Huyo naye unaujua umri wake?
Umejuaje yuko over 40?
I am asking you.
So why are you telling me to do my homework?
We ain't in junior high up in here.
If you know, say so and how. If you don't, zip it.
Wema alishauharibu mwili wake na mikorogo na fake chinese booty.
Hawezi kufika umri huo wa Linda akawa na mvuto kama wa Linda sahau hilo kabisa.
Hawa wenzake ni ma-Africast ni rangi zao za kuzaliwa wamezaliwa na rangi za masiah na siyo powered by mkorogo.
Inaweza mwanzo alikua hvyo lakini sasa anaweza badilika sababu ya kunogewa na diamond
miss you too binamu, zari ndo habare ya mujini... kweli hakuna marefu yasiyokuwa na ncha... wapi Dinazarde na Mrembo by Nature.
Umejuaje Zari ana miaka 40?
Kwanza kimantiki nimeleta picha za Linda kuonesha wazi umri siyo ulemavu watu wengi humu wanatamani Zari angetambulishwa ana miaka 22 ili dogo asionekane amepigwa gap kubwa la umri na Zari.
Ukweli ni kwamba Zari ni girlfriend tu wa Diamond having and spending together days of grace lakini hawezi kuwa mkewe huo ndio ukweli.
Kwahiyo hata Zari angekuwa na miaka 60 those are just numbers wapo mademu wana miaka 25 tu na wameshazeeka hata mimi pia siwezi kutoka nao.
Kwahiyo fact ni kwamba umri wa Zari haupunguzi uzuri wake au uzuri wake hauwezi kupunguza umri wake.
Mwisho kwa status ya Zari umri wake wala siyo siri sawa na Diamond mwaka jana kafanya birthday ya kutimiza miaka 25 lakini kujuwa umri wa Diamond haina maana kwanba sisi ndio wazazi wake.
Huyu hapa alishirikiana na wazazi wake kudanganya umri lakini alibanwa na fact na wazazi waliomzaa walishindwa hoja na watu baki ambao hawajamzaa wala kumlea.
Mkuu huyu mwana mama namtamani kila siku..ukisikia mwanamke ndio hivyo...
Nasubiria nimuone wema akifikisha umri wa huyo mama jinsi atakavyokuwa
Nimesoma Ivan ana miaka 30 another serengeti boy wa Zari.
Hilo swala la Rangi nakubaliana na wewe...ila huyo Linda mkuu bado sana kisu...utafikiri hana 43yrs.
Dua la kuku hili, unafahamu asset za huyu mwanamke?
Huyu akitimiza malengo yake ambayo anayajuwa mwenyewe ni yeye mwenyewe ndio atakayempiga chini potter wake.
Kwa hyo unaamansha zari kafata ukuni kwa diamond au kavutiwa na kutaka kuolewa na daimond
Linda ana mwili mzuri sana by the way amespend nusu ya maisha yake mamtoni.
Kuna wadogo zake wa kiume ukiwaangalia utajuwa wao ndio wakubwa kiumri. Huyu mtoto mashaalah umbaji wa mola hapa unaonekana.
Serengeti boy au ndo alikua akimuweka mjini zari?
We have to Show him some respect dude bila Ivan tusingemjua huyu mtoto mzuri aisee
Siju ndomo angekua ananyonya pusi ipi muda huu
Uzuri wa Zari yeye viserengeti havinunui yeye ndio anachuna kwahiyo huyu mama yuko very strategy kwa hili hana mpinzani na yawezekana Diamond hakumtongoza huyu shori ila demu ndio aliweka nyavu yake Diamond akajikuta ameshanasa.
Nimeangalia sana spy movie wanawake aina ya Zari ni hatari sana wana uwezo wa kumnasa mwanamme yeyote ambaye atamtamtarget na akishakamilisha mishion yake anakudampo tu. Naomba asiwe hivyo anamtumia mdogo wetu kwa hidden agenda iwe wapo kimapenzi kweli.
Hakika huyu kiumbe ni moja ya viumbe ambao Mungu alipoteza muda mwingi sana kuwaumba
Dah I wish........................
Atanitangaza kila media za mtoni aisee
Hakika huyu kiumbe ni moja ya viumbe ambao Mungu alipoteza muda mwingi sana kuwaumba
Dah I wish ule uzima Wa milele nipate
Akifanya hilo kosa la kunitunuku i promise u atanitangaza kila media za mtoni aisee
No wonder ndio maana alikuwa anakula vichwa first class vya mjini with VIP status.
Nadhani haya ni matoleo ya mwisho ya uumbaji wa Allah.