MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 21,113
- 65,124
Naam, naam.Anatosha kabisa!
Hebu tujaribu kutoka nje ya hili shimo la giza.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naam, naam.Anatosha kabisa!
Wengi wanapenda wajaribu mbadala ila si kazi rahisi.Naam, naam.
Hebu tujaribu kutoka nje ya hili shimo la giza.
Mambo gani hayo ulinitumia?Anakudanganya huyuu mzee.
Hafu we mzee mbona umenipotezea zile mambo nilizokutumia?
nimemwambia malcom.. kwani nisahawah wasiliana nawe?Mambo gani hayo ulinitumia?
MkuuAsante sana kwa Post hii. Nilikua nasikiliza muziki wake mahali, nikaona link hii KABILA LANGU
Kuna marehemu fr Gregory Kayettakama kuna makonki wa muziki mtakatifu basi jamaa ndiye master wao
Sahihi kabisa!John Mgandu alikuwa wa daraja la kipekee kwenye muziki wa kikatoliki. Wengine kwenye kundi hilo nawaweka akina Fr Gregory Kayeta, Fr Malema Lui Mwanampepo, Guido Matui, IP Nganga, Joseph Makoye, Felician Albert Nyundo, Melkiory Syote.
Kuna kundi lililoibuka baada yao likijifunza kwao, linajumuisha akina Thobias Daudi Nsato. Baadae wakaja akina Charles Saasita katika kiwango hicho. Bahati mbaya wengi niliowataja ni marehemu.
Utunzi wa segere, midundiko, na mengine ya hovyohovyo kanisani kwa sasa ni janga la kitaifa linalohitajika kukemewa kwa nguvu.