Mfalme Ogu wa Bashani: Mnefili pekee aliyepona kwenye Gharika la Nuhu

Umeandika mengi japo nimesoma juu kwa juu!
But Wana wa mungu ni malaika!
 
Grahnman.
Mkuu
Leta maandiko ya hili hapa chini

[Mkuu mbona hata mimi naelewa hivyo kama ulivyosema yaani Wanefili si Malaika ila walitokana na Malaika walioshuka dunian na kuzaa na wanawake]
 
Mkuu mbona hata mimi naelewa hivyo kama ulivyosema yaani Wanefili si Malaika ila walitokana na Malaika walioshuka dunian na kuzaa na wanawake
wana wa Mungu vs Wana wa Wanadamu!!!!!!
japo nje ya mada. mimi naelewa wote hao ni wanadamu.
watu waliomuasi Mungu - wana wa wanadamu.
Watu waliomtii Mungu - wana wa Mungu.

maana hata hao manefili bibilia inawaita ni Watu.
pia bibilia sioni kama inazungumzia kama kuna uwezekano wa viumbe walioumbwa na Moto (malaika) kufanya mapenzi na wanadamu(viumbe wa udongo) ili wazaliane.
Maana tendo la ndoa liliwekwa kwa ajili ya wanadamu na sio malaika. na Yesu alisema mbinguni hakuna kuzaa wala kuzaliana.

maoni.
 
Mchawi Mkuu. Tusaidie unavyo amini haya huenda tukapata mwanga zaidi.
Kwanza binafsi sifahamu mungu ni Nani?
Najua kuna SUPER NATURAL POWER ambayo Ina control universe
Inshu ya hao majitu Na fallen angel
Na ishu ya Seth Na Cain
Mimi naijua tofaut Na wengi humu!
 
tunaanza kuongea lugha moja sasa.
mchawi
ztto jr
 
Lkn si unakubali uwepo wa Wanefili je wakitokea wapi?
 

labda walikuwa na mwili mkubwa lakini wana vibamia vilivyowawezesha kulala na wanawake wa kawaida!!!samahani lakini nimekuletea story za vibamia hadi huku
 
Mkuu now sipo sawa kuongelea hilo swala!
 
Jamani haya yanawezekana maana hata toothpick walizokuwa wanatumie enzi hizo ni kubwa sana kwa sasa unaweza kuzifananisha na nguzo ya umeme.
Duh... punguza fix kidogo we mrembo... dah!
 
Hawa wanefili ni matokeo ya malaika kuzaa na binadamu na inasemekana waliangamia na hawapo tena
Kwanini hawa malaika waliozaa na binadamu huwa hawashuki tena duniani na kuja kuzaa na mabinti wengine baada ya gharika hadi mpaka sasa?
Nini kimewazuia

kwahiyo hao malaika wana maumbo makubwa au watoto wakizaliwa ndio wanakuja kuwa na maumbo makubwa???
 
Grahnman.
[Lkn si unakubali uwepo wa Wanefili je wakitokea wapi]

Jibu ni kuwa wanefili walikuwepo kabla ya wanadamu.
 
Wewe mjamaa!
Inshu ni kwamba
Wewe unasema wanefili n product ya Wana wa mungu ambao ni uzao wa Seth
But me nasema hao majitu ni uzao wa malaika waasi mbona history Na vitu vipo wazi
hilo bandiko nimelitoa mahali kuleta mtazamo mpya juu ga wanao sema wana wa Mungu ndio malaika. Nimeomba ushahidi wa wapi ktk biblia unaonesha wana wa Mungu ndio malaika waasi sijapata mpaka sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…