Mfahamu Mtawala wa Dubai, Sheikh Maktoum

Mfahamu Mtawala wa Dubai, Sheikh Maktoum

Ila Princess Haya alimkomesha huyu mzee,alitoroka akaenda London na wanae wawili.Akafungua kesi,sasa mzee analipa child support ,Haya alikuwa anatembea na Mlinzi.Naona mzee shughuli ya kitandani haiwezi .
Siku mwanamke alipoumbwa ndio siku kifo cha mwanaume kilipotangazwa rasmi. Mzee mmoja mwenye hekima aliwahi kusema kwamba mwanamke aliumbwa kuja kumsaidia mwanaume lakini pia mwanamke aliumbwa ili mwanaume afe.
 
Pongezi nyingi kwake Shehe Al Maktoum. Nimewahi kufika Dubai mara 3 Ila kila nikifika nakuta kitu kipya. Kama Dubai wameweza kubadili jangwa kuwa mji wa kibiashara na utalii sisi hapa tuna mbuga, bandari, madini. Tunashindwa wapi?
Hamna viongozi wenye utimamu wa akili, serikali mmejaza watu ambao utotoni waliathirika na lishe mbovu. Mnategemea wataweza kufanya lolote la maana lenye ku involve critical thinking ?
 
Pongezi kwake,sema ni katili sana hadi mkewe anayeitwa Princess Haya alimkimbia .Princess Haya ni mtoto wa marehemu king Hussein wa Jordan. Pia huyu Sheikh ana tabia ya kuwatesa wanae wa kike na kuwafunga kifungo cha nyumbani.Binti yake ni mke wa Sheikh Mansoor mwenye Man City.
Ukitaka jamii yako iparaganyike mpe mwanamke uhuru au tangaza takataka za haki sawa uone moto wake.
 
Unafikiri shule na hospitali alizojenga mkoloni ilikua kwa kuwa anakupenda wewe nyani!?...au kueneza dini yake ili ujione unafanana naye afanikishe ajenda zake!?..bogus!!
Baada ya kupigwa kwenye mbupu umeamua kubadilisha magoli, ili mradi tu uendeleze ubishani.
 
Si bora huyo anayewajengea misikiti kuliko anayewapa misaada halafu anawalazimisha mfumuane malinda,unapigwa mkwala kua usipoikubali LGBTQ tunakata misaada,

Kingine msaada ni hiari na sio lazima,mtoa msaada husaidia kwenye eneo analoamua yeye,huwezi kumpangia mtu matumizi ya hela zake.
Pole sana kijana kwa kulazimishwa kufumuliwa marinda, vipi ulichukua hatua zipi jamaa walipokupakaza shawaha zao siku ya kwanza ??

Ulifurahia au ulienda kuwashtaki polisi ?
 
Crown prince ni Hamdan bin Mohammed Al maktoum,kuna mtoto mwingine wakiume wa huyu mtawala wa Dubai alifariki miaka ya hivi karibuni,

Huyu crown prince hata yeye ni tajiri tayari na ana makampuni makubwa tu huko Dubai.
Mnazijua habari za familia za kiarabu kuliko hata resources zilizopo nchini kwenu na namna ya kuzibadili kuwa na faida kwenu kiuchumi.
 
Pongezi kwake,sema ni katili sana hadi mkewe anayeitwa Princess Haya alimkimbia .Princess Haya ni mtoto wa marehemu king Hussein wa Jordan. Pia huyu Sheikh ana tabia ya kuwatesa wanae wa kike na kuwafunga kifungo cha nyumbani.Binti yake ni mke wa Sheikh Mansoor mwenye Man City.
Waislamu hawathamini wanawake
 
Kipind Mchonga anakabidhiwa mamlaka alikua na uwezo wa kuyafanya haya


Lkn kwa bakhti mbaya alitumia nguvu kubwa kujijenga kimamlaka kuliko kujenga miundombinu ili tustaw kiuchum


Na ndio maana asilimia kubwa ya shule,mashirika,mahospital mengi yalijengwa kipind cha mkolon yey aliyarith tu na baadh ya mashirika alishindwa kuyaendesha kwa faida yakawa yanajiendesha kwa hasara
Kweli kabisa Nyerere ndo alaumiwe kwa matatizo yote ya Tanzania.

Yeye alipopokea nchi hakupaswa wafukuza wakoloni, alitakiwa akae nao kwa pamoja wapange mipango ya kuendesha nchi hadi pale Watanzania watakapo pata Elimu inayofaa.

Badala yake yeye akaweka udikteta na sera za ujamaa
 
Acha unafiki mvaa kobazi. Mwaka wa 1961 nchi inapata uhuru kulikuwa na dimbwi kubwa la njaa, magonjwa na umasikini miaka hio. Kwa nguvu kazi ipi iliyokuwepo ya kufanya maendeleo hayo? Nchi ilikuwa imetawaliwa kwa ujinga na umasikini ndio ulitaka iwe kama Emirates za Dubai!! You’re moron broo. Asilimia 99.9% ya watu hawakuwa wasomi afu unaibuka na maujinga kichwani eti mchonga alikuwa ana nafasi ya kuyafanya hayo, kwa kipi na kwa nyenzo gani. Tumeachiwa mashirika kibao kama mashule na mahospital mpaka leo yapo mengine kadri ya mabadiliko ya mda na teknolojia basi yalishafungwa au kufa. Leo ni miaka mingi sana imepita tangu tupate uhuru Mbona hatujawa kama hao emirates?. Mchonga alifanya kazi kubwa sana enzi hizo acha uzwazwa.
Acha kupanik mvaa pempaz

Mwaka 1961 wakat Mchonga anapewa mamlaka nchi haikua na njaa

Miongon mwa vitu vilivyomfelisha ni uchaguz wa sera

Aliuchagua ujamaa bila ya kuangalia athar zake

Alidhamin wapigania uhuru wa baadh ya nchi za kiafrika bila ya kuzingatia uhalisia wa uchumi wetu km unahimil

Na unatakiwa ujue huu utaratibu wa mikataba kuwa ni siri Mchonga ndio muasis hawa wa sasa wamerith
 
Back
Top Bottom