Mfahamu mzee mwenye nyaraka za ardhi ya Palestina ambayo Waisraeli wamevamia

Mfahamu mzee mwenye nyaraka za ardhi ya Palestina ambayo Waisraeli wamevamia

Wapelestina walikuwa wafanyabiasha waliokuwa wakifika Uyahudini kufanya biashara kabla ya kuanza kufanya makazi yao!
Ardhi hii ni wayahudi kwa asili kabisa na sio vinginevyo!
Wayahudi chimbuko lao ni Ibrahim,Ibrahim ni muhamiaji huko Israel,alitokea Iraq ya leo
 
Waislamu mfike muda mkubaliane na taliyomo kwenye biblia Kama Mungu alisema wahahudi wakitawanyika na watarudi na wamerudi hamuoni?
 
Ugomvi wa wayahudi na wafilist ulianza tangu enzi za kina Daudi na Goliath wakati wa utawala wa Mfalme Sauli pale Islael.
Ibrahim alikuwa ni myahudi na milki hii alipewa na Mungu miaka mingi kabla ya Kristo.
Ibrahim alikuwa Myahudi!!!!!?????
 
Book: The 13th tribe, The khazar empire and its heritage by Arthur Koestler.

Book: The Balfour Declaration... How world War II helped Jew Zionist to capture Palestine territory.
Rev 2:9.
True Child of Israel ni Weusi hawa wengine walitokea wapi na kujimilikisha ardhi hy na kusingizia Ulikuwa mpango wa mungu.
 
Wapalestina ivi Ni wale watoto wa Ibrahim wa mke wa kijakazi wa Sara na Israel ndio uzao wa Ibrahim kwa Sara mwenyewe aliyezaa akiwa na 90+?

Hawa jamaa Ni ndugu Ila wanapigana mpaka Kiana nadhani Ni ishara ya kuwa watt wa mama wawili hawawezi elewana.

Huyo babu wa jamaa alitapeliwa na madalali wa dar enzi hizo Naona. Sasa jamaa wako utumwani misri ardhi wakaikalia kurudi mnakomaa kuwa Ni ya kwenu.
. naombeni mnisaidieni Ni wapi hai watt wa Ibrahim walianza kutofautiana kiimani
 
Hao Ottoman waliomuuzia nao ilikuwa sio ardhi yao.

Hivi mfano waarabu wa pale Mecca wangetolewa na wagiriki na wakahamishiwa ugiriki lakini eneo la Mecca wakaja kukaa waisrael, je Mu israel angeuziwa eneo na mgiriki hii hati ingekuwa na mashiko kipindi waarabu wamerudi hapo Mecca ?
Una akili za kizwazwa.
DUNIANI KUNA MAENEO MENGI WATU WAMEKUWA MISPLACED.
JE KILA MMOJA AKIDAI KURUDI ALIPOKUA MWANZO DUNIA ITAKALIKA!?
 
Hivi huku afrika kwenye koo zetu tunaweza kuji trace back mpaka 1906 huko na kujua tulikua vipi na kumiliki nini?
 
Watajuana Wenyewe Sisi Tubaki Kwa Mama Kwenye Farming Block
 
Ile ardhi sio yenu, kaeni mtulie vinginevyo mtaondolewa kabisa

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Itakubidi uhihoji QURAN ,,Ikaumbie wale wayahudi waliotolewa MISRI na Nabii Musa saw katika "surat ban izarail " Mungu aliwapa ardhi ya Sehemu ipi katika dunia hii,, ikikupatia jibu,, utakuwa umemaliza mzozo uliomo kwenye ufahamu wako.

Viongozi wa Dini, wengi wao ni wanafiq, hawapendi kusema ukweli kwa kuhofia Madhehebu yao.
 
Book: The 13th tribe, The khazar empire and its heritage by Arthur Koestler.

Book: The Balfour Declaration... How world War II helped Jew Zionist to capture Palestine territory.
Rev 2:9.
True Child of Israel ni Weusi hawa wengine walitokea wapi na kujimilikisha ardhi hy na kusingizia Ulikuwa mpango wa mungu.
Unaweza kuandika chochote,kama unavyoweza kusoma chochote, vilevile WATU hubuni na kuandika ili kuwavutia wanaofuata machapisho yao,

,Kwenye MGOGORO WA WAYAHUDI NA WAPALESTINA,, hatujawahi kuwasikia waafrika wakidai wao ndio WAYAHUDI, ila tumewasikia wazungu tumewasikia Waarabu wakiwa na madai hayo,,,!

Pia tumeasikia na kuwashuhudia (wazungu na waarabu)wakijaribu kuwaingiza waafrika kwenye MGOGORO huo kwa kuwapandikizia sumu kuwa WAAFRIKA NDIO WAYAHUDI.

Ni Jambo ambalo halijawahi kufanikiwa na halitafanikiwa, kujaribu kuwafanya waafrika wafikirie kubwa wao ndio wayahudi,,
Hivyo Usiangaike kujijaza ujinga ukifikili utawabadilisha WATU weusi wafikirie wao ni wayahudi.
 
Ile ardhi sio yenu, kaeni mtulie vinginevyo mtaondolewa kabisa

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Hao Ottoman waliomuuzia nao ilikuwa sio ardhi yao.

Hivi mfano waarabu wa pale Mecca wangetolewa na wagiriki na wakahamishiwa ugiriki lakini eneo la Mecca wakaja kukaa waisrael, je Mu israel angeuziwa eneo na mgiriki hii hati ingekuwa na mashiko kipindi waarabu wamerudi hapo Mecca ?
Wapelestina walikuwa wafanyabiasha waliokuwa wakifika Uyahudini kufanya biashara kabla ya kuanza kufanya makazi yao!
Ardhi hii ni wayahudi kwa asili kabisa na sio vinginevyo!
Kwani Ottoman na Ibrahim nani alitangulia?

Kwani huyu babu wa huyo mzee na mzee Ibrahim nani alikabidhiwa hiyo ardhi na Mungu.

Huyo mzee karithi kwa Babu yake, wayahudi nao wamerithi kwa babu yao Ibrahim.

NYARAKA.
Huyo mzee anaonyesha nyaraka yake ya urithi toka kwa babu zake.

Wayahudi nyaraka yao ipo kwa biblia. Mipaka ya ardhi yao imeainishwa humo na nadhani bado hawajaipata yote. Au nasema uongo jamani
Wapalestina wa sasa ndio hao hao wapalestina wa kale, wayahudi wa kale ndio wapaleatina wa sasa. Hili lishathibitishwa mara kibao sijui kwanini bado watu wanaendelea kudanganya.

Tafiti mbalimbali za kisayansi zinaonesha wapalestina wana dna kali ya kiyahudi ya zamani kuliko wanao jiita wayahudi sasa.


Ukisoma hapo mabaki 73 toka maeneo tofauti tofauti ya watu walioishi maelfu ya miaka iliopita Dna zao zinafanana na wapalestina wa sasa.
 
Waisrael baba yao Ibrahim,Ibrahim ni mtu wa Iraq
Hata waarabu baba yao ni Ibrahim, Kizazi cha waisrael kinaanzia kwa Yaaqub(Jacob) ambaye ni Mjukuu wa Ibrahim na kizazi cha Waarabu (sio wote) kimetoka kwa Ismail mtoto wa Ibrahim.

Ibrahim mwenyewe sio Myahudi, wala sio mwarabu.
 
Hata waarabu baba yao ni Ibrahim, Kizazi cha waisrael kinaanzia kwa Yaaqub(Jacob) ambaye ni Mjukuu wa Ibrahim na kizazi cha Waarabu (sio wote) kimetoka kwa Ismail mtoto wa Ibrahim.

Ibrahim mwenyewe sio Myahudi, wala sio mwarabu.
Nakwambia Ibrahim katoka Iraq,hakuwa mwarabu peke yake huko Iraq, waarab hawakuanzia kwa ismail
 
Unaweza kuandika chochote,kama unavyoweza kusoma chochote, vilevile WATU hubuni na kuandika ili kuwavutia wanaofuata machapisho yao,

,Kwenye MGOGORO WA WAYAHUDI NA WAPALESTINA,, hatujawahi kuwasikia waafrika wakidai wao ndio WAYAHUDI, ila tumewasikia wazungu tumewasikia Waarabu wakiwa na madai hayo,,,!

Pia tumeasikia na kuwashuhudia (wazungu na waarabu)wakijaribu kuwaingiza waafrika kwenye MGOGORO huo kwa kuwapandikizia sumu kuwa WAAFRIKA NDIO WAYAHUDI.

Ni Jambo ambalo halijawahi kufanikiwa na halitafanikiwa, kujaribu kuwafanya waafrika wafikirie kubwa wao ndio wayahudi,,
Hivyo Usiangaike kujijaza ujinga ukifikili utawabadilisha WATU weusi wafikirie wao ni wayahudi.
Nikihangaika mimi wewe unapungukiwa kipi ?
Kama ulivyo amini wanawatumia watu weusi na mm ndivyo nilivyo amin maandiko yale.
 
Kwamba Iraq wairaq wa enzi ya Ibrahim walikumbwa na pepopunda wakafa wote!?
Hii sio evidence mkuu, Definition ya sasa ya Uarabu ni mtu mwenye culture ya kiarabu basi ni Muarabu, ila kihistoria Sudan, Nchi za Africa kaskazini, huko Palestine, Iraq na wengineo sio waarabu. Iraq ya kusini waliishi waarabu ila juu kule kulikua na watu wengi tu kama Sumerian,

Hawa sumerians ndio wataalam wengi wanakubaliana waliishi pale zamani.

Leo wanaitwa waarabu sababu culture yao ni ya kiarabu, ila Dna zao zikipimwa hawafanani na waarab wengine kama wa Saud bali zinafanana na Sumerians wa kale.

Toka zamani waarabu ni mabedui, kama unavyoona wamasai huku Tanzania waliishi kwenye majangwa na mifugo yao na vijiji vyao vidogo vidogo hawakuwa watu wa kuishi kwenye majiji.
 
Back
Top Bottom