Mfalme Ogu wa Bashani: Mnefili pekee aliyepona kwenye Gharika la Nuhu

Mfalme Ogu wa Bashani: Mnefili pekee aliyepona kwenye Gharika la Nuhu

Mchawi Mkuu. Tatizo una

[Hebu nitafsirie hapo]

soma kwa kuridhisha nafsi haumizi kichwa kugundua halisi ulichokiandika hakileti mktadha wa kuwa malaika ni wana wa Mungu.

6 Ilikuwa, siku moja ambayo hao wana wa Mungu walikwenda kujihudhurisha mbele za Bwana, Shetani naye akaenda kati yao.
Ayubu 1 :6
Impongo. Biblia soma kwa kuelwa
 
Hahahahaa safi sanaaa!
Nadhani ubishi umeisha!
Mlikuwa mnanibishia!.
Haya leta swali lingine!

japo bado naendelea kutafiti ukweli juu ya wana wa Mungu ni nani? hivyo siwezi kubali moja kwa moja.
swali ni

je hao ndio walijitwalia mabinti wa wanadamu?
 
japo bado naendelea kutafiti ukweli juu ya wana wa Mungu ni nani? hivyo siwezi kubali moja kwa moja.
swali ni

je hao ndio walijitwalia mabinti wa wanadamu?
Mkuu!
Ilikuwa hivi!
Malaika waasi chini ya azael walitua katika mlima flan hivi!.
Baada ya kuona bint za wanadamu
Wakawataman! Kumbuka Lucifer alikuwa Na Vita ya chini Na Mungu!.
 
Mkuu hakuna anyepotosha kwani kuna mahala nmeandika malaika walizaa na binadamu?? Kwenye mada yangu maana wote tunajua wanefili ni uzao wa cain na seth likowazi kabisa ila Nimeleta hiyo hoja ya MALAIKA baada ya mchangiaji mmoja kusema malaika hawezi kumzalisha mwanadamu ndio nkauliza Yesu aliwezaje kuzaliwa bila maria kulala na mwanaume?? Kama alipata kwa kupandikizwa tu na roho mtakatifu je malaika hawawezi pia..... Ni swali tu kusaidiana hakuna upotoshaji

Kingine nmesema kma hao malaika waliweza kwenda kwa Abraham kwa muonekano wa kibinadamu na walifanya kila kitu ambacho mwanadamu anaweza kufanya kwanni usiamini pia wangeweza hata kulala na mwanamke??

Haya ni maswali ya kujiuliza tu so hakuna haja ya kutoa kashfa kuwa nani mpotoshaji nani sio ni kueleweshana tu
Zitto junior Nakuthibitishia Malaika hawezi kuzaa na mtu na mbinu aliyoitumia Mungu kumleta Yesu Malaika haiwezi. Maana Mungu alitoa nafsi moja ambayo ndiyo yesu ili malaika afanye hivo ajiingize mwenyewe. sasa ataweza??
 
Hapana kiongozi
Hawa wanefili uzao wao Bado upo Na unaendelea Ku exist katika Dunia ya Leo!
Malaika waaasi baada ya kushuka Na kuzini Na dada zetu!
Walitimuliwa mbinguni Na wapo Na adhabu yao siku ya mwisho
Also tambua kuwa Super Natural aliamua kuangamiza Hawa majitu coz ya kulinda utaratibu !Na mfumo wa ulimwengu!
Mkuu huo uzao wao ni wakubwa kwa maumbo kama hao wa zamani au?
Mbona hatujawahi kuwaona?
 
zzt Junior hii unaizungumziaje?
Mkuu mwana wa Mungu inatafsiri tofauti kwa kila kifungu inapotajwa sasa kwa muktadha wa job na zaburi na daniel wana wa Mungu ni MALAIKA

Ila kwa mwanzo kwa uelewa wangu wana wa Mungu pale ni wana wa seth sababu ndio waliokuwa wasafi ila wanadamu ni uzao wa cain (kizazi cha nyoka) ila bado kuna wanaoweza kujengea hoja kuwa wana wa Mungu wanaotajwa kwenye zaburi kuwa walishangilia pamoja na nyota ya asbuhi siku dunia inaumbwa ndio hao hao wanaotajwa na mwanzo 6:4 hivyo hii mistari bado ni mjadala unless tuseme wana wa Mungu kwa kila kitabu ina maana tofauti ila tukizifungamanisha basi ndio inazaa mjadala kma hivi kuwa ipi ni ipi nachoona muhim tuangalie muktadha wa kitabu husika na tusifungamanishe kuwa definition ya mwana wa Mungu ni moja kwa biblia nzima nafkiri hii itasaidia kupunguza mkanganyiko huo

Cc impongo Mchawi Mkuu mitale na midimu
 
Back
Top Bottom