Mfahamu "Mkandala Rufufu" mzee wa kukotola

alikuwa akinikosha akiigiza sauti ya kike, amkumbuka kwenye movie la titanic
 
alikuwa anafanya makosa sema nchi yetu huwa haifuatilii mambo ya hati miliki za kisanii
Huwezi tafsiri kitabu au picha ya senema yeyote bila idhini ya mtunzi.
 
Akapigwa mpaka akasumbagila[emoji1787][emoji1787][emoji1787] nilikuwa napenda akiigiza sauti ya mwanamke au ya mtoto huyu jamaa ni legendary
 
Kama hukumuelewa Rufufu ata shule ulikuwa mzito[emoji1787][emoji1787]
 
Pale Kona la kwenda magenge ishilini, upande wa kulia ni kwa limonga, mbele Kuna baa ya mamboto ukiendelea mbele ni kwa serenge dah , we mkali
 
Mtafute Dj Afro alafu ulete mrejesho
"Naitwa captain Gaspar Derrick Mkandala a.k.a Rufufuuuuu"

Jamaa alikuwa mwongo sana Ila alijua kucheza na maneno Hadi muvi unaiona tamu

Lkn kwangu DJ Mark Mzee wa acheche production namkubali zaidi
 
Eeeeh kwa majina mi ni kaparo, hahahahahaaa.

Utacheka sana mpka usahau mbavu zako upate movie ya Jackie Chan imetiwa maneno na huyo dj.
Dj Afro amigos...

Mzee wa kulya mundu, makagari, saitung'i...

Kitambo sana niliwahi tazama muvi za huyu Mkenya,,,,,ni Comedy sana..
 
Majambaka jaz band halafu mkubwa wa bendi alikua na pua kubwa Kama engine ya boti
 
"Naitwa captain Gaspar Derrick Mkandala a.k.a Rufufuuuuu"

Jamaa alikuwa mwongo sana Ila alijua kucheza na maneno Hadi muvi unaiona tamu

Lkn kwangu DJ Mark Mzee wa acheche production namkubali zaidi
Dj Mark ndio mkali wao kwangu
 
Pale Kona la kwenda magenge ishilini, upande wa kulia ni kwa limonga, mbele Kuna baa ya mamboto ukiendelea mbele ni kwa serenge dah , we mkali

Hahaha mm nilikuwa nakaa mitaa ya kwa manganya magengeni kulikuwa na baa ya fusi jirani yetu...kwahiyo ile kona ya magenge 20 nilikuwa sifiki napita njia ile ya makaburini katikati zamani sana
 
Wapeeeeenzi watazamaji ndugu zangu wapendwaa

Kwa mara nyingine tena mkandala lufufu library iliyoopo Yombo kwa limboa inawaletea movie kali kabisa ya deadly pray

Imetafsiriwa na captain Gasper Mkandala lufufuuuuuu wako mabameja
Umempatia sanaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…