Mfalme Ogu wa Bashani: Mnefili pekee aliyepona kwenye Gharika la Nuhu

Sahihi kabisa
Kulikuwa Na mijitu ke Na me!
Lakini kwa kuanza mkuu zitto tambua kuwa mbegu ya giants Bado ipo.
 
Hawa wanefili ni matokeo ya malaika kuzaa na binadamu na inasemekana waliangamia na hawapo tena
Kwanini hawa malaika waliozaa na binadamu huwa hawashuki tena duniani na kuja kuzaa na mabinti wengine baada ya gharika hadi mpaka sasa?
Nini kimewazuia
Hapana kiongozi
Hawa wanefili uzao wao Bado upo Na unaendelea Ku exist katika Dunia ya Leo!
Malaika waaasi baada ya kushuka Na kuzini Na dada zetu!
Walitimuliwa mbinguni Na wapo Na adhabu yao siku ya mwisho
Also tambua kuwa Super Natural aliamua kuangamiza Hawa majitu coz ya kulinda utaratibu !Na mfumo wa ulimwengu!
 
Hapana mkanganyiko hapo kiongozi
Natural Power iliamua Ku balance ulimwengu!
Kumbuka hiyo mijitu Bado Ina exist Na inacontrol Dunia kwa njia zingine
 
Soma maandiko kwa kuelewa
Ni kweli wanefili Bado wapo
Usifananishe hiyo pics Na mijitu
 
Impongo unakuwa Na pupa ndiyo maana unajikanganya
 
duuuuuu jamaa alikuwa c mchezo kupona ktika gharika walah mtihan mzito
 
Nadharia No2 mkuu naipinga japo sio msomaji wa bible vizuri ,ila kibinadamu.

Hii siyo nadharia ya kwenye Biblia, hakuna sehemu kwenye Biblia ambapo haya yameandikwa. Haya ni maandishi ya baadhi ya Wayahudi na Waarabu.

Alichosena mkuu zitto junior hapa ni nadharia "theory" ambayo kazi zetu wasomaji ni kupima, kuchambua na kutafuta ushahidi ili tupate ukweli. Kubwa ziaidi hii ni nadharia ya kidini na siyo ya kisayansi, hivyo tutakuwa tunakosea sana kama tunazipinga kwa kutumia sayansi.

Yote tisa kama unashangaa hili dogo, utaelezaje lile la Nabii Joshua kugandisha jua siku nzima ili Wahebrania wapigane vita. Au lile la Yona kukaa tumboni mwa nyangumi kwa siku tatu bila kufa...???
 
Ushahidi upo mkuu wa kisayansi na kihistoria kuprove kuwa dunia at some point ilikaliwa na maji..... Kasome the canopic theory na ilivyozaa ice age baada ya kuanguka kutoka angani na kujaza dunia nzima na maji ya mafuriko mwishowe ikaganda!!!!

Nliwahi kuweka hapa full documentary ya canopic theory nafkiri kwenye uzi wa kuhusu GIANTS..... Ngoja niitafute niicopy hapa ila gharika is real hata kma halikua la Noah ama hizo 15 myths
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…