Mfalme Mzee Yusuph amethibitisha kurudi kwenye taarabu

Hawakukosea wahenga waliposema usitoe ahadi yoyote ukiwa na furaha.

Jamaa katoka hijja. Furaha ya kumrudia muumba kautangazia ulimwengu kwamba anaacha muziki, sasa hivi anarudi tena kwenye muziki Huo huo alio tangaza kuupa kisogo...

It is like he takes God for a joke or something
 
Si kweli ,mpk nione nyimbo hapo nitaamini
 
Ni NJAA TU ,,ndy INAYOMSUMBUWA,hakuna KINGINE..wakati ule anatangaza KUSTAAFU TAARABU alikuwa na Biashara KIBAO..NADHANI SASA HANA TENA.,,story YAKE inanikumbusha JAMAA MMOJA NILIKUWA NIKIMFAHAMU AMBAYE SASA NI MAREHEMU.,,alichukuwa KITABU CHA QURAN akaapa kwa MUNGU kutorudia BIASHARA FULANI AMBAYO alikuwa AKIIFANYA HAPO AWALI....jamaa baada ya KUPIGWA NA NJAA KWA MUDA,,,akaanza KUTAFUTA MASHEKH WAMFUNDISHE JINSI YA KUTENGUA KIAPO CHAKO...mwisho jamaa AKARUDI KWNY BIASHARA ZILE ALIZO JIAPIZA....hakuchukuwa ROUND HATUNAE TENA...hivyo BASI ANACHOPITIA MZEE YUSUPH NI MAJARIBU YA YALE ALIYOYASIMAMIA MWANZO... ,,,Nakumbuka video YAKE ALIYOITOA HUKU AKITOKWA MACHOZI akisema kwamba ALIPOKUWA KWENYE TAARABU ALIKUWA ANAPOTEA na ANAPOTEZA WATU.na NYIMBO ZAKE ZISIPIGWE. TENA REDIONI NA KWENYE TV NA HATA VYOMBO VYA MUZIKI ALIUZA...,,,,sasa iweje Leo ARUDI?au sasa TAARABU IMEHALALISHWA MBELE YA MUNGU? ajitathmini Mara mbili..NJAA BABA YAO...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tunajua ni shida za dunia, haswaa kwa mtu aliyezoea kushika mipesa pesa,
Sema nae Mzee si angeimba Qaswida basiii wengi wangemsapoti kuliko kurudi kwenye Taaraabu atajiharibia siha yake.
 
Wapiga hela kwenye uislam hakuna labda huko Vatican huku imani tu... na hata hizo kaswida unazozisikia watu wanaimbia kwa mapenzi tu ya mwenyezi mungu na mtume lkn hamna kipato chochote kitakachokufa labda utegemee ndo iwe kazi.... tofauti na uko walter chilambo game imemshinda kaamua kukimbilia huko kwa midundo ile ile na style zile zile kasoro maneno kabadilisha kidogo tu anapiga hela...
N.b... maisha anayoishi imamu wa msikiti wa mtoro ni tofauti kabisa na life analoishi kasisi wa kanisa la s.t joseph.. kifupi huku imani tu swala maisha ni juu yako sio hakuna upigaji huku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…