Mfahamu rafiki mpya wa wema, Muna na "UTAJIRI" wa kutisha

Mfahamu rafiki mpya wa wema, Muna na "UTAJIRI" wa kutisha

1474051732306.jpg
Usishindane na Mwanamke aiseee ktk maisha kwan mke wa Kikwete alijua kama one day atakuwa mke wa Rais
 
Hivi kuna mtu mpaka leo hajui kazi ya hili jukwaa?? Hili jukwaa ni maalum kwa SHILAWADU, kufuatilia maisha ya watu, tena zaidi sana yale maisha binafsi, sasa mnaomvaa warumi eidha ni wageni au hamjapata orientation ya JF na kufaham kazi ya kila jukwaa
 
Pesa chafu alikuwa nayo Pablo Emilio Escobar Gaviria, acha kuitajataja ovyo wewe.

Pablo Escobar - Wikipedia, the free encyclopedia

Pablo Emilio Escobar Gaviria (December 1, 1949 – December 2, 1993) was a Colombian drug lord and trafficker. His cartel, at the height of his career, supplied an estimated 80% of the cocaine smuggled into the United States, turning over 60 million dollars a day, or 21.9 billion dollars a year, in personal income.[2][3] Often called "The King of Cocaine", he was the wealthiest criminal in history, with an estimated known net worth of US $30 billion by the early 1990s.[4] He was also one of the 10 richest men in the world at his prime and lived in his self-built Hacienda Nápoles.[5]
 
inamaan muna anakaa sauzi.? mana plate number zetu hizo wa Gauteng pande za jozi Pretoria na viunga zake
 
Peoplee talk too much,halaf wanawaambia wenzao wambea wanapenda fatilia mambo ya watu wakayi nao ni wale wale ama kweli nyani haoni mkunduu wake ulivyo mwekundu anaona wa wenzie tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Binamu kama tuliwashinda kipindi like bhaaas hawatuwez tenaa
 
Mtto wa peter yule mzee aliefunga nae ndoa uyo casto kuuzisha sura tu insta baba wa insta
Mtoto wa casto, Peter alibambikiwa tu ile mimba wakati huo Muna alikuwa na hamu ya ndoa, ila ndoa ilivyomchefua aliweka wazi kuwa Peter si baba wa mtoto na hii ilimuumiza sana peter maana ni aibu kwa ndugu na jamaa kwa jinsi alikuwa kuwa amelea mimba na mtoto, maskini leo casto anajishebedua kwa kulelewa mtoto.
 
Mtoto wa casto, Peter alibambikiwa tu ile mimba wakati huo Muna alikuwa na hamu ya ndoa, ila ndoa ilivyomchefua aliweka wazi kuwa Peter si baba wa mtoto na hii ilimuumiza sana peter maana ni aibu kwa ndugu na jamaa kwa jinsi alikuwa kuwa amelea mimba na mtoto, maskini leo casto anajishebedua kwa kulelewa mtoto.
Mmh mwasu sidhani mbona peter alimwandikia nyumba yule mtto na yy ndo anamuhudumia kila kitu mpk sasa
 
Back
Top Bottom