Mfahamu mtunzi mahiri was nyimbo za kikatoliki marehemu John Stephano Mgandu

Kwa kweli sina shaka na utunzi wa nyimbo mbalimbali za John Mgandu na mimi ni mmojawapo wa wapenzi wa tunzi zake. Pamoja na weatunzi wengine uliowainisha mwangalie na mtunzi mwingine mahiri kutoka Jimbo la mbeya Fr. Gregory F. Kayeta (Marehemu) na yeye kazi zake za utunzi zinaishi kwa maana na yeye alifata sana Liturujia. Asante kwa uandishi mzuri juu ya John Mgandu maana mimi wasifu wake sikuwa naufahamu vyema zaidi ya kusikia kuwa alikuwa professor pale Chuo Kikuu cha DSM akifundisha muziki.
 
Sahihi kabisa!
 
Daah Hakika alikua ni mtaalamu sana, playlist yangu ina nyimbo zake kadhaa ambazo zote zinakufanya utamani na uzidi kumpenda Mungu.🙏
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…