Mfahamu T.O Kihombo 2006 aliyepata Degree yake ya Kwanza baada ya Miaka 11

Sir God kashindwa ku solve dawa ya UKIMWI tu hana nyimbo.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nmecheka sana ila we jamaaa hahaaha dah ila bora tuamin yupo mkuu siku asije akaja tukajilaum .. Tuamin tu mkuu au unasemaje
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nmecheka sana ila we jamaaa hahaaha dah ila bora tuamin yupo mkuu siku asije akaja tukajilaum .. Tuamin tu mkuu au unasemaje
I am cut from a different cloth
I start from a different close
 
Mwambieni anitafte nimpe kazi nyingine jamanii
 
Sio vitini ni vitabu mkuu na ni viZuri mno
 
History ya ELIAS KIHOMBO inataka kufanana na ya WILLIUM JAMES SIDIS
 
Huyu jamaa akiwa UDSM hakuwahi kuvuka mwaka wa tatu akisomea Telecom.. Alidisco na kati ya masomo aliyo feli ni Mathematics mwaka wa pili yaani MT261 na MT271.
 
Mi nawajua watu ambao hata kusoma hawajui na wanaendesha mikoko ya maana.. so what?? Watu mliofeli shule mna tabu sana
 
T.O namba moja wa kumpinga Mungu mambo?[emoji53][emoji53]
Dhana ya Mungu inajipinga yenyewe. Mimi naonesha logic ya habari zake ilivyo fyongo tu.

Kuhusu u T.O. I'm global like SWIFT.
Do not underrate my gift.

I don't want to be a big fish in a small pond.

I would rather be an average fish in a big pond.
 
Huyu T.o mweupe kabisa kichwani mtu aliyekuwa anachafua hesabu paka nasema ameshushwa au ni baba yangu tu wengine upupu tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…