Mfahamu T.O Kihombo 2006 aliyepata Degree yake ya Kwanza baada ya Miaka 11

Fact hesabu ndo baba lao
 
Ila system ya kudisco ipo Tanzania peke yake yani mtu afaulu miaka 3 afeli semester moja eti ufute matokeo yote aanze upya bora sikusoma any degree hapo Tanzania ni upumbavu wa Hali ya mwisho
Upo sahihi kabsa mkuu, system ya chuo ukizingua kabisa kabsa unapewa Discontinued.
 
Ila system ya kudisco ipo Tanzania peke yake yani mtu afaulu miaka 3 afeli semester moja eti ufute matokeo yote aanze upya bora sikusoma any degree hapo Tanzania ni upumbavu wa Hali ya mwisho
Sasa unataka apite tu kisa alipata 1.3?
 
Sasa unataka apite tu kisa alipata 1.3?
Hivi wewe unaakili kichwani yani mtu afaulu miaka yote 3 akifeli semester moja ya mwaka WA 4 ndo anafutiwa matokeo yote Hivi Kuna ujinga kama huo Dunia ipi kwanini wasimwambie arudie mwaka au afanye transfer. Elimu ya Tanzania ni upumbavu mtu. Hivi kufeli semester moja kunafutaje matokeo ya semester za zamani ulizofaulu
 
Point of correction; he didnt graduate class of PE 2017. Fatilia vizuri.
 
huyo kijana kihombo haja graduate degree ya petroleum eng hakumaliza pia ilikua adisco tena but ana carry za kutosha. Jf hatupendi udaku period
 
Huyu jamaa akikufundisha ukaacha kuelewa inabidi umuone daktari. Binafsi namuelewa sana.

Aliwahi kuja kufundisha shuleni kwetu A level, siku moja akaomba tukusanye maswali yoote magumu (hata kutoka shule za jirani) ya physics kisha tumpatie ayatatue aka ahidi ikitokea akakosea swali hata moja basi atatupatia laki moja kwa kila swali atakalokosa, basi siku ikawadia (ijumaa fulani saa 2 kamili asubuhi) maswali kuntu yote yakafikishwa mbele yake.
Akaanza ku solve maswali yale ubaoni mpaka saa 5 inafika hakuwa kakosea swali hata moja, akaomba break kidogo ya saa moja kwaajili ya kupata chai na kupumzika kidogo, akarejea ubaoni saa 6 hadi saa 8 napo hakukuwa na swali lililomtatiza, tukapata break ya kwenda kula cha mchana, akarejea ulingoni saa 10 hadi saa 12 hakuna swali lilomchachafya pia na maswali yote yaliisha, kutokea hapo kila mwanafunzi aliamini uwezo wa huyu kijana.
 
Huyu ni kishoka! Kipofu anayejaribu kumwongoza kipofu mwenzake! Kupata division 1 ya pointi 3 hakumfanyi mtu kuwa mwalimu mzuri.
Binafsi nimewahi kufundishwa nae, jamaa anauelewa mzuri sana wa masomo tajwa, anafafanua kwa njia rahisi kabisa na ya kueleweka bila shaka hizo ni miongoni mwa sifa za mwalimu mzuri
 
Hivi ma TO huwa wanzdisco....mkuu umefeli kwa stori yako mbwembwe nyingi lakini mambo unayomsifia jamaa ni ya kawaida sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…