Mateso simjui hanijui..ila anaonekana alikua anafanya ujambazi local sana, na wa kizamani mno. 1.5 kwa mlinzi wa GSM its a peanut. Vitz wakati wa tukio ni wake up call!
Mateso kafa inaonekana kataja vibaka tu hakuna jambazi mwelewa atafanya kazi na mtu wa kariba ya mateso....
All in all, anifurahisha kuwa mtu wa watu na kada wa CHADEMA Ilikua inamuondolea suspicions. Pia inaonekana alikua family man.
Wangemueleza sku hz watu hawaibi na magari, its too risk. Kungekua na piki piki baadhi wangepona nd live to tell the Tale but now, Dead Men tell no Tale.
RIP Mateso, only GOD can judge you!