Mfalme Ogu wa Bashani: Mnefili pekee aliyepona kwenye Gharika la Nuhu

Ok, hv majini yalitokeaje
Majini yameumbwa toka zamani uko na walikuepo kabla yetu hapa dunian wakiishi na wakaja wakaondolewa na kupelekwa baharini baada yakufanya ufisadi hapa aridhini ndipo mungu mungu alipo amrisha waondolewe huku kisha wakapelekwa baharin. Na katika hao majini alikuepo mmoja wao ambae alikuwa mchamungu sana ndipo mungu aliamua kwa makusudi yake mwenyewe amchukue amueke pamoja na malaika na huyo si mwingine bali ni IBIRIS hapo kabla ya kuasi alikua mwema sana na mchamungu kwelikweli mpk akapewa chance yakuwa pamoja na malaika kisha baada ya muda mungu ndo akamuumba baba yetu adam alipo maliza aliwaamrisha malaika pamoja na huyo ibirisi wampe heshma adam. Malaika walimpa heshma adam ila ibirisi alikataa na kwa kibri chake na kumwambia mwenyezi mungu mimi siwezi kukitukuza kiumbe ambacho umekiumba kwa udongo na mimi umeniumba kwa moto na tena umekiumba me nakiona. Hapo ndo mwenyez mungu akakasirika akamlaani yule na kumwambie atoke katika ufalme wake na kumwambie kwanzia leo umeangamia wewe pamoja na wote watakao kufata ibirisi nae kamjibu kwamba atahakikish anafanya kila njia ili ampoteze adam yeye au kizazi chake ili aongie nao motoni.
Nimechoka kuandika bhana ntaendelea badae
 

Hapa naeza pingana na wew kidogo,sidhani kama ni kweli dunia iliishia misri ila tuseme tu maandiko hayakuwa na upana wa kueleza kuihusu Africa kiujumla maana kama wangeliweka uzao wetu lazima tungewahoji vipi sisi mungu alikuwa na lipi juu yetu?

Kama na sisi tungeliandikwa kwenye vitabu vitakatifu wasongelikuwa na uhalali wa kutuaminisha ustarabu ulianzia kwao wakati historia chache zinazopingwa zinaonesha uafrika katika ustarabu wa kwanza!

Ngoja nikwambie chanzo kikuu cha kukizika kitabu cha Enok ni kwa sababu ya kueleza kimapana juu ya dunia na uhalali wa mtu wa kwanza kutokea ukanda wa jangwa la sahara lakini pia kilizungumzia majengo ya pyramid ambayo wanasema hawajui alieyajenga lakini inaelezwa kuwa ni watu wa kabila la Dagon linalopatikana kaskazini ya Niger na nchi ya...(nimesahau) sasa imajini kama pyramid hawajui zilijengwa karne gani na nani watawezaje kukuweka wazi kuhusu uzao wa akina Ogu ambao inasemekana walitokea Afrika au America ya kaskazini ambapo hadi leo kuna baadhi ya michoro na sanamu kubwa,je ziliwekwa na nani ikiwa lile bara halijawahi kukaliwa huko nyuma?na kikubwa zaidi sanamu ni za watu weusi?

So hapo kusema dunia ilianzia misri nakataa sema uzao wetu unafichwa kabisa,haya tuseme sisi makabila mengine ni wakuja tu vipi kuhusu wahdzabe, na wasandawe ambao kimsingi ndio wamiliki wa ukanda huu sema waliponzwa na kuhamahama, na hata baadhi ya vitabu vinasema historia za binadamu wa kwanza kuwa sokwe vinatokana na mwonekano wa jamii hii ya wahadzabe! Je wao hawakuwa na uzao uliotawala? Labda baadhi ya jamii hazikusemwa kwa kuwa hazikuwa zenye uchu wa madaraka hivyo kukimbia Vita basi zinawekwa pembeni

Lakini pia kuna kitabu flan cha nabii wa kike nacho kiliondolewa sababu zikiwa sawa na za kuondolewa kwa kitabu cha Enok huku wakisema vinaushetani

Mzee Afrika ilikuwepo tena enzi na enzi,na ndio maana hata fuvu la mtu wa kale lipo Afrika sema yule Dr nae alipotezewa na fuvu lake hivyo tunaishia tu kusema fuvu la mtu wa kale lipo Afrika basi bila kuhoji zaidi na zaidi

Kuna kitabu flani niliwahi kukiiba kwa mama maana hakutaka kukigawa na hata ufanyeje hakupi,kina mengi sana sema sijui kipo wapi hivi sasa nimekitafuta hapa harakaharaka sijakiona ila hakijapotea kipo nikikipata nitakikopi tujifunze wote

Ila kwa kuwa ni kibiblia zaidi basi tuamini Afrika ilikuwa imeanzia misri.

Jiulizie kwa nini unatajwa mto Nail afu bustani ya Eden haikuandikwa ipo wapi!!
 
Unamaanisha nini kusema hivi?

Louis Seymour Bazett Leakey alituambia kua Mtu wa Zamani/Kale zaidi aliishi Tanzania, na aliigundua hii kitu baada ya kupata Fuvu la Binadamu huyo. Kama unaelewa issue za Zinjanthropus
Baada ya gharika ndio naongelea?? Watu wengi waliishi mashariki ya kati ndio maana Afrika haikusimuliwa sana mpka pale ambapo makabila ya kiafrika yakaendelea kukua na kutapakaa afrika nzima ila hapo kabla ilikuwa nchi za afrika mwisho msiri na libya!!!
 
 
But tunaambiwa kuwa sisi weusi ni uzao wa HAM....so it means tuko na shida??
 
Mkuu kwanni tusiassume kuwa Mungu alimuacha kwa maksudi yake??? Kama ambavyo aliangusha ukuta wa yeriko ila alimuacha yule kahaba!!! Kama ambavyo alimuamuru Joshua achinje warefai wote ila mwisho wa siku aliwaacha wale wa gaza na hata suleiman alipojaribu kuwaua Mungu alimuadhibu...... Je kwanni tusiangalie possibilities za namna hiyo??? Kwamba Jamaa alipona sio kwa nguvu zake binafsi ila kwa Mkono wa Mungu!!!

Kingine lazima tujue kuwa hawakupona watu nane tu mfano wakati wa gharika shem alikuwa na miaka 100 na watoto kibao hivyo safina iliweza kubeba watu zaidi ya 70 ingawa tunaambiwa ni 8 ssa kwa mtindo huo kwanni basi tuzichukue statistics za biblia na namba yake kma ni final bila kuangalia possibilities zingine za uwezekano kati ya watu 70 basi Og alikuwa mmoja wao?
 
But tunaambiwa kuwa sisi weusi ni uzao wa HAM....so it means tuko na shida??
Hapana mke wa Ham ndio alikua mweusi Ham hakuwa mweusi alikuwa ni mweupe...... Unless useme tumepata shida sababu ya mke wa ham inayesemakana alikuwa uzao wa Cain labda ndio tutembee na laana ya Cain ila sio eti Ham alikuwa mweusi so ana laana ya Nuhu hapana kwanza alilaaniwa Canaan sio Ham na canaan kizazi chake kilishafutwa toka agano la kale so laana imeishia pale afterall Yesu alishakuja na akasema amefuta laana ya dunia kivp sisi laana ya waafrika iendelee??? Hizo ni kelele za wabaguzi tu ndio maana hta manabii wengi wa agano la kale walikuwa na wake weusi hivyo kma ni laana ilitembea pia kwenye koo zao???
 
Mkuu nmekuelewa hoja yako na nikiri kweli kwa kiasi kikubwa historia ya afrika inapotoshwa na ndio maana mwanzoni wa hoja yangu nimesema KWA CONTEXT YA AGANO LA KALE...... Sababu kibiblia tokea dunia iumbwe mpaka gharika tunaona population kubwa ikiwa concentrated mashariki ya kati enzi hizo bado dunia ni bara moja tu hakuna mabara na hapo ndio ilikuwa katikati ya dunia na ndio maana enzi hizo ukicontrol middle east inahesabika umetawala dunia sababu hiyo hata Nimrod aliitwa mtawala wa dunia simply alitawala sumeria iliokuwa ndio utawala mkubwa mashariki ya kati ingawa kweli nakubali lazima afrika kulikuwa na watu ila kibiblia haitaji inaishia misri kwa sana

Baada ya gharika ndio tunaona mabara yanagawanyika na watu wanasambaa dunia nzima na hata afrika tunaanza kutajwa humo watu kma nimrod na canaan wanatajwa humo kma watu waliokuwa na nguvu sana na ushawishi katika ulimwengu wa kale so kwa muktadha huu gharika lingepiga mashariki ya kati wakati wa Nuhu ina maana wangeweza kusummarise kuwa gharika limepiga dunia nzima sababu ndio limit ya makazi ya watu !!!

All in all waafrika tujilaumu kwa kutokuandika na kutunza historia zetu mwisho wa siku wazungu ndio wanatuandkiia historia yetu iliopotoshwa..... Mpaka Yesu wanaonyesha ni mzungu ilihali alizaliwa kwenye lineage ya mke wa suleiman aliyekuwa mweusi tii anayezungumziwa kwenye wimbo ulio bora !! Funny
 
Aisee hongera kwa uchambuzi yakinifu.

Huwa najiuliza sana wanaposema fuvu la mtu wa kwanza lilipatikana Africa lakini cha kushangaza wanasahau hilo
 
Mkuu kitabu gani umesoma kupata hicho unachokiandika nami nikitafute ili twende sambamba coz nahic km unanivuruga hivi.

Eti Mungu alimwamurisha shetani amuhesimu Adamu? Fafanua

Na ni ufisadi gani waliufanya hao majini mpk kupewa adhabu ya kuishi majini si kwingineko

Mwanzoni ulisema majini na binadamu ni ndugu mbona hapo tyr unaonekana uadui?

Na je unaweza kuniambia kiuhalisia muonekano wa shetani kiumbe alieumbwa kwa moto kwa mujibu maelezo yako?
 

Je huyu aliekufa na kujifufua mwenyewe na kupaa utasemaje
Zen rekebisha futa kauli Joshua hakusimamiasha jua alisimamisha dunia isizunguke jua
 
Katika vitu ambavyo huwa nashangaa ni kumkuta mtu mzima akiamini hizi story za bible na vitabu vyengine vya dini..! [emoji1][emoji1][emoji1]
 
Katika vitu ambavyo huwa nashangaa ni kumkuta mtu mzima akiamini hizi story za bible na vitabu vyengine vya dini..! [emoji1][emoji1][emoji1]
Wewe unaamini zipi ? Au bado ni mtoto?
 
Hii nadharia umesema ndiyo yenye mashiko,sijaelewa ina mashiko kwa nani,kama ni kwako ni sawa...

Kwangu mimi nadharia hii naiona haina mashiko kabisa mkuu.Nasema hivi kwasababu zifuatazo..

1;Suala la yeye "kupewa kazi ya kuiangalia safina ili isigngane na mawe"ni nadharia ya kuchekesha sana maana unataka kumfanya Mungu kama asiyejiweza na kuelewa alilokuwa anafanya.Kwanza ni mawe gani hayo? Maana maji yalifunika milima yote,kuna jiwe kubwa zaidi ya mlima Kilimanjaro kwa mfano?Lakini unapaswa tu uelewe kwamba suala zima la gharika ni suala lilisimamiwa na Mungu,sijuwi kama unaelewa ni nini maana ya Mungu kwa ujumla wake.....

2;Unadaio kuwa "kwa akili ya kawaida dunia nzima izame halafu wewe pekee uwe kwenye boti,hivi waliokufa watakuacha kweli?",yaani hiki nacho ni kichekesho kingine mkuu. Kwanza safina siyo boti,pili safina ilijengwa kwa namna ya ajabu na kwa maelekezo ya Mungu mwenyewe unadhani unaweza ivunja? Kwa kutumia nini? Halafu ukiwa kwenye maji huku ukipigania uhai wako? Are you serious?

Mungu aliwajuwa hao majitu vizuri sana na kwakuwa yeye aliisimamia "shoo"haya unayofikiria ni kama kitu cha kuchekesha sana kwake...

Hii nadharia yako haina mashiko kabisa hata kiduchu....
Hii nadharia inajaribu kuelezea namna kizazi cha Wanefili kilivyokuja kupatikana baadaye,baada ya gharika.Inawezekana au isiwezekane ukizingatia sababu kuu ya gharika ni hao hao Wanefili na sidhani kama Mungu angeruhusu ikawa hivi japokuwa inaweza ikawezekana pia...
Hii nadhara nayo haifai kabisa.Hii nadharia inataka kumfanya Mungu asiwe Mungu kabisa maana kama tu mtu anaweza kupanda kwenye mlima halafu Mungu atake kumuua na ishindikane kwasababu kapanda kwenye mlima huyo siyo Mungu ni kitu kingine kabisa...
Inawezekana lakini swali kubwa ni namna ilivyowezekana....
Wanefili wa kabla ya gharika walifikia futi 30 hivyo huyu OGu unayemsema hapa sijaona uajabu wake.Ninachokielewa ni kwamba Wanefili wa baada ya gharika walikuwa na urefu wa futi 10 hadi 18 hivyo walikuwa wadogo kiumbo kuliko wale wa kipindi kile cha kabla ya gharika....

Majengo ya kustaajabisha hayapatikani mashariki ya kati pekee mkuu,yapo dunia nzima kuanzia Puma Punku kule Bolivia hadi Urusi mpaka kwenye kisiwa cha Sardinia kule Italy ambapo baadhi ya watafiti wanasema kwamba inawezekana ilikuwa ni moja ya ground Zero ya Wanefili wa kabla yagharika maana walishafukua mabaki makubwa sana ya hawa Wanefili.Moja ya fuvu lililowashangaza ni lile ambalo waliweza kuingiza kwenye eye socket ylile fuvu,ule upanga refu wenye makali kila upande,upanga maarufu wa vitani na ulizama wote na ulipogota kisogoni sehemu pekee iliyobakia nje ni ile sehemu ya kushikia tu...

Unaweza tu kufikiria lilikuwa ni fuvu kubwa kwa kiwango gani...

Mabaki ya majitu haya yenye urefu wa zaidi ya futi 25 yamefukuliwa maeneo mengi sana America ya kusini,kaskazini,Africa,Ulaya na Asia hivyo huyo unayemsema hakuwa peke yake labda baada ya gharika kama ulivyoelezea hapo juu kwasababu baada ya gharika Wanefili walikuwa wadogo kiumbo...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…