Super Sub Steve
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 17,404
- 10,900
Kuna jamaa tulisoma naye alikuwa anajua Nota na kucheza piano balaaaaaa.Jamaa wakasema huyu akienda Kwa Mgandu ataambiwa aanze upya kujifunza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nadhani muziki wa Mgandu ndio Bora kabisa na ndio utambulisho wa Nyimbo za Liturjia za KatolikiHuyo mwenye nyekundu mwondoe, katika list aliyoitaja na watunzi wanaotunga nyimbo zenye adabu na zinazofuata sheria na vipengele vyote vya muziki. Huyo na mpiga kinanda aitwaye mkude, waliibukia huko arusha kwa kuanza kutunga manyimbo na uimbaji wa staccato (matamshi ya kukatakata maneno) , nyimbo zisizo kamilika unakuta ni chord 3 au 2 zinajirudia , mapambio. Hawa waliungana na mpiga kinada aitwaye mkude ambaye ndiye mwanzilishi wa masebene katika kanisa, na baadaye mtunzi maarufu wa kizazi kipya aitwaye mukasa akajiunga na ndio ikawa turning point ya kuharibika na kupotea muziki wa akina mgandu na sasa huwaambii vijana kuhusu masebene, kila mpiga kinanda hana time na kujifunza bugert bali ni hizo chord 3 tuu, ........basi mengine nitaeleza siku nyingine
Umesema ukweli kabisa mkuu,Nadhani muziki wa Mgandu ndio Bora kabisa na ndio utambulisho wa Nyimbo za Liturjia za Katoliki
Siku hizi Dada Vinci anatumia ID mpya bwana kawa mwanafalsafa.Hapo niekuelewa sio bwana Da'Vinci kwenye kiuzi chake porojo kibao
Anatumia jina gani?Siku hizi Dada Vinci anatumia ID mpya bwana kawa mwanafalsafa.
Hujamgundua tu ? Hahaha, basi mkuu.Anatumia jina gani?
Kubabae zakeHujamgundua tu ? Hahaha, basi mkuu.
Mapumziko memaa.
Mzee Pascal florian mwarabu a.k.a kochaKazi nzuri...
Kuna huyu pamoja na yule wa Morogoro anaitwa Mwarabu
Bila kumsahau Mkomagu.ardhi imemeza watu wengi sanaMzee Pascal florian mwarabu a.k.a kocha