Mkuu mbona hata mimi naelewa hivyo kama ulivyosema yaani Wanefili si Malaika ila walitokana na Malaika walioshuka dunian na kuzaa na wanawake
Aisee,
BIBLIA NI PASUA KICHWA
Hii kitu ni
Equivalent to zile sentensi za:-
"Yesu ni Mungu"
Then;
"Mungu hafananishwi na kitu chochote"
Au
"Usimwabudu Mungu mwngn tofauti na Bw.Mungu wako"
Baada ya hapo,utaambiwa
"Yesu ni mwana wa Mungu"
Then;
"Mungu hakuzaa wala kuzaliwa"
JAMANI;
HAYA MAANDIKO YANATUCHANGANYA SANA
YAAN
INAFIKIA HATUA SASA MPAKA TUNAANZA KUWAZA KWA SAUTI VITU VYA AJABU AJABU;
(Mtanisamehe sn km ntawakwaza waungwana)
" Hizi dini hizi, inawezekana ndo zilikua siasa moto moto za miaka ile"
"Hizi biblia/Quran hizi, inawezekana ndo zilikua ilani za uchaguz madhubuti miaka ile ya kale"
"Ndo maana wakoloni waliwatanguliza kwanza wamissionari kutuletea hizi dini waafrica ili kutulainisha kwanza nyoyo zetu tukijiandaa kuupokea ukoloni KWA mikono miwili"
Bado nazid kujiuliza;
" lile Taifa letu teule&watu wake (Israeli) ambalo mungu alilipigania kulilinda&kulitetea sana miaka hiyo kama biblia inavotuelekeza,
Sasa mbona kiuhalisia watu wake mpk hivi sasa watu wake (wayahudi) hawaamini kabisa katika Yesu Kristo wala Ukristo wenyewe? "
Hili swali huwa lnaniumza sana KICHWA.
Na kama waisraeli hawaamini,
Sasa mbona mungu anazidi tu kuwaneemesha wao tu kila siku?
Wakati sisi waafrica wafia dini&IMANI tunazidi tu kua Maskini?
Nao Mungu si angewapiga tu lile Gharika kama lile la Nuhu tubaki wale tu watiifu Maisha yaanze upya?
NAjiuliza TU KWA SAUTI, Mwenye majibu tafadhari.
Nawasilisha.