Mfahamu Mtawala wa Dubai, Sheikh Maktoum

Unafikiri shule na hospitali alizojenga mkoloni ilikua kwa kuwa anakupenda wewe nyani!?...au kueneza dini yake ili ujione unafanana naye afanikishe ajenda zake!?..bogus!!
 
Mkuu nitajie jina la Parokia/Kigango unaposali ili iwe rahisi
 
Huwezi kutenganisha Abu Dhabi na Dubai.

Abu Dhabi ni Mji Mkuu wa kiutawala wa UAE, na Dubai ni Mji Mkuu wa kibiashara wa UAE.

Ni kawaida sana Abu Dhabi kuwekeza Dubai.

Abu Dhabi na Dubai kila moja ni Emirates katika nchi moja ya UAE. Dubai sio nchi, wala Abu Dhabi sio nchi.

Emirates saba ndio zinatengeneza nchi ya UAE ambazo ni Abu Dhabi (the capital), Dubai, Sharjah, Ajman, Fujairah, Ras Al Khaimah, na Umm Al Quwain
 
Kipind Mchonga anakabidhiwa mamlaka alikua na uwezo wa kuyafanya haya


Lkn kwa bakhti mbaya alitumia nguvu kubwa kujijenga kimamlaka kuliko kujenga miundombinu ili tustaw kiuchum


Na ndio maana asilimia kubwa ya shule,mashirika,mahospital mengi yalijengwa kipind cha mkolon yey aliyarith tu na baadh ya mashirika alishindwa kuyaendesha kwa faida yakawa yanajiendesha kwa hasara
 
Mwanamapinduzi Magufuli alidhihakiwa na kuitwa dikteta ila kama angekuwa na akili za kipuuzi kama za huyu wa Awamu ya 6 ungekuta mpaka sasa nchi imebakiwa na Jina tu.
Watu hawawezi kuwa na akili na mawazo mgando kama yenu kila siku, wana namna yao ya kufanikisha mambo pia....acheni ushamba na upumbavu wenu huo.
 

Acha unafiki mvaa kobazi. Mwaka wa 1961 nchi inapata uhuru kulikuwa na dimbwi kubwa la njaa, magonjwa na umasikini miaka hio. Kwa nguvu kazi ipi iliyokuwepo ya kufanya maendeleo hayo? Nchi ilikuwa imetawaliwa kwa ujinga na umasikini ndio ulitaka iwe kama Emirates za Dubai!! You’re moron broo. Asilimia 99.9% ya watu hawakuwa wasomi afu unaibuka na maujinga kichwani eti mchonga alikuwa ana nafasi ya kuyafanya hayo, kwa kipi na kwa nyenzo gani. Tumeachiwa mashirika kibao kama mashule na mahospital mpaka leo yapo mengine kadri ya mabadiliko ya mda na teknolojia basi yalishafungwa au kufa. Leo ni miaka mingi sana imepita tangu tupate uhuru Mbona hatujawa kama hao emirates?. Mchonga alifanya kazi kubwa sana enzi hizo acha uzwazwa.
 
Watu hawawezi kuwa na akili na mawazo mgando kama yenu kila siku, wana namna yao ya kufanikisha mambo pia....acheni ushamba na upumbavu wetu huo.
Mshamba ni wewe. Siku zote watu wenye akili fupi huwaza kuuza rasilimali badala ya kuzitumia kujiletea maendeleo.

Hio ni common kwa watu wa Pwani zaidi. Hupenda sherehe zaidi na hafla ila sio kuchapa kazi.
 
Hehehe
Pesa ni nyenzo ya kufunika tabia za kishetani
 
Mshamba ni wewe. Siku zote watu wenye akili fupi huwaza kuuza rasilimali badala ya kuzitumia kujiletea maendeleo.

Hio ni common kwa watu wa Pwani zaidi. Hupenda sherehe zaidi na hafla ila sio kuchapa kazi
Mkuu hizo ni myths za miaka ya 1880s, zitakupoteza.
 
Tutajengewa misikiti ya kutosha maana ndio misaada ya mwarabu baada ya kupata faida . Kifungu Cha Co oparate social responsibility
Si bora huyo anayewajengea misikiti kuliko anayewapa misaada halafu anawalazimisha mfumuane malinda,unapigwa mkwala kua usipoikubali LGBTQ tunakata misaada,

Kingine msaada ni hiari na sio lazima,mtoa msaada husaidia kwenye eneo analoamua yeye,huwezi kumpangia mtu matumizi ya hela zake.
 
Umekaa kinafki tu!!..huyo sheikh mkewe alitaka talaka kisa sheikh haonekani nyumbani mambo mengi ya kufanya,hiyo hela ya ndani anayofungia Binti zake Ina walinzi wangapi!?
Hako kadada hua kana comment negative tu almost kwenye kila jambo,bila shaka kanapitia maisha magumu sana huko kalipo.
 
Hehehe
Pesa ni nyenzo ya kufunika tabia za kishetani
Ila Princess Haya alimkomesha huyu mzee,alitoroka akaenda London na wanae wawili.Akafungua kesi,sasa mzee analipa child support ,Haya alikuwa anatembea na Mlinzi.Naona mzee shughuli ya kitandani haiwezi .
 
Ukimtoa yeye anakuja kijana wake first born wake ni hatari dogo hajui shida bora baba yake na babu yake walipitia msoto
Crown prince ni Hamdan bin Mohammed Al maktoum,kuna mtoto mwingine wakiume wa huyu mtawala wa Dubai alifariki miaka ya hivi karibuni,

Huyu crown prince hata yeye ni tajiri tayari na ana makampuni makubwa tu huko Dubai.
 
Pongezi nyingi kwake Shehe Al Maktoum. Nimewahi kufika Dubai mara 3 Ila kila nikifika nakuta kitu kipya. Kama Dubai wameweza kubadili jangwa kuwa mji wa kibiashara na utalii sisi hapa tuna mbuga, bandari, madini. Tunashindwa wapi?
Sisi tumesomeshwa ujinga na wajerumani na Waingereza.

Kila kizuri tunaona ni cha "kizungu".
 
Tulieni sasa sindano iwaingie kapewa Bandari zote Za Tanganyika na anasuria kupewa SGR, ATCL na Ngorongoro crater
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…