Mfalme Suleiman (970-931BCE) ndie tajiri zaidi kuwahi kutokea duniani

Mfalme Suleiman (970-931BCE) ndie tajiri zaidi kuwahi kutokea duniani

Plus..according tu wana history.. Mansa Musa mfalme wa Mali empire... Ndio Binadamu alie wahi kuwa tajir Dunia nzima mpaka leo hamna mtu alie wahi fikia Utajir wake..

Wakati anaenda hiji macca alipitia misri .. Na kusabisha uchumi wao kuyumba kutokana na dhahabu alizo tumia.. Pale misri...


Google tu wealthiest persw to ever live on the earth utapata maelezo zaid.

So general sawa mfalme suleiman alikuwa tajir but kuna wengine walio wahi kuwa matajir zaid yake!

*Lumina out!*
Lumia, sio uchumi wa Misri tu bali wa dunia ilokua inajulikana wakati huo ulidorora maana ulitegemea dhahabu km fedha wakijua ndo adimu afu Mansa Mussa akafurisha soko kwa kuzigawa.

Akirejea toka hija akaambiwa na 'wachumi' wake kua amefurisha 'pesa' sokoni so kumeyumba huko duniani biashara hazieleweki. Akaamua kuzinunua upya hizo dhahabu ili kuimarisha mzunguko wa fedha sokoni.

Talk about Global fiscal and monetary policies in the raw way!! Na Mansa Mussa kama IMF au WB japo kwa mda mfupi.
 
Mfalme Suleiman ndio tajiri aliyeomba Busara na hekima

kwa Mungu akapewa vyote

Sizani kama kuna utajiri kwa kipindi chake aliyemzidi kwa utajiri
Tujiulize je kipindi cha Suleiman Mansa Mussa alikuwepo au tunazungumzia nyakati tofauti
 
Lumia, sio uchumi wa Misri tu bali wa dunia ilokua inajulikana wakati huo ulidorora maana ulitegemea dhahabu km fedha wakijua ndo adimu afu Mansa Mussa akafurisha soko kwa kuzigawa.

Akirejea toka hija akaambiwa na 'wachumi' wake kua amefurisha 'pesa' sokoni so kumeyumba huko duniani biashara hazieleweki. Akaamua kuzinunua upya hizo dhahabu ili kuimarisha mzunguko wa fedha sokoni.

Talk about Global fiscal and monetary policies in the raw way!! Na Mansa Mussa kama IMF au WB japo kwa mda mfupi.
Mmh! hapa bado kueleweka... Sa kama fedha ndo ilikuwa ni dhahabu, halafu zikafurika sokoni, halafu akaziondoa kwa kuzinunua, maana yake akaingiza dhahabu kuondoa dhahabu!... hata kama alinunua dhahabu kwa fedha, bado fedha ni nyingi sokoni!... Mmh!
 
Hapa mzozo wote ni kutokana na reference za maandishi ya watu wengine, hakuna aliekuwapo wakati huo. Na pia itanisaidia nini nikijua ni Musa au Selemani?!... Watu mipovu inafoka mdomoni kutetea alichosoma tu, sio alichoshuhudia. Kila mtu aamini vyake, wewe na mimi tutafute utajiri wetu wenyewe!...
 
Mmh! hapa bado kueleweka... Sa kama fedha ndo ilikuwa ni dhahabu, halafu zikafurika sokoni, halafu akaziondoa kwa kuzinunua, maana yake akaingiza dhahabu kuondoa dhahabu!... hata kama alinunua dhahabu kwa fedha, bado fedha ni nyingi sokoni!... Mmh!
Mi mwenyewe sjui alitumia nini kuzinunua tena.
 
kuuuumbeeeee kuwa na mchepuko sio jambo la ajabu wala nini
 
Kama kwel Sulemain alikuwapo na kama tunavyofundishwa hakuna mwanadam aliepata kua wala hatakuwepo kua tajiri na maarifa(akili)kama yeye.... Mungu alimpa kila kitu ndio maana aliweza hata kugeuza muelekeo wa upepo.
 
kama kwa wanawake sawa,ila katika world record mansa kankan mussa wa mali ndio mwanadam aliyewahi kutokea duniani kuwa tajiri sana kuliko wote na hakuna mpaka sasa aliyewahi kuvunja record yake.google mkuu
Hapo sikubaliani na ww
 
Tafuta ukweli kati ya Biblia na Qur'an ipiinayo sema ukweli kisha ndio uifuate. Mungu amekupa akili itumie akili yako kupata ukweli wa mambo. Sio tu kufuata mkumbo wa watu tumia akili yako utajuwa Dini gani ya wewe kukuongoza na kukupeleka peponi.
Kwa hiyo Quran ndo ya kweli sio?..
 
Kwa hiyo Quran ndo ya kweli sio?..
Nunua Qur'an uisome kisha hiyo hiyo Qur'an nenda kamulize maswali Sheikh mwenye kuijuwa hiyo Qur'an atakujibu kisha pima kwa akili yako je maneno ya Qur'ani yanakuingia ndani ya akili yako? ksiha utapata jibu kamili. Na pia kama unacho Biblia nenda kamtafute mchungaji umuulize maswali Je ni wapi Bwana Yesu aliposema yeye ni Mwana wa Mungu katika biblia? au wapi aliposema Bwana yesu kuweni nyinyi wakristo muniabudu mimi Mwana Mungu? akuonyeshe huyo mchungaji ndani ya Biblia akupe na ushahidi kamili kisha upime kwenye akili yako je inawezekana je Bwana Yesu mtoto wa Maria awe ni mwana wa Mungu? wakati mama yake Bwana Yesu Bi Maria ni binadamu? iweje Mungu azae na binadamu? kisha utapata ukweli wa mambo ndipo utakapo juwa kati ya Qur'ani na Biblia ipi inayo sema ukweli? kisha hapo uamuzi ni juu yako mwenyewe.
 
Nunu Qur'an uisome kisha hiyo hiyo Qur'an nenda kamulize maswali Sheikh mwenye kuijuwa hiyo Qur'an atakujibu kishapima kw aakili yako je maneno ya Qur'ani yanakuingia ndani ya akili yako? ksihautapata jibu kamili. Napia kama unacho Biblia nenda kamtafute mchungaji umuulize maswali Je ni wapi Bwana Yesu aliposema yey ni Mwana Wa Mungu katika biblia? au wapi aliposema Bwana yesu kuweni nyinyi wakristo muniabudu mimi Mwana Mungu? akuonyeshe huyo mchungajindani ya Biblia akupe na ushahidi kamili kisha upime kwenye akili yako je inawekanaje Bwana Yesu mtoto waMari awe ni mwana wamungu? wakati mama yake Bwana Yesu ni binadamu? iweje mungu azae an binadamu? kishautapata ukweli wa mambo ndipo utakapo juw akati ya Qur'anina Biblia ipi inayo sema ukweli? kisha hapo uamuzi ni juu yako mwenyewe.
Sawa MziziMkavu,ila kama ni maswali hayo tu haina haja ya kumtafuta Mchungaji,majb ninayo mwenyew,kuhusu Quran ninayo naijua ina Juzuu 30,na Sura 114,na Aya 78 elf,so haina haja ya Kumuuliza Shekhe,By the way tusitoke njee ya maada TUTAWAKWAZA WENGINE,saw ndg yng!!!.
 
Sawa MziziMkavu,ila kama ni maswali hayo tu haina haja ya kumtafuta Mchungaji,majb ninayo mwenyew,kuhusu Quran ninayo naijua ina Juzuu 30,na Sura 114,na Aya 78 elf,so haina haja ya Kumuuliza Shekhe,By the way tusitoke njee ya maada TUTAWAKWAZA WENGINE,saw ndg yng!!!.
Sasa iulize Qur'an kitu chochote kinacho kuumiza kichwa kuhusu mambo ya dini na dunia itakujibu Qur'an ninakaucha hapo ulipo hongera mimi ninacho kitabu cha Biblia na kitabu cha Qur'an vyote 2 ninavisoma kwa umakini zaidi.
 
Back
Top Bottom