Mfahamu Mtawala wa Dubai, Sheikh Maktoum

Mfahamu Mtawala wa Dubai, Sheikh Maktoum

Dubai ni popular tu Ila hawana utajiri kama Abu Dhabi. Wakati fulani ilibidi Abu Dhabi amsaidie Dubai kufuatia gharama kubwa alizoingia Kwa lile jengo refu duniani (Burj Al Khalifa) maana Dubai nusura wafilisike. Na ndio maana jengo lile limeitwa kwa jina la Rais wa Zamani wa UAE na Mtawala wa Abu Dhabi Khalifa bin Zayed Al Nahyan.
Naomba kujua DUBAI ni nchi? Au ni jiji la biashara ndani ya nchi ya UAE.
na ABU DHABU NDO MJI MKUU WA NCHI YA UAE?

HEBU TUELEKEZE HAPA COZ ULIVYOAELEZEA HAPO NI KAMA DUBAI NA ABU DHABI NI SEHEMU MBILI TOFAUTI.
 
Dubai wanapunguza human contact Kwa kuweka mashine
Halafu wao kule wapo wachache,na hela za mafuta zimefanya kila familia ya mdubai kuwa tajiri.Sasa hapa Tanzania wafanyakazi watapunguzwa ndo itakuwa kilio.Subirini mtasikia tu.
 
Naomba kujua DUBAI ni nchi? Au ni jiji la biashara ndani ya nchi ya UAE.
na ABU DHABU NDO MJI MKUU WA NCHI YA UAE?

HEBU TUELEKEZE HAPA COZ ULIVYOAELEZEA HAPO NI KAMA DUBAI NA ABU DHABI NI SEHEMU MBILI TOFAUTI.
Ni sawa unauliza,Zanzibar ni nchi au ni mji?
 
Pongezi nyingi kwake Shehe Al Maktoum. Nimewahi kufika Dubai mara 3 Ila kila nikifika nakuta kitu kipya. Kama Dubai wameweza kubadili jangwa kuwa mji wa kibiashara na utalii sisi hapa tuna mbuga, bandari, madini. Tunashindwa wapi?
Kakata njia za rushwa.. nilimsikia dereva tax akisema.
 
Naomba kujua DUBAI ni nchi? Au ni jiji la biashara ndani ya nchi ya UAE.
na ABU DHABU NDO MJI MKUU WA NCHI YA UAE?

HEBU TUELEKEZE HAPA COZ ULIVYOAELEZEA HAPO NI KAMA DUBAI NA ABU DHABI NI SEHEMU MBILI TOFAUTI.
Abu Dhabi Ni mji/Emirati Vs Dubai ni mji/Emirati
 
Sheikh Mohammed bin Rashid Al Maktoum (73) ndie Mtawala wa Dubai na pia Ni Makamu wa Rais, Waziri Mkuu na Waziri wa Ulinzi wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE).

Ndie aliyefanya mageuzi makubwa kwenye Emirati ya Dubai kutoka jangwa mpaka Sasa mji maarufu na kuvutia watalii toka pande zote za dunia.

Anatajwa Kama tajiri duniani aliyefanikiwa katika biashara ya "real estate"

Pia, Ni mwandishi wa vitabu kadhaa ikiwemo Flashes of thoughts. Tofauti na watawala wengi wa Afrika ambao hata kuandika Pamphlet tu Ni issue


NB: Picha Kwa hisani ya Square yards.

View attachment 2653231
Na sasa anakuja kukugeuza kiuchumi
 
Punde, Dar itakua kama Dubai
 
Mshamba ni wewe. Siku zote watu wenye akili fupi huwaza kuuza rasilimali badala ya kuzitumia kujiletea maendeleo.

Hio ni common kwa watu wa Pwani zaidi. Hupenda sherehe zaidi na hafla ila sio kuchapa kazi.
wameuza pwani yote kwa wachaga
 
Mshamba ni wewe. Siku zote watu wenye akili fupi huwaza kuuza rasilimali badala ya kuzitumia kujiletea maendeleo.

Hio ni common kwa watu wa Pwani zaidi. Hupenda sherehe zaidi na hafla ila sio kuchapa kazi.
Cha Ajabu matajiri wote Nchi hii wanatoka Pwani/Kaskazini, mazao makubwa Nchi hii yanauzwa sana ni Korosho, Pamba, Chai, kahawa, Tumbaku na Karafuu, ukitoa Pamba na Tumbaku yaliyobakia yote yanatoka Ukanda huo, Kama korosho ndio linaongoza, Matrilioni Ya hela.

Viwanda vikubwa vikubwa vipo Pwani, Karibia Cement yote inatoka pwani, Vipodozi, na Bidhaa kibao.

Maybe watu wa Pwani ni smart?
 
Hapana ni vitu viwili tofauti. DUBAI NI kama Dar es Salam
Abu dhabi ndo Dodoma.
Ni mji ndnai ya nchi ya UAE
Yupo sahihi Dubai ni Nchi, huo ni Muunganiko wa Nchi, Zimeungana miaka ya 70 hapo wala sio mbali, ndio Maana Dubai ina kiongozi wake kama ilivyo Zanzibar na Kiongozi wake.
 
Nampa hongera.Alifanya kazi kubwa sana kuigeuza Dubai.huwezi amaini kama lilikuwa jangwa.Nadhani viongozi wetu wa kiafrika wangekuwa wanajifunza kwa wanamapinduzi wa kimaendeleo kama hawa.Sio kuishia na makesi kesi ya ufisadi baada ya kumaliza utawala
Kafanya Makubwa ndio ila Yeye pia Dubai kaikuta, watu wengi wanalinganisha Dubai na Saudi ama Qatar ila Dubai iliendelea Zamani sana, hata kabla ya Mafuta ilikuwa ni Mji wa Biashara watu Dunia Nzima walikua wanafungasha Mizigo. Wahindi na wapersia walikuepo Dubai zamani sana.

images (39).jpg

images (38).jpg

images (37).jpg
 
Sheikh Mohammed bin Rashid Al Maktoum (73) ndie Mtawala wa Dubai na pia Ni Makamu wa Rais, Waziri Mkuu na Waziri wa Ulinzi wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE).

Ndie aliyefanya mageuzi makubwa kwenye Emirati ya Dubai kutoka jangwa mpaka Sasa mji maarufu na kuvutia watalii toka pande zote za dunia.

Anatajwa Kama tajiri duniani aliyefanikiwa katika biashara ya "real estate"

Pia, Ni mwandishi wa vitabu kadhaa ikiwemo Flashes of thoughts. Tofauti na watawala wengi wa Afrika ambao hata kuandika Pamphlet tu Ni issue


NB: Picha Kwa hisani ya Square yards.

View attachment 2653231
Pia licha ya yote hayo aligongewa na kuchapiwa mke wake kipenzi Haya bint Hussain binti wa aliyekuwa mfalme wa Jordan.

Wanawake sometimes wajinga sana.
 
Pongezi kwake,sema ni katili sana hadi mkewe anayeitwa Princess Haya alimkimbia .Princess Haya ni mtoto wa marehemu king Hussein wa Jordan. Pia huyu Sheikh ana tabia ya kuwatesa wanae wa kike na kuwafunga kifungo cha nyumbani.Binti yake ni mke wa Sheikh Mansoor mwenye Man City.

Acha kuingilia maisha ya watu, ukatili wake na kuleta maendeleo inahusiana nini!! Halafu uachage kuwasema na kuwachukia waarabu, hivi huwa unafaidika nini kwa mfano!! Wewe badala kufocus na mafisadi papa na manyangumi yanakufanya urudi nyuma kimaendeleo wewe unawasakama waarabu tu kila mara, basi nenda kwenye nchi zinazounga mkono ushoga ukanunue nuclear bomb uwamalize waarabu wote ndipo ufurahi na roho yako isuuzike


Jirekebishe dada
 
Back
Top Bottom