Mfalme Ogu wa Bashani: Mnefili pekee aliyepona kwenye Gharika la Nuhu

Mfalme Ogu wa Bashani: Mnefili pekee aliyepona kwenye Gharika la Nuhu

Labda ungeandika kifungu kabisa kurahisisha halafu nikujibu

Kumbukumbu la torati 3:11
11 (Kwani aliyesalia katika mabaki ya Warefai ni Ogu pekee, mfalme wa Bashani

Biblia hapa inasema ogu ni mrefai aliyesalia sasa naomba unisaidie kama wanefili (warefai) wote walifariki kwenye gharika je mfalme ogu alitokea wapi???

Tuanzia hapo kwanza
 
Kumbukumbu la torati 3:11
11 (Kwani aliyesalia katika mabaki ya Warefai ni Ogu pekee, mfalme wa Bashani

Biblia hapa inasema ogu ni mrefai aliyesalia sasa naomba unisaidie kama wanefili (warefai) wote walifariki kwenye gharika je mfalme ogu alitokea wapi???

Tuanzia hapo kwanza
Naona umeshinda!.
Sema wengine wamebaki Na maswali yale yale ya mwanzo!...
 
Kiongozi usijaribu kubishana Na watu!.
Mbona hapo juu nishatoa hitimisho!.
Mpango wa Mungu Huwa Na kusudi maalumu!.
Nimesema hapo juu kuwa Mungu alimwacha OG Na waamor for reasons!...
Nakubaliana na hitimisho lako 100% ila kuna watu wanakataa kabisa kuwa Mungu hawezi muacha mnefili nyuma kama ilikuwa nia yake kuwaangamiza kwenye gharika ndio maana nikajenga hoja hapo kuwa mbona Mungu aliapa kuwafuta wacanaan wote ila mwisho wa siku aliwaacha wengine hakuwaua na aliwakataza hata waisrael wasiawaue??

Kama aliweza kuwaacha hao wacanaan ilihali alishaapa kuwamaliza kivp watu wakatae kuwa Mungu asingeweza kumuacha mfalme ogu??
 
Nakubaliana na hitimisho lako 100% ila kuna watu wanakataa kabisa kuwa Mungu hawezi muacha mnefili nyuma kama ilikuwa nia yake kuwaangamiza kwenye gharika ndio maana nikajenga hoja hapo kuwa mbona Mungu aliapa kuwafuta wacanaan wote ila mwisho wa siku aliwaacha wengine hakuwaua na aliwakataza hata waisrael wasiawaue??

Kama aliweza kuwaacha hao wacanaan ilihali alishaapa kuwamaliza kivp watu wakatae kuwa Mungu asingeweza kumuacha mfalme ogu??
Hahahahaa!..
Upo vizuri naona!.
Mjadala umekwisha anzisha mwingine!.
Hawa waliobaki wataleta ubishi wa kitoto!..
Mkuu leta maada ingine
 
Hahahahaa!..
Upo vizuri naona!.
Mjadala umekwisha anzisha mwingine!.
Hawa waliobaki wataleta ubishi wa kitoto!..
Mkuu leta maada ingine
Nmeshaipost mkuu ila kama kawa JF intelligence wanashikilia nyuzi kwa siku kadhaa ndio wanaiachia
 
Sahihi jana nimepost Uzi but naona Bado upo pending!..
Itabidi ni freeze Uzi wangu ili wako utembee
Hata wangu utakuta unaachiwa jumatatu huko dah yaani hawa mods mkuu wanaudhi sana na hizi kelele hata hawajali kabisa sijui kwanini
 
Kumbukumbu la torati 3:11
11 (Kwani aliyesalia katika mabaki ya Warefai ni Ogu pekee, mfalme wa Bashani

Biblia hapa inasema ogu ni mrefai aliyesalia sasa naomba unisaidie kama wanefili (warefai) wote walifariki kwenye gharika je mfalme ogu alitokea wapi???

Tuanzia hapo kwanza
mkuu ...
aliyesalia katika mabaki ya warefai wapi?
1:Kumbukumbu 2:20 (Nchi hiyo nayo yadhaniwa kuwa ni nchi ya Warefai, hapo kale Warefai walikaa humo; lakini Waamoni huwaita Wazamzumi;
21 nao ni watu wengi, wakubwa, warefu, kama Waanaki; lakini Bwana aliwaangamiza mbele yao; wakawafuata wakakaa badala yao;

au
2:Waliobaki baada ya waamori kuchukua eneo hilo kutoka kwa waamoni.

au
kubaki katika gharika?
 
Uzao wa wanefili haukua wa wanadamu japokuwa anaki nao haukua hivyo Tangu mwanzo shetani alijiingiza ndani ya kiumbe ili afanikishe kile alicholenga ndani ya jamii hiyo
Mfano biblia inasema habari ya majitu kabla wakati wa nuhu na baada ya nuhu
Katika Mwanzo 6:1-4 unaona watu wanatajwa kama wana wa Mungu hao wana Mungu walizaa na binti za wanadamu yaani watu wa Mungu ukielewa hapa Utaona uasi na dhambi
zikawa nyingi Mungu aliteketeza wore hakuna kilichosalia isipokuwa baada ya gharika kulitokea nimrodi huyu alikuwa ni mtu hodari ambaye inaonyesha alikuwa na nguvu uyu naye ni mzao wa kushi lakini alizaa hao waamori wafilisti na wengine wengi tu ambao ni watu wakubwa mwanzo 10:9,,, utagundua hayo majitu yalitokea uzao upi linganisha hayo makabila na hayo yaliyotajwa hapo kwa Ogu

Ukisoma yuda 1:4. Utaona watu waliojiingiza kwa siri waibadilio neema kuwa ufisadi waozungumziwa hapa na mwandishi sio tu Leo katika kanisa bali hao majitu
Kwa kukamilisha uzao wao ogu haukuwa wa kawaida maana hawakuwa watu wa asili bali walitokana na malaika waasi na hukumu yao si sawa nawanadamu ukiniambia mabaki yaliosalia
Ni watu nane na katika hao kuna uwezekano wa kuwapata wanefili kirahisi mno
Soma
Hayo makabila kwanza uniambie yanavyo endana na ogu
 
mkuu ...
aliyesalia katika mabaki ya warefai wapi?
1:Kumbukumbu 2:20 (Nchi hiyo nayo yadhaniwa kuwa ni nchi ya Warefai, hapo kale Warefai walikaa humo; lakini Waamoni huwaita Wazamzumi;
21 nao ni watu wengi, wakubwa, warefu, kama Waanaki; lakini Bwana aliwaangamiza mbele yao; wakawafuata wakakaa badala yao;

au
2:Waliobaki baada ya waamori kuchukua eneo hilo kutoka kwa waamoni.

au
kubaki katika gharika?
Kabla ya gharika mkuu..... All in all hata kama ingekuwa baada ya gharika bado swali lingekuja whether og alikuwepo au hakuwepo kabla ya gharika je WANEFILI walirudije baada ya gharika??

Nafkiri ukinielewesha jinsi warefai walirudi baada ya gharika basi tunaweza fikia ukomo wa mjadala huu yaani tukiachana na OG ambaye biblia haisemi kama alivuka gharika JE WANEFILI walirudije baada ya gharika hadi almost immediately baada ya gharika walishakuwa na utawala wao soma mwanzo 14

Ukinielewesha hapa utakuwa umenisaidia kupata ukweli wa ogu kama naye alikuwepo hata kabla ya gharika au ni upotoshaji tu wa vitabu flani

Ahsante
 
Mkuu hii ni biblia mbona ndio nmeongelea kwenye hii post na hata mfalme Ogu pia biblia inamtaja so hatupo mbali sana na vitabu vya dini

Labda udadavue kipi kimekuchanganya ili wajuvi watiririke
Mkuu nimeusoma uzi wote taratiibu nimegundua biblia naisomaga juju muda mwingi tu,nikuulize we kwa uelewa wako mbn mi naona ule mstari katk kitabu cha mwanzo unao sema wana wa mungu walijitwalia mabinti wa binadamu wakazaa nao watoto ambao ndo walikuwa hodari kipindi hicho,sasa tatizo language hapa nilidhani mstari unaofuata unaosema nao wanefili walikuwako siku zile ninavyoelewaga Mimi ni kuwa wanefili walikuwako kabla ya wana wa mungu kujitwalia binti za wanadamu,kingine ni kuwa Nina bible Fulani hivi katika mstari wa wana wa mungu wametajwa kama "wana wa mungu wa kweli" sasa hapa neno wakweli linamuhusu Mungu au "wana" yaani Mungu wa kweli au hao wana wa Mungu ni wana wa kweli wa mungu? Pole nimeandika kwa uelewa wangu tu sijanakili kila neno katk mistari ya biblia.
 
Kiongozi usijaribu kubishana Na watu!.
Mbona hapo juu nishatoa hitimisho!.
Mpango wa Mungu Huwa Na kusudi maalumu!.
Nimesema hapo juu kuwa Mungu alimwacha OG Na waamor for reasons!...
Waamori ni uzao wa nimrodi unafikiri nimrodi alikuwa nani ni yale yale majitu soma mwanzo hakunahaja ya kukimbia mbele mwazo 10:8-20
Je nimrodi si alizaliwa na kushi mwana wa hamu mzao wa nuhu je nuhu hakuwa mabaki ya gharika au nini tena
 
Naongeza hivyo wanefili/warefai hawakujishikiza bali walizaliwa tena kwa nimrodi maana hawakuwa watu wa asili bali walitokana na kuingiliana kwa malaika wa shetani(wana WA Mungu) kwa maana hiyo Hoja yako pamoja na vifungu vyote hukuchimba hayo makabila yanayoelezwa hapo jamaa walikuwepo kutoka kwenye uzao wa nimrodi hakuna aliyejishikiza popote
Yaaani
Mwanzo waliosalia ni 8 tu na katika hao warefai walizaliwa
 
Waamori ni uzao wa nimrodi unafikiri nimrodi alikuwa nani ni yale yale majitu soma mwanzo hakunahaja ya kukimbia mbele mwazo 10:8-20
Je nimrodi si alizaliwa na kushi mwana wa hamu mzao wa nuhu je nuhu hakuwa mabaki ya gharika au nini tena
Mkuu ambacho nafkiri unaruka ni kwamba sisi hatubishi kuwa Og hakuwepo kabla ya gharika ila tusaidie wwe je wanefili walirudije baada ya gharika??? Maana Mungu alitaka kuwaangamiza wanadamu wote kasoro Nuhu ambaye hakuwa na damu ya kinefili sasa basi kama mnakataa OGU ndio alivusha damu hiyo je nani basi alivusha damu ya wanefili hadi isipotee kwenye gharika

Maana gharika limeisha tu utagundua wanefili tayari walishakuwa na nchi yao wanaishi na wanapigana hadi vita na falme zingine soma mwanzo 14 je walitoka wapi hawa wanefili ilihali gharika liliwamaliza??

Kingine nimrod hakuzaa waamori.... Waamori walitokana na canaan mtoto wa mwisho wa ham. Na hao waamori walikuwa wanajinaisibisha na mfalme Ogu je swali linarudi waamori walitoa wapi unefili ilihali wanefili walimalizwa kwenye gharika??
 
Naongeza hivyo wanefili/warefai hawakujishikiza bali walizaliwa tena kwa nimrodi maana hawakuwa watu wa asili bali walitokana na kuingiliana kwa malaika wa shetani(wana WA Mungu) kwa maana hiyo Hoja yako pamoja na vifungu vyote hukuchimba hayo makabila yanayoelezwa hapo jamaa walikuwepo kutoka kwenye uzao wa nimrodi hakuna aliyejishikiza popote
Yaaani
Mwanzo waliosalia ni 8 tu na katika hao warefai walizaliwa
Mkuu Nuhu alikuwa uzao wa SETH yaani mwana wa Mungu na kitabu cha jasher ambacho kinatambuliwa na waandishi wa biblia yaani Nabii musa.... Kinasema mabinti wa methuselah ndio waliolewa na wana wa Nuhu je hiyo damu ya UNEFILI itoke wapi wakati ilikuja baada ya WANA WA MUNGU kuzaa na WANA ADAMU whatever au SETH kuzaa na CAIN

Sioni mahala damu ya cain ilipenya kuendana na official biblical records...... Je wametoka wapi wanefili hao
 
Mkuu Nuhu alikuwa uzao wa SETH yaani mwana wa Mungu na kitabu cha jasher ambacho kinatambuliwa na waandishi wa biblia yaani Nabii musa.... Kinasema mabinti wa methuselah ndio waliolewa na wana wa Nuhu je hiyo damu ya UNEFILI itoke wapi wakati ilikuja baada ya WANA WA MUNGU kuzaa na WANA ADAMU whatever au SETH kuzaa na CAIN

Sioni mahala damu ya cain ilipenya kuendana na official biblical records...... Je wametoka wapi wanefili hao
Unaarudi tu mama mno unaijua sifa ya mwamori utaelewa mnefili katoka Wapi
 
Mkuu nimeusoma uzi wote taratiibu nimegundua biblia naisomaga juju muda mwingi tu,nikuulize we kwa uelewa wako mbn mi naona ule mstari katk kitabu cha mwanzo unao sema wana wa mungu walijitwalia mabinti wa binadamu wakazaa nao watoto ambao ndo walikuwa hodari kipindi hicho,sasa tatizo language hapa nilidhani mstari unaofuata unaosema nao wanefili walikuwako siku zile ninavyoelewaga Mimi ni kuwa wanefili walikuwako kabla ya wana wa mungu kujitwalia binti za wanadamu,kingine ni kuwa Nina bible Fulani hivi katika mstari wa wana wa mungu wametajwa kama "wana wa mungu wa kweli" sasa hapa neno wakweli linamuhusu Mungu au "wana" yaani Mungu wa kweli au hao wana wa Mungu ni wana wa kweli wa mungu? Pole nimeandika kwa uelewa wangu tu sijanakili kila neno katk mistari ya biblia.
Mwanzo 6
1 Ikawa wanadamu walipoanza kuzidi usoni pa nchi na wana wa kike walizaliwa kwao,
2 wana wa Mungu waliwaona hao binti za wanadamu ya kuwa ni wazuri; wakajitwalia wake wo wote waliowachagua.
3 BWANA akasema, Roho yangu haitashindana na mwanadamu milele, kwa kuwa yeye naye ni nyama; basi siku zake zitakuwa miaka mia na ishirini.
4 Nao Wanefili walikuwako duniani siku zile; tena, baada ya hayo, wana wa Mungu walipoingia kwa binti za wanadamu, wakazaa nao wana; hao ndio waliokuwa watu hodari zamani, watu wenye sifa.


Ukisoma kwa umakini utagundua mstari wa pili ndipo walipoanza kuzaliana.... Na hao wanefili wamekuja kutajwa mstari wa 4 ikimaanisha ni zao la mstari wa 2.....

Kuhusu neno WANA WA MUNGU WA KWELI labda muandishi alitaka aweke tu msisitizo ila bado maana ni ile ile kuwa ni WANA WA MUNGU haijalishi alimaanisha wana wa Mungu yaani malaika ama alimaanisha wana wa Mungu yani watu waliokuwa wanamuabudu ila naona hiyo WA KWELI kama msisitizo tu wa sentensi kuonyesha utofauti wa hao wana wa Mungu wa kweli kulinganisha na wanadamu wengine ambao walikuwa hawamuabudu Mungu au vilevile alitaka kuweka msisitizo juu ya Mungu anaeongelea kuwa ni YHWH na sii mwingine

Che mittoga SALA NA KAZI
 
Unaarudi tu mama mno unaijua sifa ya mwamori utaelewa mnefili katoka Wapi
Mkuu swali ni hili naona hatuelewani

Mnefili alikuwepo kabla ya gharika..... Akawepo baada ya gharika je iliwezekanaje ilihali Mungu alishaapa kuwafuta wote kasoro Nuhu ambaye hakuwa ameoa WANADAMU yaani watoto wa CAIN

Hapa tu nisaidie
 
napata mawazo kadhaa...
1:ni vizuri tujue kusudi la Mungu kumuacha makusudi wakati Lengo lilikuwa ni Kuangamiza dunia yote kwa Maji. Waliopona walipata neema kwa Mungu na Mungu akawaweka wazi. Ingekuwa kuna Mwovu mwingine anapata rehema tungefahamishwa. Na kujua kama hakuwepo, mara baada ya gharika uendelezo wa vizazi haumuonyeshi wala uzao wake.

2:Rahabu alipata rehema, alafu ile adhabu ilikuwa ni regional sio grobal hata ile ya wakaanani. Lengo na hili la nuhu ni tofauti. Mwanzo Mungu anataka kufuta wanadamu wote, hapo case nyingine anataka kufuta baadhi ya watu waovu katika eneo flani tu, huku maeneo mengine ya dunia uovu unaendelea kama kawaida, hivyo muovu mmoja au wachache kupata rehema, au wajumbe wa Mungu kukengeuka na kitotimiza agizo walilopewa kukomesha regional uovu ni tofauti na sidhani kama ni sawa kutumia mifano hiyo.

3: Rahabu ulikuwa mpango wa Mungu. Na kupitia rahabu na Malaya wengine kama Tamari Yesu alizaliwa. na kuna typology nyingi tunapata kwa rahabu na wokovu wa mwanadamu, pamoja na ile kamba nyekundu iliyowaokoa wanadamu. Assumption Mungu aruhusu hybrid ya uovu, ambayo ndiyo ilikuwa lengo lake kuiangamiza hicho kizazi ambacho wewe unataka kiokolewe.

4:Watu sabini kuingia kwenye safina hiyo assumption ni sahihi kwa vitabu na maarifa nje ya bibilia. lkn hiyo hoja tukiijenga kwenye bibilia inaleta ukakasi mwingi.

*Mwanzo 7:7 wanaoingia wanatajwa. Nuhu, wanawe, mke wa nuhu na wake za wanawe. Mungu anawafahamu wana wa wana na huko nyuma kwenye geneology wametajwa lkn hapa hawakutajwa, na imerudiwa zaidi ya mara moja bila kutajwa, sidhani kama kunausahaulifu ila yawezekana ndivyo ilivykuwa.

*Mwanzo 7:13 Wanatajwa hado majina Shemu,hamu na yafethi na wake zao. Nuhu na Mke waku.

*Mwanzo 8:15,16
Wanatoka kwenye safina, Nuhu, mkewe, wanawe na wake za wanawe.

*Mwanzo 9:1 Mungu anawapa amri kama aliyowapa adamu na hawa kabla hawajapata watoto. Zaeni mkaongezeka mkaijaze nchi. Maana yake walikuwa hawana watoto.

*Mwanzo 9:18,19 wanatajwa wana wa nuhu hao watatu, na anapigilia msurmari mstari wa 19, "HAWA WATATU WALIKUWA WANA WA NUHU NA KWA HAWA WATATU NCHI YOTE IKAENEA WATU"

* Mwanzo 10:1 watoto wa hawa jamaa wanaozungumziwa ni Baada ya Gharika, baada ya kuambiwa na Mungu zaeni mkaongezeke mkaijaze nchi.

5:Katika gharika Umesema Shem Alikuwa na miaka 100. hivyo anatakiwa awe ameshapata watoto.
Mwanzo 7:6, wakati mtoto wa kwanza anaingia na miaka 100, Baba mtu alikiwa na miaka 900.
hapo utaona Nuhu alipata mtoto akiwa na Miaka 800. kwa ratio hiyo tukiihamishia kwenye kizazi chetu au ukitoa sufuri Nuhu aliingia anamiaka 90, mtoto wake akiwa na Miaka 10.
kwa umri wa kabla ya gharika miaka mia ni kama teeneger. Ila kwa ukomavu wao walikuwa wameoa. yawezekana walikiwa hawajaoana muda mrefu au kwa ratio ya baba na watoto, watoto hawakuwa tayari wameshapata watoto.


mkuu nafikili kibibiliabibilia zaidi.
Aisee umenisaidia kuanza kusoma biblia
 
Mkuu ukiwa msomaji wa biblia utaelewa hoja yangu kivipi Mungu anaweza toa hukumu ila akaruhusu masalia wabaki na amefanya hivyo hata kwa wanefili wa baada ya gharika (Waamori)ambayo ni familia ya mfalme Ogu

Twende taratibu

1. Mungu anamuamuru waisraeli waue wakaanani WOTE wasibakize kitu

Kumbukumbu la torati 20
16 Lakini katika miji ya mataifa haya akupayo BWANA, Mungu wako, kuwa urithi, usihifadhi kuwa hai kitu cho chote kipumzikacho;
17 lakini uwaangamize kabisa, Mhiti, na Mwamori, na Mkanaani, na Mperizi, na Mhivi, na Myebusi, kama alivyokuamuru BWANA, Mungu wako
;

2.Tukisoma kwenye joshua baada ya kuwa wameikamata canaani waliweka makubaliano na hawa wanefili ya kuwaacha hai!!

Joshua 9:15
15 Naye Yoshua akafanya amani pamoja nao, na kufanya agano nao, ili kwamba waachwe hai; na wakuu wa mkutano wakawaapia

3.Kinyume kabisa na maagizo ya Mungu ya kwanza tunaona wagibeoni wakiachwa hai na waliingia agano ambalo Mungu alisupport

Kumbukumbu 7
1 BWANA, Mungu wako, atakapokutia katika nchi uendayo kuimiliki, atakapoyang?oa mataifa mengi watoke mbele yako, Mhiti, na Mgirgashi, na Mwamori, na Mkanaani, na Mperizi, na Mhivi, na Myebusi, mataifa saba makubwa yenye nguvu kukupita wewe;
2 wakati BWANA, Mungu wako, atakapowatoa mbele yako, nawe utawapiga; wakati huo ndipo uwaondoe kabisa; usifanye agano nao, wala kuwahurumia; wala usioane nao


4.mpaka hapa unaweza kufikiri waliamua wenyewe waisrael lahasha..... Huko mbeleni tutaona MUNGU akiwaadhibu waisraeli kwa kuvunja agano hilo la kuwaacha waamori/wagieboni hai

2 samuel 21
1 Kulikuwa na njaa siku za Daudi muda wa miaka mitatu, mwaka kwa mwaka; naye Daudi akautafuta uso wa BWANA. BWANA akasema, Ni kwa ajili ya Sauli, na kwa nyumba yake yenye damu, kwa kuwa aliwaua hao Wagibeoni.

Je unataka kusema Mungu ni kigeugeu au utakubaliana na mimi kuwa Mungu aliamua kuwaacha hao wagibeoni kwa kusudi lake???

Na je kama tunaona hapa Mungu aliamrisha waue waamori WOTE ila baadae Mungu alitaka wengine wabakizwe je huoni hoja ya kusema Ogu kuwa mnefili pekee kuachwa kwenye gharika kuwa ina mashiko maana tumeona kumbe Mungu akitoa hukumu ya WOTE huwa anaacha exceptions!!!

Karibu tuelimishane mkuu wangu
Cc SALA NA KAZI Malcom Lumumba Eiyer popbwinyo Kudo900
Asante mkuu
 
Back
Top Bottom