Mfalme Ogu wa Bashani: Mnefili pekee aliyepona kwenye Gharika la Nuhu

Mfalme Ogu wa Bashani: Mnefili pekee aliyepona kwenye Gharika la Nuhu

Mkuu umenifikirisha sana hapo kuhusu uwepo wa pre adamic race......
Anasema kwamba Pre-Adamic Race ilikuwa Corrupted na Lucifer na wakaanza kumwabudu. Sasa anatumia kitabu cha Ezekiel kusema kwamba Uzuri wako (Lucifer) na hekima zako ziliwadanganya wafalme wa Ulimwengu na ukasema utajiiunua juu ya nyota za Mungu (Wafalme gani hawa wanaongelewa hapa kabla ya uumbaji) Dake anazungumza vitu hadi unaweza kusema anakufuru.......
 
Neno wana wa Mungu lilitumika hapo kwenye Biblia Asilia ya kihebrania ni neno "B'nai Elohim" ambalo sehemu zote lilipotumika lilimaanisha Malaika.

Mkuu neno hilo hilo kwa Mujibu wa Israel Institute of Biblical Studies humaanisha "
wana wa wafalme, au wana wa waamuzi, pia malaika"
kuna tafsiri tatu kanganyifu hadi sasa.
1:Walikuwa ni wanadamu wana wa uzao wa Seth (naamini hii maana inaleta mantiki zaidi)
2:Walikuwa ni malaika
3:walikuwa ni tabaka flani la wanadamu watawala wenye nguvu sana.

lakini mkuu Mathayo 22:30 Yesu anasema wazi...
"Kwa kuwa katika kiyama hawaoi wala hawaolewi, BALI HUWA KAMA MALAIKA WA MBINGUNI"

nashawishika kuamini wale hawakuwa malaika bali, ni watu japo kuna mahala malaika wameitwa kama wana wa Mungu.
"Zaeni mkaongezeka muijaze nchi" kuzaa ni suala la wanadamu sio malaika mkuu.
Lakini pia lawama za uasi ktk mwanzo 6 zinawaelekea wanadamu sio malaika.

kwa mtazamo wangu concept ya malaika haiingii na naona kama ni biologically imposible event, na Yesu anathibitisha hilo.
CC
zitto junior
 
Anasema kwamba Pre-Adamic Race ilikuwa Corrupted na Lucifer na wakaanza kumwabudu. Sasa anatumia kitabu cha Ezekiel kusema kwamba Uzuri wako (Lucifer) na hekima zako ziliwadanganya wafalme wa Ulimwengu na ukasema utajiiunua juu ya nyota za Mungu (Wafalme gani hawa wanaongelewa hapa kabla ya uumbaji) Dake anazungumza vitu hadi unaweza kusema anakufuru.......
Kwa sample hii imenitia hamu sana kutafuta maandiko ya huyu jamaa hicho kitabu itabidi utufanyie mpango mkuu tupanue fikra maana hii dunia hii kuna mengi sana tunafichwa sana na tunayoelezwa hayafiki 10% ya yaliyopo kma alivyowahi kusema PLATO!!
 
Kuna Wana wa Mungu na wana wa adamu.
wana wa Mungu nafikiri ni Immortal beings..wana uungu ndani yao,yani wana uwezo,sijui tuseme material ya Ki Mungu.

Yesu alipendelea kusema mm mwana wa adamu...
Shost uko vizuri...heko[emoji122] [emoji122]
 
Ukija nitamalizia
Na impact zake zilikuaje!
Na jinsi ilivyokuwa mgawanyiko!
Kumbuka Hawa nephilism kuna wengine walikimbia Dunia! Wakaenda mbali!
Ndiyo baadhi tuna waita so called UFO's !
Mmmh we mjamaaa ntakutafuta, sijui uko bongo![emoji15] [emoji15]

Ntakusaka unitoe ufala fala nilionao!
 
Mkuu neno hilo hilo kwa Mujibu wa Israel Institute of Biblical Studies humaanisha "
wana wa wafalme, au wana wa waamuzi, pia malaika"
kuna tafsiri tatu kanganyifu hadi sasa.
1:Walikuwa ni wanadamu wana wa uzao wa Seth (naamini hii maana inaleta mantiki zaidi)
2:Walikuwa ni malaika
3:walikuwa ni tabaka flani la wanadamu watawala wenye nguvu sana.

lakini mkuu Mathayo 22:30 Yesu anasema wazi...
"Kwa kuwa katika kiyama hawaoi wala hawaolewi, BALI HUWA KAMA MALAIKA WA MBINGUNI"

nashawishika kuamini wale hawakuwa malaika bali, ni watu japo kuna mahala malaika wameitwa kama wana wa Mungu.
"Zaeni mkaongezeka muijaze nchi" kuzaa ni suala la wanadamu sio malaika mkuu.
Lakini pia lawama za uasi ktk mwanzo 6 zinawaelekea wanadamu sio malaika.

kwa mtazamo wangu concept ya malaika haiingii na naona kama ni biologically imposible event, na Yesu anathibitisha hilo.
CC
zitto junior
Mkuu mitale na midimu mie bado nashikilia msimamo kuwa kila inapotajwa wana wa Mungu tuisome kwa context husika sio general sababu kati ya hizo maana 3 unakuta kila mwandishi alimaanisha yake ila kuhusu mwanzo 6 hao wana wa mungu walikua ni wanadamu au Malaika nafkiri tuangalie muktadha alafu linganisha na huu mstari

Yuda 1:6
6 Na malaika wasioilinda enzi yao wenyewe, lakini wakayaacha makao yao yaliyowahusu, amewaweka katika vifungo vya milele chini ya giza kwa hukumu ya siku ile kuu.
7 Kama vile Sodoma na Gomora na miji iliyokuwa kando-kando, waliofuata uasherati kwa jinsi moja na hawa, wakaenda kufuata mambo ya mwili yasiyo ya asili, imewekwa kuwa dalili, wakiadhibiwa katika moto wa milele.


Je kwanni mwandishi hapa alinganishe uasherati wa sodoma na gomora kama hao MALAIKA??

Neno KAMA VILE .......KWA JINSI MOJA NA HAWA yanaleta maswali zaidi kwanni uzinzi ndio ulinganishwe na wale malaika?? Ina maana hawa malaika walikuwa wanalala na wanawake ingawa sio asili yao??? Embu tuwekane sawa mkuu

Barikiwa
 
Siri zilizopo duniani ni

1) Hewa / Pumzi

2) Maji (colouless n tasteless first and most liquid)

3) Jua

Siri ya nne ni MUNGU mwenyewe, hii ya nne siku ukijua ndio siku utakayokufa.

Asomaye na Afahamu
Siku ukijua, kwanini ufe?
 
Hawa annunaski niliwasikia kwa mara ya kwanza kuwa walikujaga miaka mingi sana hapa duniani
huwa wanakuja na sayari yao na kuondoka kwa kila baada ya kipindi fulani.. Mara ya mwisho walikuja enzi za kina nuhu au babeli kama sijakosea
Hivi karibuni ilizushwa kuwa ile sayari ya nibiru ndio wao na wanasemekana wapo karibuni kuja tena duniani
Na ni viumbe ambao wapo advanced saana
Annunaski ni viumbe washenzi au piece tu?
 
Mkuu neno hilo hilo kwa Mujibu wa Israel Institute of Biblical Studies humaanisha "
wana wa wafalme, au wana wa waamuzi, pia malaika"
kuna tafsiri tatu kanganyifu hadi sasa.
1:Walikuwa ni wanadamu wana wa uzao wa Seth (naamini hii maana inaleta mantiki zaidi)
2:Walikuwa ni malaika
3:walikuwa ni tabaka flani la wanadamu watawala wenye nguvu sana.

lakini mkuu Mathayo 22:30 Yesu anasema wazi...
"Kwa kuwa katika kiyama hawaoi wala hawaolewi, BALI HUWA KAMA MALAIKA WA MBINGUNI"

nashawishika kuamini wale hawakuwa malaika bali, ni watu japo kuna mahala malaika wameitwa kama wana wa Mungu.
"Zaeni mkaongezeka muijaze nchi" kuzaa ni suala la wanadamu sio malaika mkuu.
Lakini pia lawama za uasi ktk mwanzo 6 zinawaelekea wanadamu sio malaika.

kwa mtazamo wangu concept ya malaika haiingii na naona kama ni biologically imposible event, na Yesu anathibitisha hilo.
CC
zitto junior

Nakubaliana kabisa na wewe Mkuu, hapa kuna mkanganyiko mkubwa sana sana.
Lakini tukiangalia kihistoria tutakuja gundua vitu viwili hapa:
Mosi, hoja ya kwamba wana wa Mungu walikuwa ni wana wa Seth na Tabaka fulani lenye nguvu ni theolojia ya Ukristo wa sasa. Ina maana kwamba imekuja baada ya huu Ukristo wetu kuzaliwa na haikuwepo huko kale. Hoja ambayo ilikuwepo huko kale ni hii ya B'Nai Elohim kuwa wana wa Mungu Malaika hata wanahistoria wakubwa wa kale wa Kiyahudi kama Flavuius Josephus amendika hayo kuhusu Malaika na wanadamu kuingiliana. Huyu ni mwandishi ambaye wanathiolojia wengi wanamtumia kama Authority.

Pili, hapo kwenye lugha za Biblia lazima tutofatishe kabisa.
Agano la Kale liliandikwa kwa Kihebrania na Agano jipya Kigiriki na Baadae Kilatini. Binafsi huwa navyosoma Biblia huwa natumia King James Version yenye Strong Concordance ya Kihebrania na Kigiriki. Nimesoma nikaja kugundua kuna baadhi ya maneno yaliyosawa kwenye lugha ya Kiingereza ndani ya biblia moja ni tofauti kabisa na huleta maada tofauti katika lugha zao asili za Kigiriki na Kihebrania. Kama neno "Prayer" ni kuomba lakini kigiriki na Kihebrania yanakuwa na tofauti zake kidogo. Ndiyo maana katika usoma Biblia kuna Verse to Verse reading, Amplified Meaning and Contextual Meaning.
Lazima uzitumie zote hizi ili kuweza kupata maana halisi ya neno. Sasa siku hizi shida inakuja ni kwamba watu wengi tunasoma bila kuwa na ufahamu wa Uchambuzi na hapa tunapata sana shida...Kwasababu mbali na mistari ya Biblia ni lazima mwanatheolojia yoyote ajue ni kipindi gani ule mstari uliandikwa na kwasababu gani uliandikwa.

Yote tisa,
Hizi ni nadharia tu Mkuu, tuzisome na tuzichambue bila kuvuka mipaka na kupotosha NENO TAKATIFU LA MUNGU.
Ndiyo maana Mtume Paulo aliwahi kuwaonya Wakristo kwamba wajiepushe sana na simulizi za Wayahudi zisizo na msingi kama zile za Masadukayo kusema hakuna Kiama.
 
Kwanza binafsi sifahamu mungu ni Nani?
Najua kuna SUPER NATURAL POWER ambayo Ina control universe
Inshu ya hao majitu Na fallen angel
Na ishu ya Seth Na Cain
Mimi naijua tofaut Na wengi humu!
Weka hapa na utupe source ulitoa wapi mkuu tujifunze
 
Back
Top Bottom