Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Haibadilishi matokeo moto unaopelekewa na maish sio poaYote sawa ila lile hayanwani la Chato liache liendelee kuungua na moto huko liliko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haibadilishi matokeo moto unaopelekewa na maish sio poaYote sawa ila lile hayanwani la Chato liache liendelee kuungua na moto huko liliko
Naomba kujua DUBAI ni nchi? Au ni jiji la biashara ndani ya nchi ya UAE.Dubai ni popular tu Ila hawana utajiri kama Abu Dhabi. Wakati fulani ilibidi Abu Dhabi amsaidie Dubai kufuatia gharama kubwa alizoingia Kwa lile jengo refu duniani (Burj Al Khalifa) maana Dubai nusura wafilisike. Na ndio maana jengo lile limeitwa kwa jina la Rais wa Zamani wa UAE na Mtawala wa Abu Dhabi Khalifa bin Zayed Al Nahyan.
Imani zingine ni za kufungia vitumbua tu.Wakoloni walijenga makanisa na kwako fresh tu...Ila mwarabu na misikiti yake inakutia hofu hata kunya unashindwa,utadhani utalazimishwa kuswali
Halafu wao kule wapo wachache,na hela za mafuta zimefanya kila familia ya mdubai kuwa tajiri.Sasa hapa Tanzania wafanyakazi watapunguzwa ndo itakuwa kilio.Subirini mtasikia tu.Dubai wanapunguza human contact Kwa kuweka mashine
Ni sawa unauliza,Zanzibar ni nchi au ni mji?Naomba kujua DUBAI ni nchi? Au ni jiji la biashara ndani ya nchi ya UAE.
na ABU DHABU NDO MJI MKUU WA NCHI YA UAE?
HEBU TUELEKEZE HAPA COZ ULIVYOAELEZEA HAPO NI KAMA DUBAI NA ABU DHABI NI SEHEMU MBILI TOFAUTI.
Maisha yako tambarare labda wewe ndiyo unaungua kwa vile unategemea Magufuli afufukeHaibadilishi matokeo moto unaopelekewa na maish sio poa
Kakata njia za rushwa.. nilimsikia dereva tax akisema.Pongezi nyingi kwake Shehe Al Maktoum. Nimewahi kufika Dubai mara 3 Ila kila nikifika nakuta kitu kipya. Kama Dubai wameweza kubadili jangwa kuwa mji wa kibiashara na utalii sisi hapa tuna mbuga, bandari, madini. Tunashindwa wapi?
Abu Dhabi Ni mji/Emirati Vs Dubai ni mji/EmiratiNaomba kujua DUBAI ni nchi? Au ni jiji la biashara ndani ya nchi ya UAE.
na ABU DHABU NDO MJI MKUU WA NCHI YA UAE?
HEBU TUELEKEZE HAPA COZ ULIVYOAELEZEA HAPO NI KAMA DUBAI NA ABU DHABI NI SEHEMU MBILI TOFAUTI.
Na sasa anakuja kukugeuza kiuchumiSheikh Mohammed bin Rashid Al Maktoum (73) ndie Mtawala wa Dubai na pia Ni Makamu wa Rais, Waziri Mkuu na Waziri wa Ulinzi wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE).
Ndie aliyefanya mageuzi makubwa kwenye Emirati ya Dubai kutoka jangwa mpaka Sasa mji maarufu na kuvutia watalii toka pande zote za dunia.
Anatajwa Kama tajiri duniani aliyefanikiwa katika biashara ya "real estate"
Pia, Ni mwandishi wa vitabu kadhaa ikiwemo Flashes of thoughts. Tofauti na watawala wengi wa Afrika ambao hata kuandika Pamphlet tu Ni issue
NB: Picha Kwa hisani ya Square yards.
View attachment 2653231
Hapana ni vitu viwili tofauti. DUBAI NI kama Dar es SalamNi sawa unauliza,Zanzibar ni nchi au ni mji?
wameuza pwani yote kwa wachagaMshamba ni wewe. Siku zote watu wenye akili fupi huwaza kuuza rasilimali badala ya kuzitumia kujiletea maendeleo.
Hio ni common kwa watu wa Pwani zaidi. Hupenda sherehe zaidi na hafla ila sio kuchapa kazi.
Kwa akili yako ndogo umeona nomebadilisha magoli!?Baada ya kupigwa kwenye mbupu umeamua kubadilisha magoli, ili mradi tu uendeleze ubishani.
Cha Ajabu matajiri wote Nchi hii wanatoka Pwani/Kaskazini, mazao makubwa Nchi hii yanauzwa sana ni Korosho, Pamba, Chai, kahawa, Tumbaku na Karafuu, ukitoa Pamba na Tumbaku yaliyobakia yote yanatoka Ukanda huo, Kama korosho ndio linaongoza, Matrilioni Ya hela.Mshamba ni wewe. Siku zote watu wenye akili fupi huwaza kuuza rasilimali badala ya kuzitumia kujiletea maendeleo.
Hio ni common kwa watu wa Pwani zaidi. Hupenda sherehe zaidi na hafla ila sio kuchapa kazi.
Yupo sahihi Dubai ni Nchi, huo ni Muunganiko wa Nchi, Zimeungana miaka ya 70 hapo wala sio mbali, ndio Maana Dubai ina kiongozi wake kama ilivyo Zanzibar na Kiongozi wake.Hapana ni vitu viwili tofauti. DUBAI NI kama Dar es Salam
Abu dhabi ndo Dodoma.
Ni mji ndnai ya nchi ya UAE
Kafanya Makubwa ndio ila Yeye pia Dubai kaikuta, watu wengi wanalinganisha Dubai na Saudi ama Qatar ila Dubai iliendelea Zamani sana, hata kabla ya Mafuta ilikuwa ni Mji wa Biashara watu Dunia Nzima walikua wanafungasha Mizigo. Wahindi na wapersia walikuepo Dubai zamani sana.Nampa hongera.Alifanya kazi kubwa sana kuigeuza Dubai.huwezi amaini kama lilikuwa jangwa.Nadhani viongozi wetu wa kiafrika wangekuwa wanajifunza kwa wanamapinduzi wa kimaendeleo kama hawa.Sio kuishia na makesi kesi ya ufisadi baada ya kumaliza utawala
Pia licha ya yote hayo aligongewa na kuchapiwa mke wake kipenzi Haya bint Hussain binti wa aliyekuwa mfalme wa Jordan.Sheikh Mohammed bin Rashid Al Maktoum (73) ndie Mtawala wa Dubai na pia Ni Makamu wa Rais, Waziri Mkuu na Waziri wa Ulinzi wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE).
Ndie aliyefanya mageuzi makubwa kwenye Emirati ya Dubai kutoka jangwa mpaka Sasa mji maarufu na kuvutia watalii toka pande zote za dunia.
Anatajwa Kama tajiri duniani aliyefanikiwa katika biashara ya "real estate"
Pia, Ni mwandishi wa vitabu kadhaa ikiwemo Flashes of thoughts. Tofauti na watawala wengi wa Afrika ambao hata kuandika Pamphlet tu Ni issue
NB: Picha Kwa hisani ya Square yards.
View attachment 2653231
Pongezi kwake,sema ni katili sana hadi mkewe anayeitwa Princess Haya alimkimbia .Princess Haya ni mtoto wa marehemu king Hussein wa Jordan. Pia huyu Sheikh ana tabia ya kuwatesa wanae wa kike na kuwafunga kifungo cha nyumbani.Binti yake ni mke wa Sheikh Mansoor mwenye Man City.
Ndio fani za watanzania ila mambo ya msingi Kama badnara ,madini hawakui lolote wapuuzi sanaMnazijua habari za familia za kiarabu kuliko hata resources zilizopo nchini kwenu na namna ya kuzibadili kuwa na faida kwenu kiuchumi.