dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 10,466
- 18,206
Ila acheni kufatiliaa habar za kipumbavuWewe unazijua familia zipi? wewe hizo natural resources umeweza kuzibadili na kua na faida?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila acheni kufatiliaa habar za kipumbavuWewe unazijua familia zipi? wewe hizo natural resources umeweza kuzibadili na kua na faida?
Huna akili wewe.Ila acheni kufatiliaa habar za kipumbavu
Malezi uenu yepi shekhe maana ufisadi upo sana kwenye zama zenuNi asili yetu sababu ya malezi yetu.
Mfalme wa Jordan Ni Baba wa Haya Kwa mke wake wa tatu Queen Alia. Huo uongo ulishindwa hata Ku-google?Pia licha ya yote hayo aligongewa na kuchapiwa mke wake kipenzi Haya bint Hussain binti wa aliyekuwa mfalme wa Jordan.
Wanawake sometimes wajinga sana.
Waarabu wenye hela Hawaoi Mazombi sijui Kisiju au Muheza huko, nooo!Mfalme wa Jordan Ni Baba wa Haya Kwa mke wake wa tatu Queen Alia. Huo uongo ulishindwa hata Ku-google?
Utateseka sana mbwa wwMaisha yako tambarare labda wewe ndiyo unaungua kwa vile unategemea Magufuli afufuke
Yupo sahihi Dubai ni Nchi, huo ni Muunganiko wa Nchi, Zimeungana miaka ya 70 hapo wala sio mbali, ndio Maana Dubai ina kiongozi wake kama ilivyo Zanzibar na Kiongozi wake.
Sisi hapa tunawaza tu kukodishaPongezi nyingi kwake Shehe Al Maktoum. Nimewahi kufika Dubai mara 3 Ila kila nikifika nakuta kitu kipya. Kama Dubai wameweza kubadili jangwa kuwa mji wa kibiashara na utalii sisi hapa tuna mbuga, bandari, madini. Tunashindwa wapi?
DuuhWaarabu wenye hela Hawaoi Mazombi sijui Kisiju au Muheza huko, nooo!
KaribuSisi akina Sheikh Al Saud, Al Makhtoum, Al Nahyan wa buza tuko hapa TPA tunawazoom tu..
Tz Tuna Magufuli siku yakumuadhimisha nitatembea mwanzo mwisho as I was among silence elite who campaign for Magufuli. Hakunijuwa wala sikumjuwa labda wazazi wangu. Asante Baba Magufuli siku moja kizazi cha wa Tanzania tuta kukumbuka kwa namba tofauti sana.Sheikh Mohammed bin Rashid Al Maktoum (73) ndie Mtawala wa Dubai na pia Ni Makamu wa Rais, Waziri Mkuu na Waziri wa Ulinzi wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE).
Ndie aliyefanya mageuzi makubwa kwenye Emirati ya Dubai kutoka jangwa mpaka Sasa mji maarufu na kuvutia watalii toka pande zote za dunia.
Anatajwa Kama tajiri duniani aliyefanikiwa katika biashara ya "real estate"
Pia, Ni mwandishi wa vitabu kadhaa ikiwemo Flashes of thoughts. Tofauti na watawala wengi wa Afrika ambao hata kuandika Pamphlet tu Ni issue
NB: Picha Kwa hisani ya Square yards.
View attachment 2653231
Men who has brain have more than one women. Do not ask me why ask God.View attachment 2674326Shekhe yuko vizuri...
Mambo yake binafsi ni yake na mkewe na wanawe.Pongezi kwake,sema ni katili sana hadi mkewe anayeitwa Princess Haya alimkimbia .Princess Haya ni mtoto wa marehemu king Hussein wa Jordan. Pia huyu Sheikh ana tabia ya kuwatesa wanae wa kike na kuwafunga kifungo cha nyumbani.Binti yake ni mke wa Sheikh Mansoor mwenye Man City.
Ni mtu public,acha kujificha kwenye ubinafsi.Tabia zake binafsi ndo hizo hizo anatumia kuwaibia nyie warabu koko.Mambo yake binafsi ni yake na mkewe na wanawe.
Tutadanganyana tu.