Mfahamu Reinhard Bonnke: Mhubiri aliyetikisa dunia

Huyu jamaa alikuwa na P. A ya hatari . Nakumbuka mwaka 1996 alikuja pale kwenye viwanja vya nje shamba la bb mi nilikuwa maeneo ya Tazara natokea airport nikawa nasikia kila kitu clearly nikiwa Tazara kwenye daladala ikabidi niahirishe safari yangu kueleke Upanga niende tu pale Uwanjani kuona hizo spika zikoje haswa .
 

Ahahaha hii mbeya moja.
 
Nikikutana naye viwanja vya Furahisha Mwanza.Alikuwa na makontena kibao,wakaanza kumsingizia eti anasafirisha unga.
 
Umesahau kuwa darasani alikuwa kilaza, kwa mujibu wa ushuhuda wake
 
Hakuwa na miujiza?
 


Another bonafide conman!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…