Kudo
JF-Expert Member
- Nov 2, 2017
- 1,821
- 6,119
Nakuja Chief ningojee kidoogoKwanni mkuu.... Funguka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakuja Chief ningojee kidoogoKwanni mkuu.... Funguka
Ndio maana toka mwanzo nikasema hii mada tusiingize mahaba ya dini tufikirie nje ya box mkuu wwe unasema kusupport uwepo wa OG ni kumpinga Mungu?? Je muandishi wa kitabu cha kumbukumbu la torati naye anampinga Mungu??kuna jambo linakanganya!! kama unaamin kwamba kuna gharika ilitokea bas huna budi kuamini kuna Mungu. ukiamin juu ya Mungu maana yake unaamini Mungu ni mkuu kuliko huyo Og!! hivyo bas iweje apone na huku lengo la Mungu ni kuangamiza kizazi chote kitakachokua nje ya safina??
lugha rahisi huyu Og alimshinda hadi Mungu. hiyo haiwezekani. ila asante kwa habar yenye kufikirisha
1. Ok mikono 15 sio kama ya sasa ina maana kwa vipimo hivo hivo mikono zaidi ya 15 ambao ndio ulikua urefu wa Mfalme ogu nao sio kama wa sasa ikimaanisha bado aliyazidi maji kma alipanda juu ya milima si ndio maana yake???Nadharia No2 mkuu naipinga japo sio msomaji wa bible vizuri ,ila kibinadamu.
Hata angekuwaje hivi kama inavyosema biblia kuwa maji yalijaa duniani kote mikono kumi na tano (mikono kumi na tano ya wakati huosio sasa) ina maana yalikua maji marefu yenye nguvu unadhani kuna kiumbe kingeweza kabisa kushika safina ili kisiangamie kingali nje ya safina?
Na hio hoja ya kusema kuwa watu wangemvamia.. mkuu maji unayajua nadhani hivi yanavyojua kuwa na nguvu mtu unaweza kumvamia mwenzio? au hata kufikiria kumvamia bila kujiokoa.. Haiwezekani kwakweli.
Tuelimishane vizuri
Hio nadharia ya 3 naweza kuikubali ina make sense mkuu.
Hahahahaa huyo ni cyclops mkuu wa greek mythology naye alikuwa mnefili kma mfalme oguHiyo picha ya mwisho hilo li baba mbona umeliwekea mapembe, au ndo kunogesha story?
Nimesikia hizi tetesi ila sijawahi kuzikalia chini kuzidadavua..... Embu tupe mbili tatu mkuuSahihi kabisa
Kulikuwa Na mijitu ke Na me!
Lakini kwa kuanza mkuu zitto tambua kuwa mbegu ya giants Bado ipo.
Fanya hivyo mzee may be I can change my view cause a critical thinker always changes his view when presented with better argumentUshahidi upo mkuu wa kisayansi na kihistoria kuprove kuwa dunia at some point ilikaliwa na maji..... Kasome the canopic theory na ilivyozaa ice age baada ya kuanguka kutoka angani na kujaza dunia nzima na maji ya mafuriko mwishowe ikaganda!!!!
Nliwahi kuweka hapa full documentary ya canopic theory nafkiri kwenye uzi wa kuhusu GIANTS..... Ngoja niitafute niicopy hapa ila gharika is real hata kma halikua la Noah ama hizo 15 myths
Kuna viongozi wakubwa wa mataifa hapa dunianiNimesikia hizi tetesi ila sijawahi kuzikalia chini kuzidadavua..... Embu tupe mbili tatu mkuu
Hahah niliposoma hii post nimeangaza angaza pembeni hapa pana nguzo ya umeme nilivyoona ukubwa wake imebidi nicheke tu mkuu!dah.Jamani haya yanawezekana maana hata toothpick walizokuwa wanatumie enzi hizo ni kubwa sana kwa sasa unaweza kuzifananisha na nguzo ya umeme.
Wewe ndo unachanganya huoni amekwambia walijitwalia mabinti? Sasa unaposema Wanefili walikuwepo kabla ya binadamu una maanisha nini?Kwanza kuna kitu hakileti ukweli katika Biblia maana hapa katika maandiko ya mwanzo kuna mkanganyiko inaonyesha WANEFILI WALIKUWEPO KABLA YA BINADAMU
1 Ikawa wanadamu walipoanza kuzidi usoni pa nchi na wana wa kike walizaliwa kwao,
Mwanzo 6 :1
2 wana wa Mungu waliwaona hao binti za wanadamu ya kuwa ni wazuri; wakajitwalia wake wo wote waliowachagua.
Mwanzo 6 :2
4 Nao Wanefili walikuwako duniani siku zile;tena ,baada ya hayo ,wana wa Mungu walipoingia kwa binti za binadamu,wakazaa nao wana;hao ndiyo waliokuwa watu hodari zamani ,watu wenye sifa.
Mwanzo 6 :4
Mkuu wana wa Mungu si anamaanisha hao Malaika walioshuka kuja kulala na hao wanawake mkuuGrahnman. Sasa mkuu hapo nimechanganya wapi?
Wana wa Mungu waliwaona wana wa binadamu ya kuwa ni wazuri je wana wa Mungu walikuwa wapi?
Rejea hapa 4 Nyoka akamwambia mwanamke, Hakika hamtakufa,
Mwanzo 3 :4
5 kwa maana Mungu anajua ya kwamba siku mtakayokula matunda ya mti huo, mtafumbuliwa macho, nanyi mtakuwa kama Mungu, mkijua mema na mabaya.
Mwanzo 3 :5
Huyu nyoka alitoka wapi?
Je jamii hii ya wanefili si unaona wamekuwa na ustaarabu kabla ya wanadamu
Mwanzo 7:21 Wakafa wote wenye mwili waendao juu ya nchi, na ndege, na wanyama wa kufugwa, na kila mnyama wa mwitu, na kila kitambaacho chenye kutambaa juu ya nchi, na kila mwanadamu;Najua kufikia hapa wengi mtasema ni upotoshaji na kwamba ni stori za kijiweni ila hoja hii inapata mashiko kupitia biblia kuwa mfalme OGU alikuwa ndio mnefili pekee aliyepona gharika.
Grahnman. Sasa mkuu hapo nimechanganya wapi?
Wana wa Mungu waliwaona wana wa binadamu ya kuwa ni wazuri je wana wa Mungu walikuwa wapi?
Rejea hapa 4 Nyoka akamwambia mwanamke, Hakika hamtakufa,
Mwanzo 3 :4
5 kwa maana Mungu anajua ya kwamba siku mtakayokula matunda ya mti huo, mtafumbuliwa macho, nanyi mtakuwa kama Mungu, mkijua mema na mabaya.
Mwanzo 3 :5
Huyu nyoka alitoka wapi?
Je jamii hii ya wanefili si unaona wamekuwa na ustaarabu kabla ya wanadamu