Mfahamu Mateso, mtu mwema wa Msasani aliyeuawa kwenye tukio la ujambazi Mikocheni jirani na Coca-Cola

Mfahamu Mateso, mtu mwema wa Msasani aliyeuawa kwenye tukio la ujambazi Mikocheni jirani na Coca-Cola

Sisi wa Mbezi kwa Msuguri hatuna watu wa matukio?
 
Ndie aliyekufumua marinda kumbe, ndio maana bado unamkumbuka maskini,

Pole kwa kufiwa na mume.
[emoji17][emoji20]
Halafu wewe una jinsia mbili, eti ehh... Maana sio kwa rangi hizo
 
Pia kuna shoga anaitwa Mawazo, mchafu balaa, sujui hata wanaomgonga hawaoni kinyaa?
Duh yupo hyo shoga bado
Kuna siku nlikuwa pale kwa mzee daudi opp na general Tyre, alipita akawa anazingua mzee daudi kdg amkate makofi basi akatoka nduki

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
Huyo atakuwa ni kibaka tuu,wale wanaokuta viatu,nguo wanabeba.Lakini siyo mwamba kama miamba tuliyowahi kuishuhudia.Na ndiyo maana amepotea kindezi kweli kweli,unapanga deal na mlinzi kweli?.Pole sana kwa Mke wa Mateso amempoteza HB wake,mwenye six pack
 
Umetuchafulia maeneo yetu bure story ya mwaka gani hiyo?
 
Kuna Vijana wanatokea Mikumi- Moro, inasemekana nao walikuwa Kwenye tukio la kupigwa risasi Cocacola. R.I.P
 
Hahahaha, msasani wamepinda kule , kuna hadi kambi ya wahaya
Wale wanalindwa na CHAMA CHA MAPINDUZI. Kuna Mwenyekiti mpya amechaguliwa uchaguzi was mwaka Jana anaitwa Lucca, alitaka kuwahamisha, CCM walimjia juu kinoma, wakamwambia Bora wewe u step down kuliko kuwa disturb Hawa watendakazi. Lucca akawa mpole
 
Kuna Vijana wanatokea Mikumi- Moro, inasemekana nao walikuwa Kwenye tukio la kupigwa risasi Cocacola. R.I.P
Mateso ana network kubwa, pia alijihusisha na utekaji magari maeneo ya Ngerengere akishirikiana na wajeda. Msanga Mwelu na Manyoni
 
Hata mtaani kwetu wanahisigi Mimi ni spy, lakini engineer jidula nakwambia kweli, hata nikihamia mtaani kwako Ununio Beach watasema hivyohivyo. Hata nikianza kusali KkKT Mbezi Beach watasema hivyo pia
Mkuu kipindi cha uchaguzi hiki.
Sasa nipo Ilemela Mwanza, nikimalizana nao huku narudi kwangu Bonyokwa.
Kodi za nyumba huko Ununio noma!
 
Wale wanalindwa na CHAMA CHA MAPINDUZI. Kuna Mwenyekiti mpya amechaguliwa uchaguzi was mwaka Jana anaitwa Lucca, alitaka kuwahamisha, CCM walimjia juu kinoma, wakamwambia Bora wewe u step down kuliko kuwa disturb Hawa watendakazi. Lucca akawa mpole
Hahahaha
 
Kuna majambazi maarufu wengi sana wanaotokea ukanda wa mbeya-Tunduma sababu ninini??
 
Back
Top Bottom