Mfahamu Mateso, mtu mwema wa Msasani aliyeuawa kwenye tukio la ujambazi Mikocheni jirani na Coca-Cola

Wanapenda vitu vzri Kwa haraka hao

Ova
 
Wauaji ukaa ukaa viti vya mbele kanisani.Hakuna watu wenye roho nzuri na wema kwa Jamii Kama wachawi na majambazi.Kwa wema Hawa wanaenda mbinguni
 
angekuwa mwanacha wa CCM asinge uwawa

 
"Mfahamu Mateso, mtu mwema wa Msasani aliyeuwawa kwenye tukio la ujambazi Mikocheni jirani na Coca-Cola"

Hii heading ni kama vile mateso hakuwa jambazi, alikuwa mtu mwema aliyeuwawa kimakosa.
Hahahaha, wakabaji wa msasani hao niliwaacha watoto Leo hadi JF wanandikwa khaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu naomba kukuuliza unamfaham Eliza nyawale mwisho kumuona year 2000 na wakati huo alikuwa girlfriend a huyu mateso na eliza naye wa mbozi
 
Chanzo jina utamwitaje mtoto mateso sijui shida waswahili bana R.I.P
 
Sawa sawa ila watu wa msasani waajabu sana ,wana MTU anaitwa Kombo jamaa anatembeza sime na panga daily ,lkn wanamuacha tu

Nasubiri na yy wamuanzishie uzi

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukingilia Mali za watu/serikali utakutana na polisi
Siku moja
Ukiwa mkabaji mporaji wa raia iko siku utakutana na raia washashi[emoji23][emoji23]

Ova
 
Du we bwana ni FBI?
 
Kama umefika Kidato cha 2, na umesoma somo la Kiswahili, mbona inaeleweka muandishi ana maana gani kwa kutumia kichwa hicho cha habari..
 
Mhhhh Chadema wameungika hapa kumbe hata watu wasiojulikana wanaweza kuwa wamo kwenye chama chetu kutupatia points woow
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…