Murashani GALACTICO
JF-Expert Member
- Feb 27, 2012
- 2,511
- 5,390
Siku mwanamke alipoumbwa ndio siku kifo cha mwanaume kilipotangazwa rasmi. Mzee mmoja mwenye hekima aliwahi kusema kwamba mwanamke aliumbwa kuja kumsaidia mwanaume lakini pia mwanamke aliumbwa ili mwanaume afe.Ila Princess Haya alimkomesha huyu mzee,alitoroka akaenda London na wanae wawili.Akafungua kesi,sasa mzee analipa child support ,Haya alikuwa anatembea na Mlinzi.Naona mzee shughuli ya kitandani haiwezi .
Na mmoja mkubwa utajengwa humo humo bandarini kama wa Makka.Tutajengewa misikiti ya kutosha maana ndio misaada ya mwarabu baada ya kupata faida . Kifungu Cha Co oparate social responsibility
Tatizo misikiti ni kukamuliwa kinyesiWakoloni walijenga makanisa na kwako fresh tu...Ila mwarabu na misikiti yake inakutia hofu hata kunya unashindwa,utadhani utalazimishwa kuswali
Mpaka watoto wake wa kike ni resources!?Yuko serious sana usimamizi wa resources zao
Hamna viongozi wenye utimamu wa akili, serikali mmejaza watu ambao utotoni waliathirika na lishe mbovu. Mnategemea wataweza kufanya lolote la maana lenye ku involve critical thinking ?Pongezi nyingi kwake Shehe Al Maktoum. Nimewahi kufika Dubai mara 3 Ila kila nikifika nakuta kitu kipya. Kama Dubai wameweza kubadili jangwa kuwa mji wa kibiashara na utalii sisi hapa tuna mbuga, bandari, madini. Tunashindwa wapi?
Ukitaka jamii yako iparaganyike mpe mwanamke uhuru au tangaza takataka za haki sawa uone moto wake.Pongezi kwake,sema ni katili sana hadi mkewe anayeitwa Princess Haya alimkimbia .Princess Haya ni mtoto wa marehemu king Hussein wa Jordan. Pia huyu Sheikh ana tabia ya kuwatesa wanae wa kike na kuwafunga kifungo cha nyumbani.Binti yake ni mke wa Sheikh Mansoor mwenye Man City.
Wakati huo wapumbavu wa Kenya na Tanzania, wanakomeshana kwa kuchomeana moto vifaranga.Udugu kufaana si kufanana
Baada ya kupigwa kwenye mbupu umeamua kubadilisha magoli, ili mradi tu uendeleze ubishani.Unafikiri shule na hospitali alizojenga mkoloni ilikua kwa kuwa anakupenda wewe nyani!?...au kueneza dini yake ili ujione unafanana naye afanikishe ajenda zake!?..bogus!!
Pole sana kijana kwa kulazimishwa kufumuliwa marinda, vipi ulichukua hatua zipi jamaa walipokupakaza shawaha zao siku ya kwanza ??Si bora huyo anayewajengea misikiti kuliko anayewapa misaada halafu anawalazimisha mfumuane malinda,unapigwa mkwala kua usipoikubali LGBTQ tunakata misaada,
Kingine msaada ni hiari na sio lazima,mtoa msaada husaidia kwenye eneo analoamua yeye,huwezi kumpangia mtu matumizi ya hela zake.
Mnazijua habari za familia za kiarabu kuliko hata resources zilizopo nchini kwenu na namna ya kuzibadili kuwa na faida kwenu kiuchumi.Crown prince ni Hamdan bin Mohammed Al maktoum,kuna mtoto mwingine wakiume wa huyu mtawala wa Dubai alifariki miaka ya hivi karibuni,
Huyu crown prince hata yeye ni tajiri tayari na ana makampuni makubwa tu huko Dubai.
Wewe unazijua familia zipi? wewe hizo natural resources umeweza kuzibadili na kua na faida?Mnazijua habari za familia za kiarabu kuliko hata resources zilizopo nchini kwenu na namna ya kuzibadili kuwa na faida kwenu kiuchumi.
Yote sawa ila lile hayanwani la Chato liache liendelee kuungua na moto huko lilikoMwanamapinduzi Magufuli alidhihakiwa na kuitwa dikteta ila kama angekuwa na akili za kipuuzi kama za huyu wa Awamu ya 6 ungekuta mpaka sasa nchi imebakiwa na Jina tu.
Waislamu hawathamini wanawakePongezi kwake,sema ni katili sana hadi mkewe anayeitwa Princess Haya alimkimbia .Princess Haya ni mtoto wa marehemu king Hussein wa Jordan. Pia huyu Sheikh ana tabia ya kuwatesa wanae wa kike na kuwafunga kifungo cha nyumbani.Binti yake ni mke wa Sheikh Mansoor mwenye Man City.
Ndio mnavyo ongopeana huko kwenye kijiwe chenu cha Bodaboda wakati mnakunywa Konyagi chini ya mti?Waislamu hawathamini wanawake
Kweli kabisa Nyerere ndo alaumiwe kwa matatizo yote ya Tanzania.Kipind Mchonga anakabidhiwa mamlaka alikua na uwezo wa kuyafanya haya
Lkn kwa bakhti mbaya alitumia nguvu kubwa kujijenga kimamlaka kuliko kujenga miundombinu ili tustaw kiuchum
Na ndio maana asilimia kubwa ya shule,mashirika,mahospital mengi yalijengwa kipind cha mkolon yey aliyarith tu na baadh ya mashirika alishindwa kuyaendesha kwa faida yakawa yanajiendesha kwa hasara
Ujue mwanaume ukifikisha miaka kuanzia 60 kazi hufanyi kabisaHuyu sindio alichapiwa mke kwa bodyguard wake wa kizungu
Acha kupanik mvaa pempazAcha unafiki mvaa kobazi. Mwaka wa 1961 nchi inapata uhuru kulikuwa na dimbwi kubwa la njaa, magonjwa na umasikini miaka hio. Kwa nguvu kazi ipi iliyokuwepo ya kufanya maendeleo hayo? Nchi ilikuwa imetawaliwa kwa ujinga na umasikini ndio ulitaka iwe kama Emirates za Dubai!! You’re moron broo. Asilimia 99.9% ya watu hawakuwa wasomi afu unaibuka na maujinga kichwani eti mchonga alikuwa ana nafasi ya kuyafanya hayo, kwa kipi na kwa nyenzo gani. Tumeachiwa mashirika kibao kama mashule na mahospital mpaka leo yapo mengine kadri ya mabadiliko ya mda na teknolojia basi yalishafungwa au kufa. Leo ni miaka mingi sana imepita tangu tupate uhuru Mbona hatujawa kama hao emirates?. Mchonga alifanya kazi kubwa sana enzi hizo acha uzwazwa.