Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 20,178
- 39,641
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nmecheka sana ila we jamaaa hahaaha dah ila bora tuamin yupo mkuu siku asije akaja tukajilaum .. Tuamin tu mkuu au unasemajeSir God kashindwa ku solve dawa ya UKIMWI tu hana nyimbo.
I am cut from a different cloth[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nmecheka sana ila we jamaaa hahaaha dah ila bora tuamin yupo mkuu siku asije akaja tukajilaum .. Tuamin tu mkuu au unasemaje
Asubuh njema mkuuI am cut from a different cloth
I start from a different close
Sio vitini ni vitabu mkuu na ni viZuri mnoDah haya maisha Mungu tu anajua. Yaani jamaa na degree yake ya Petroleum anauza vitini wakati kuna washkaji nawafahamu wana vidiploma vya DIT wanapiga pesa ndefu kwenye makampuni ya PUMA Oryx nk. Full mikoko ya kutembelea mishahara ya hatari. Mungu ambariki aendelee kutengeneza vitini ndo wito wake alioitiwa na mwenyezi Mungu
Ni telecomm nadhaniMleta mada anatupa story aliyosimuliwa[emoji4] [emoji4]
Mi nawajua watu ambao hata kusoma hawajui na wanaendesha mikoko ya maana.. so what?? Watu mliofeli shule mna tabu sanaDah haya maisha Mungu tu anajua. Yaani jamaa na degree yake ya Petroleum anauza vitini wakati kuna washkaji nawafahamu wana vidiploma vya DIT wanapiga pesa ndefu kwenye makampuni ya PUMA Oryx nk. Full mikoko ya kutembelea mishahara ya hatari. Mungu ambariki aendelee kutengeneza vitini ndo wito wake alioitiwa na mwenyezi Mungu
Dhana ya Mungu inajipinga yenyewe. Mimi naonesha logic ya habari zake ilivyo fyongo tu.T.O namba moja wa kumpinga Mungu mambo?[emoji53][emoji53]
Huyu T.o mweupe kabisa kichwani mtu aliyekuwa anachafua hesabu paka nasema ameshushwa au ni baba yangu tu wengine upupu tuUnasema Elias alikuwa hapendi kufundisha hesabu sababu ni somo rahisi sana duniani.
Sasa ilikuwaje O-level alipata B?
Eti alifelishwa na waalimu wake kwenye Telecom? Ina maana miaka hiyo aliyosoma hakuna ku-appeal matokeo wala hakuna external examiner, wala hakuna watu wa Quality Assuarance?
Acheni shombo za kitoto. Huyo alifeli sabbu ya dharau zake za kijinga na wala sio kwamba kichwa kigumu.
Hizo hesabu alizosema rahisi ndio zilimfanya awe discontinued Bachelor ya Telecom Eng.
sawa bossPicha zake zipo Joseverest lakini itakuwa sio jambo jema kumuweka hapa japo yupo ktk social media mbalimbali
Mi nawajua watu ambao hata kusoma hawajui na wanaendesha mikoko ya maana.. so what?? Watu mliofeli shule mna tabu sana