mitale na midimu
JF-Expert Member
- Aug 26, 2015
- 10,420
- 17,735
"... hao ndio walikuwa watu hodari wenye sifa"Sasa mkuu kama ni uzao wa binadamu kwa nini wao wakatenganishwa jina lao wakaitwa Nephil na wassitwe binadamu yaani mi nataka nijue asili yao hawa viumbe walitokana na nini?
bibilia inawaita ni watu, hivyo sidhani kama hilo jina ni kikwazo au linawaondoa katika utu wao.