Mfalme Suleiman (970-931BCE) ndie tajiri zaidi kuwahi kutokea duniani

Mfalme Suleiman (970-931BCE) ndie tajiri zaidi kuwahi kutokea duniani

kisayansi mdudu hana vocal ya kuweza kuongea,hi story ni sawa na yule jamaa alikua kapanda punda kisha eti akaona malaika kaziba njia,punda akagoma kwenda,jamaa akampiga mjeredi mpaka punda akauliza anapigwa kwa kosa gani,punda hawezi ongea kamwe,
Wanasayansi bhana!!! Huwa mnajaribu sana kujifanya mnajua kuliko Mungu, mnafikiri ordinary sana wakati ukweli unakuwa wazi.
 
Wanasayansi bhana!!! Huwa mnajaribu sana kujifanya mnajua kuliko Mungu, mnafikiri ordinary sana wakati ukweli unakuwa wazi.
[emoji15] [emoji15] [emoji3] [emoji3] [emoji144] [emoji144] [emoji115] [emoji115] [emoji115]
 
Ndiye inasemekana aliasisi Iluminati ama iluminati ilikuwa originated katika ukoo wake, proof ya hiyo ni Solomon Seals, hizi ndo logo za Iluminati wanazotumia. Hapo ndo utagundua historia njema ya bangi na kwanini waliamua kuiharamisha bangi kwa manufaaa ya nani?
Humo utawakuta Sygenta, Bill Gates na project zao za GMO's. Godamn!!! My Dunia.


Mkuu nimegee maarifa kidogo hapo kwenye historia ya bangi na kwa nini waliiharamisha na kwa manufaa ya nani
Asante
 
kama kwa wanawake sawa,ila katika world record mansa kankan mussa wa mali ndio mwanadam aliyewahi kutokea duniani kuwa tajiri sana kuliko wote na hakuna mpaka sasa aliyewahi kuvunja record yake.google mkuu
Uyu jamaa naskia alifikia 350 billion dollars tu, na hakuwa na wake wengi kama mfalme Suleiman
 
Umepataje picha zake wakati hata za mitume waliozaliwa miaka mingi baada yake zao hazipo?
Kupitia simulizi za mapokeo watu walitengeneza kwa kuzichora na wakati huo hakukuwa na camera hivyo matukio yalichorwa
 
Ukifuata Biblia inasema maneno mengi sio ya ukweli shauri yako na imani yako Biblia ina makosa zaidi ya Elfu 50 kuna mikono ya watu ndani ya biblia ndio maana haisemi maneno ya ukweli.
Naona umekusudia Ku potosha
 
Nop mansa mussa mfalme wa iliyo kuwa Mali empire ndio mtu akiye wahi kuwa tajir duniani
 
View attachment 310110View attachment 310111 Alikuwa na utajiri unaokadiriwa kufikia dollar za kimarekani trillion 2.1
si kweli tajiri mkuu of all times ni manka musa mkuu
According to Celebrity Net Worth Mansa Musa of Mali is the richest human being in history with a personal net worth of $400 billion.. Musa was the tenth Mansa, which translates as “King of Kings” or “Emperor,” of the wealthy Mali Empire. He lived from 1280 A.D. - 1337 A.D. and ruled the Malian Empire which covered modern day Ghana, Timbuktu, and Mali in West Africa. It has been put forth that Musa’s vast wealth was a direct result of his country’s immense production of more than half the world’s supply of salt and gold.

However compare that With J.D. Rockefeller. On September 29, 1916, Rockefeller became the second person ever to reach a nominal personal fortune of USD 1 billion. Rockefeller amassed his fortune from the Standard oil company, of which he was a founder, chairman and major shareholder. By the time of his death in 1937, estimates place his net worth in the range of US$392 billion to US$663.4 billion in adjusted dollars for the late 2000s. When considering the real value of his wealth, Rockefeller is widely held to be the wealthiest American in history, and his fortune easily eclipsed Musa’s.

Yet, they both pale in comparison to King Solomon of the Bible. Estimates place Solomon’s worth between $1.056 and $2.1 trillion. Keep in mind that during his 40 year reign he received 25 tons of gold. That only included what he received in gold, not to mention business or trade income, nor annual tribute paid to him by all of the kings and governors of Arabia.

So I would say that those are just two who eclipse Musa. For more check out the following link: Top 10 Richest People of All Time in History - Wealth Result - Business Idea Center
 
Mkuu Mansa Kankan Mussa ni tajiri wa kwanza katika kipindi cha baada ya Yesu. Wenyewe wanaita Anno Domino (AD)

Kabla ya hapo inawezekana kweli Mfalme Suleiman akashika rekodi hiyo
Zakayo je utajiri wake; yule tajiri mfupi na mtoza ushuru
 
kama kwa wanawake sawa,ila katika world record mansa kankan mussa wa mali ndio mwanadam aliyewahi kutokea duniani kuwa tajiri sana kuliko wote na hakuna mpaka sasa aliyewahi kuvunja record yake.google mkuu
Wewe acha uongo unaujua utajiri wa sulemani wewe?!!!
 
Na alikua mzee wa totozi balaa...

Alikua na wanawake wa kihalali 300 na vimada 700, hata "ukiwashugulikia" kila mmoja kwa siku hauwamalizi ndani ya mwaka mmoja
No. Siyo hivo. Miaka ile hamna vimada. alikuwa na wake halali ndo 700, na masuria 300, masuria ni wasaidizi wa wamama nyumbani. Kwa leo tunaweza kusema house girls. zamani zile kwa baba kumtumia house girl kwa namna ya baba na mama haikukatazwa maadam bibi yake (yaani) mama mwenye nyumba karidhia.
 
Back
Top Bottom