Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 35,812
- 107,628
Hit it.. kama una gutUnasemaaaaa ??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hit it.. kama una gutUnasemaaaaa ??
Kama una kejeli hivi. Lakin process ya kuitwa saint hawapew random kama cheo cha siasa, ni process ndefu na ngum, na inachukua miaka mingi mpaka ije ikubaliwe. Hapo kuna background checks nzito sana.. kiufupi sio rahis unavyofikiriHamjampa utakatifu? Maana hamkawii
I wonder kuna watu wanaitwa watakatifu.... tuache masiharaHamjampa utakatifu? Maana hamkawii
Weee...Wish I would b there!....nikashuhudia safari yake ya mwishoYeah ni wimbo wake.
Karibia zile nyimbo maarufu za kanisa Katoliki katunga yeye.
Kwenye msiba wake mapadre wa kikatoliki walikuwa kama wote.
Dah uko vizuri"Bwana ni nuru yangu, wokovu wangu nimwogope nani, Bwana ni ngome ya uzima wangu....nimwofu naani"
R.I.P John Mgandu.
"Bwana kama wewe ungehesabu maovu yetu, (nani angesimama...nani angesimama, nani angesimama mbele yako) x3"
Wewe utakuwa wapiMtakutana nae motoni huyo
Natafuta audio unaoitwa WATUMISHI WAKE BABAIngia YouTube upo
Naona na wewe avatar yako umeweka picha ya jasusi mzoefu mwenye diplomasia tata.Siku hizi Dada Vinci anatumia ID mpya bwana kawa mwanafalsafa.
Unamkubali eeeh ??Naona na wewe avatar yako umeweka picha ya jasusi mzoefu mwenye diplomasia tata.
Mkuu, naomba kama una audio ya "Gusaneni majeraha" ya Mwarabu unipatie...Mzee Pascal florian mwarabu a.k.a kocha
Ameiachia dunia hazinaHamjampa utakatifu? Maana hamkawii
Acha kuchanganya mambo bwana mdogoHamjampa utakatifu? Maana hamkawii
Anatosha kabisa!Unamkubali eeeh ??
Yeah.Weee...Wish I would b there!....nikashuhudia safari yake ya mwisho
Yeah...mie mkatolikiDah uko vizuri