Rwankomezi
JF-Expert Member
- Sep 5, 2013
- 3,285
- 2,636
Utaskia Lufufuuuu afu anamalizia Nkorombo Wajeba
Mzee wa mfumfulizo kwny six comando
Shankomela-kupiga sarakasi
Kinumbu au viazi ndio mabomu
Kumiminia mwanyu kupiga risasi
Afu alikua mtu akikabwa unaskia puupuuu eti ushuz π
Mguu wa Bata/ wakuku- bastora
Kupata Kanyamazongo- kizunguzungu
Aliniburudisha saana utotoni, mpaka Leo hii nasema bila kificho bado wa kuziba pengo lake.
Akaenda kujisongobeka kwenye gari aina ya mfukunyu Mfukunyuuu ni magari yanayobeba silaha nzito nzito......#Ngoja nikasubale kwanzaHaya ni baadhi ya maneno yake ninayotakumbuka enzi anatafsiri
" akamweka kwenye kanyampasila"
"Na picha letu linaisha hapa, sterling wetu anapanda gari Aina ya chai maharage na kutokomea zake kusikojulikana"
Rufufu alikuwa anatafsiri picha Hadi kuna maneno ukisikia unajua kbs hii ni chai,Ila tulipokuwa na kujua kiingereza Kish atukazirudia zile picha tunakuja kugundua kwamba kweli zile tafsiri za rufufu zilikuwa ni chaiπ π
Hii muvi ni ya kitambo ila niliipenda sana!Katika Maadui ambao alkuwa anampatia sana ni Carlos Bill Drago alvyokuwa anamuigiza anavyoongea kiteja
daah kumbe ni kama akili akiliMtu mzima unaanzaje kuangalia movie iliotafsiriwa kwa kuingiza sauti? Hizo movie huwa naona hazina tofauti na katuni za watoto za akina Kibena.
FundiAnaitwa Kapteni Gaspa Derrick Mkandala Lufufu, halafu mbele hapo kuna maneno ya kihaya alipenda kuyaweka Mnaokumbuka vyema Mtatukumbusha.
Baada ya kustaafu kazi ya Jeshi Lufufu aliamua kuanza kutafsiri picha (Movie) za kizungu nk. kwa Kiswahili, jina lake likawa maarufu hapa Nchini Tanzania huku akiwa mtu wa kwanza kabisa kuingiza maneno ya kiswahili kwenye mikanda ya video VHS.
Huyu muasisi wa MaDj wote unaowaona wanatamba hivi sasa alifariki Mwaka 2015 na kuzikwa Moshi Mkoani Kilimanjaro. Baba yake alikuwa Mchaga na mama yake alikuwa Mhaya.
Alikuwa akinogesha movie kwa maneno yake ambayo hatuyajui maana yake mpaka leo ila wapenzi watazamaji walimwelewa.
"Eeeee Tujuane wale wote wa vibanda umiza kipindi kileee tulio kuwa tukirudi tunafikia kwenye kichapo na maji ya baridi juu. watoto wa getini mtupishe kidogo "
Unaikumbuka muvi ipi kutoka kwa huyu mkali....View attachment 2242541
Muongo sana...utoke kwa wasomi utaishije mjini bila maneno maneno mengi? π π π π"Naitwa captain Gaspar Derrick Mkandala a.k.a Rufufuuuuu"
Jamaa alikuwa mwongo sana Ila alijua kucheza na maneno Hadi muvi unaiona tamu
Lkn kwangu DJ Mark Mzee wa acheche production namkubali zaidi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Majambaka jaz band halafu mkubwa wa bendi alikua na pua kubwa Kama engine ya boti
Hayo maneno unayoyasema ni Mkandara lufulu "lukoma abambeija" maneno mengi aliyokuwa akitumia yalikuwa ni ya kihaya mfanoAnaitwa Kapteni Gaspa Derrick Mkandala Lufufu, halafu mbele hapo kuna maneno ya kihaya alipenda kuyaweka Mnaokumbuka vyema Mtatukumbusha.
Baada ya kustaafu kazi ya Jeshi Lufufu aliamua kuanza kutafsiri picha (Movie) za kizungu nk. kwa Kiswahili, jina lake likawa maarufu hapa Nchini Tanzania huku akiwa mtu wa kwanza kabisa kuingiza maneno ya kiswahili kwenye mikanda ya video VHS.
Huyu muasisi wa MaDj wote unaowaona wanatamba hivi sasa alifariki Mwaka 2015 na kuzikwa Moshi Mkoani Kilimanjaro. Baba yake alikuwa Mchaga na mama yake alikuwa Mhaya.
Alikuwa akinogesha movie kwa maneno yake ambayo hatuyajui maana yake mpaka leo ila wapenzi watazamaji walimwelewa.
"Eeeee Tujuane wale wote wa vibanda umiza kipindi kileee tulio kuwa tukirudi tunafikia kwenye kichapo na maji ya baridi juu. watoto wa getini mtupishe kidogo "
Unaikumbuka muvi ipi kutoka kwa huyu mkali....View attachment 2242541
Nna movies 3 alizo tafsiri huyu bwana mkubwa muda wowote nikimiss sauti yake natizamaApumzike kwa amani, hakuna kama rufufu, moja ya watu walinogesha maisha yangu ya utotoni ni rufufu mkandala.
Zipi hizo?Nna movies 3 alizo tafsiri huyu bwana mkubwa muda wowote nikimiss sauti yake natizama
Ni miiiiiiiiiiimiiiiiii rufufu Mkandala rukoma abambeijaππππ. Nlikuwa napendaga sana hapoZipi hizo?
Sijawahi ona movie kaimgiza sauti huyu muhuni halafu ikawa mbovu, hana kazi mbovu.