Ramesses II
JF-Expert Member
- Sep 29, 2013
- 3,710
- 5,054
hizo hadithi za kwenye kitabu chenu kilichoshushwa na shetani wakati mtume akikunya. Ila kwa mujibu wa Kitabu cha Wayahudi na Wakristo (Talmund na Bible) Sulemani alikuwa Mfalme aliyeckubaliwa na Mungu, akapewa na Hekima na alikuwa na watumishi wa kutosha. hakuwa akiongea na kuwatumia majini. Majini yanatumika katika ile dini ya watani wetu wa mama mdogo.Nasikia alikuwa anaongea Na majini Na aliwafanya Kama wafanyakazi wake Na ndio waliochimba mahandaki ya Kandahar ambayo Ni ya ajabu kwa njia zake
1312-1337 kabla ya Kristo au baada ya Kristo?Aliitawala kati ya mwaka 1312-1337 na utajiri wake ulikadiriwa kufikia USD billion 400
Msiwe watu wa kujitoa fahamu na kitabu chenu kilichonyofolewa kurasa ili kufanya majini hayapo duniani.hizo hadithi za kwenye kitabu chenu kilichoshushwa na shetani wakati mtume akikunya. Ila kwa mujibu wa Kitabu cha Wayahudi na Wakristo (Talmund na Bible) Sulemani alikuwa Mfalme aliyeckubaliwa na Mungu, akapewa na Hekima na alikuwa na watumishi wa kutosha. hakuwa akiongea na kuwatumia majini. Majini yanatumika katika ile dini ya watani wetu wa mama mdogo.
Mshana izo picha VP?jamaa alikuwa black kasome wimbo ulio bora.soma kitabu cha wimbo ulio bora 1:3-6View attachment 310110View attachment 310111 Alikuwa na utajiri unaokadiriwa kufikia dollar za kimarekani trillion 2.1
Kwa mikwara hiyo lazima usandeZamani nilikua namchanganya king solomon wa israel kingdom na king Suleiman The magnificent wa Ottoman empire,kumbe watu wawili tofauti,
cheki hii barua ya king suleiman the great kwenda kwa king fransis wa ufaransa,
I sultan of sultan,king of kings,the shadow of God who bestow the crown to the monarch on earth,the supreme ruler of mediterrenian and black sea,balkan ana Anatolia,Azerbanjain,Damuscus and Allepo,egypt,mecca and medina,Jerusalem and all the arab dominion,an yemen,and the sultan and the supreme king of many nations.
Iam the son of sultan selim khan and the grandson of sultan Bayezid khan AND YOU KING FRANSIS,are the governer of the french province.
Hiyo ndo mikwara ya king suleiman The great
Perfectlykama kwa wanawake sawa,ila katika world record mansa kankan mussa wa mali ndio mwanadam aliyewahi kutokea duniani kuwa tajiri sana kuliko wote na hakuna mpaka sasa aliyewahi kuvunja record yake.google mkuu
MansaMussa anashika no2kama kwa wanawake sawa,ila katika world record mansa kankan mussa wa mali ndio mwanadam aliyewahi kutokea duniani kuwa tajiri sana kuliko wote na hakuna mpaka sasa aliyewahi kuvunja record yake.google mkuu
Majini ni mapepo machafu, nyie endeleni kuvitumikia. Kwani leo magorofa yanajengwaje unaposhanga zege la Enzi za dola ya Babiloni. Maendeleo hayakuanza leo.Msiwe watu wa kujitoa fahamu na kitabu chenu kilichonyofolewa kurasa ili kufanya majini hayapo duniani.
Kwa taarifa yako yale mapango ya kandahari yamechimbwa lakini si kwa uwezo wa binadamu.
na kuna mapicha fulani ya irak yanaonyesha mazege makubwa ambayo kizazi cha leo unajiuliza waliyabebaje?
Basi hujatusaidia wasomaji wako.Chagua linalokufaa
wadau wako hajawajui hiyo miaka inavyohesabiwa. inawezekana hata wewe mwenyewe imekupiga chenga. BC tunahesabu miaka kwa kuyapunguza kuja kwa Kristo na AD tunayaongeza kota kwa Kristo. Umetuchanganya wadau wako. Posibility wewe mwenyewe umejichanhganya.Sio wote
naona mkuu unabisha pasipo kutoa evidencenani kakudanganya?,
solomoni alikuwa chief wa kawaida tu,huo utajiri unausema hakuwa nao,ni hekaya tu,
kipindi hicho asyrian empire ndo walikuwa habari ya mjini huko,
na pia egypt empire
utakuwa ulichukua PGM Mkuu,kwani huwezi ukafuatilia history ukapata jibu mwenyewe?,naona mkuu unabisha pasipo kutoa evidence
Unaambiwa kwenye swala la mawasiliano alikuwa akimtuma njiwa kuwasilisha ujumbe wake sehemu yoyote husikaChaajabu alishindwa kumiliki hata nokia ya tochi