Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
fursa ndo hicho chuma 'DP'Waarabu maarifa makubwa. Balozi Mdogo Dubai toa fursa hizo
Mkuu:Tutajengewa misikiti ya kutosha maana ndio misaada ya mwarabu baada ya kupata faida . Kifungu Cha Co oparate social responsibility
Mkuu:Hatuzungumzii historia, tunazungumzia Sasa. Mkoloni wa kizungu alijenga makanisa, shule, mahospitali, na mbo chungu mzima ya manufaa kwa nchi na vizazi vijavyo
Mwarabu yeye ajuacho msaada ni kujenga misikiti na tende za bure huwa hafikirii kujenga hospitali au shule tofauti na madrasa. Yeye huwa chochote snachokifanya ni mpango wa muda mrefu wa kuibadilisha dunia kuwa ya Imani yake kitu ambacho kwake ni njozi za mchana lakini hakati tamaa.
Karne ya Sasa hakuna kanisa linalojengwa kwa msaada wa mzungu, Bali ni waamini wenyewe wanajenga kwa nguvu zao na haeajengi makanisa tu Bali huduma za kijamii wanazingatia
Tunashindwa kwa kuwa na vilaza pale juuPongezi nyingi kwake Shehe Al Maktoum. Nimewahi kufika Dubai mara 3 Ila kila nikifika nakuta kitu kipya. Kama Dubai wameweza kubadili jangwa kuwa mji wa kibiashara na utalii sisi hapa tuna mbuga, bandari, madini. Tunashindwa wapi?
Iko wapi?Mkuu:
Kuna Kuwait Fund imefadhili miradi mingi ya maendeleo hapa nchini, zikiwemo barabara kiwango cha lami.
Kwani mzungu ana msaada gani zaidi ya kutujengea makanisa na kutuwekea mapadri na ushoga ??Tutajengewa misikiti ya kutosha maana ndio misaada ya mwarabu baada ya kupata faida . Kifungu Cha Co oparate social responsibility
Sisi tumesomeshwa ujinga na wajerumani na Waingereza.
Kila kizuri tunaona ni cha "kizungu".
kwani wakristo wanathamini ?? Mbona hatuoni Padri au Pope mwanamke ??Waislamu hawathamini wanawake
Mfano: Kibiti-Lindi Road Project.Iko wapi?
Kwy maamuzi na kuyapanhiliaPongezi nyingi kwake Shehe Al Maktoum. Nimewahi kufika Dubai mara 3 Ila kila nikifika nakuta kitu kipya. Kama Dubai wameweza kubadili jangwa kuwa mji wa kibiashara na utalii sisi hapa tuna mbuga, bandari, madini. Tunashindwa wapi?
HomeMtawala karibu Sana Dar
Dubai world kiboko ya CHADEMADubai watukopeshe VIKOBA basi
Sisi akili ipo kwenye kugombea madaraka ili udhibiti tra na uchumi usio na afya then uteue marafiki zako kwenye nyashifa zenye fursa nzuri muanze kuibaPongezi nyingi kwake Shehe Al Maktoum. Nimewahi kufika Dubai mara 3 Ila kila nikifika nakuta kitu kipya. Kama Dubai wameweza kubadili jangwa kuwa mji wa kibiashara na utalii sisi hapa tuna mbuga, bandari, madini. Tunashindwa wapi?