyoke lika mdondokea don kichwani aka zimia
Filamu za kwanza zipo nyingi mfano in the line of duty, Tiger cage za mda sana hii movie miaka ya 90Duh, amekuwa maarufu tangu 1983 na filamu 2006? Kuwa 2006 ndio filamu ya kwanza au?
We unaisema the wolf au the new big boss . Ambayo ni ya porin Sana.Japo na mimi siikumbuki jina vizuri Ila nahis itakuwa inaitwa The boss ..mm nilikuwa nazitazam miaka ya 2005/2010
Ya Garry Daniel inaitwa blood moon tu. Si blood in the moonhizi blood in the mood zitakua mbili nini? Me naijua ile ya Garry Daniel
The new big boss aka The legend of the wolf Kuna scene ya kula utamu mzee .Uzuri wa movie zake mnaangalia family nzima .
In the line of Duty 4 mbona haujaitaja hapa?Mcheza filamu huyu alianza kuwa maarufu miaka ya 1983 mpaka sasa ameshafanya filamu kama Dragon Cage (2006), Special ID (2013) Ice Man (2014), Kung Fu Jungle (2014), Flash Point (2007) na hii filamu maarufu ya IP MAN zilizotoka kuanzia mwaka 2010 na ya mwisho imetoka mwaka huu inaitwa IPMAN4 ipo sokoni.
Hebu nitajie movie zake nzuri nzuri nidownload leoHajawahi haribu.. ahsante mleta Uzi.
Sasa Rambo lile zeee halijui ngumi, utafananisha na Damme mzee wa round kick?Natamani siku Rambo na VanDame wafanye featuring kwenye movie zao. Rambo hacheki na mtu, Dame mzee wa totoz.
Huyo muvi ya Chen zhen naielewa ile mbaya ikifuatiwa na IP man sehemu ya kwanza.Hi
Unaitwa Legend of the Fist: Return of Chen Zhen
Hiyo muvi kitambo sana kibanda umiza nilikuwa naikubali ile mbaya .Movie ya kwanza kuiona ya don ulikuwa ni mwaka 96 nimeisahau jina ila kwa wakati ule ilikuwa ni movie Kali Sana
Kuna scene yupo na demu 1 hivi anaye tafutwa kwa tuhuma za mauaji ya bf wake wakati siye yeye aliye muua huyo bf wake
Ghafla wana kutana na makachero wanao watafuta ikabidi don aanze kuwapa kichapo .. Kuna sehemu demu wakati ana msaidia don alichukua kasha la kuhifadhia. Maua ili ampige nalo jambazi ghafla katika kasha hilo akatokea mjusi ikabidi limponyoke lika mdondokea don kichwani aka zimia
download IP MAN kuna ya 1-4Hebu nitajie movie zake nzuri nzuri nidownload leo
Huyu simjui
πππ nilikuwaga na kimbilia kufagia kibanda umiza ili nipate kuingia kutazama movie bureHiyo muvi kitambo sana kibanda umiza nilikuwa naikubali ile mbaya .