Inside10
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 29,909
- 32,414
Pia fr kayetta, ntambapataBila kumsahau Mkomagu.ardhi imemeza watu wengi sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pia fr kayetta, ntambapataBila kumsahau Mkomagu.ardhi imemeza watu wengi sana
Hata wewe ukinyooka tunakupa tu.fanya kama unajikuna vile!!!Hamjampa utakatifu? Maana hamkawii
Utakatifu umekuwa pipi mnapeana tu, mnajua siri za mtu nyie?Hata wewe ukinyooka tunakupa tu.fanya kama unajikuna vile!!!
Unamkubali aliye hai anayejitangazia kuokoka,unamkataa aliyekufa akatangazwa mtakatifu,unajua siri za Mungu wewe?Utakatifu umekuwa pipi mnapeana tu, mnajua siri za mtu nyie?
Mwenye wimbo unaoitwa "hapa we msafiri simama " audio yake tafadhar naomba aniwekee hapa.. Ntashukuru sana.. Muwe na jpili njema
Mwenye wimbo unaoitwa "hapa we msafiri simama " audio yake tafadhar naomba aniwekee hapa.. Ntashukuru sana.. Muwe na jpili njema
Ingia YouTube upoMwenye wimbo unaoitwa "hapa we msafiri simama " audio yake tafadhar naomba aniwekee hapa.. Ntashukuru sana.. Muwe na jpili njema
Mkuu YouTube zipoMungu ampe pumziko la amani.
Ingekuwa vizuri sasa uzi huu uwe maalumu wa kupost nyimbo zake na nyingine za walimu wakongwe kama P. Mwarabu, Kayetta, Nyundo, Ntapambata etc ili watu wajue nini kinachozungumziwa hapa (in Mwandri's voice)
Ingia YouTube upo
Kumbe huu wimbo pia wake?....huwa ukipigwa church nahisi napaa mbinguni"Bwana ni nuru yangu, wokovu wangu nimwogope nani, Bwana ni ngome ya uzima wangu....nimwofu naani"
R.I.P John Mgandu.
"Bwana kama wewe ungehesabu maovu yetu, (nani angesimama...nani angesimama, nani angesimama mbele yako) x3"
Download kupitia tubemate then ucovertNataka mp3
Yeah ni wimbo wake.Kumbe huu wimbo pia wake?....huwa ukipigwa church nahisi napaa mbinguni
Anakudanganya huyuu mzee.Anatumia jina gani?
Hafu we mzee mbona umenipotezea zile mambo nilizokutumia?Hujamgundua tu ? Hahaha, basi mkuu.
Mapumziko memaa.
YouTube zipo za kumwagaHizi nyimbo zinanikumbusha mbali sana....mzee alikua na cassete za kutosha.....ila najiuliza sa iv zinapatikana wap!
Anakudanganya huyuu mzee.
Hafu we mzee mbona umenipotezea zile mambo nilizokutumia?
Ngoja nizisake!YouTube zipo za kumwaga
hahaaa utanidhalilisha kwa lipi na kivipi.. hit it...Unataka nikudharirishe hapa eeh ???
Unasemaaaaa ??hahaaa utanidhalilisha kwa lipi na kivipi.. hit it...