Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,872
- 34,363
Ukifuata Biblia inasema maneno mengi sio ya ukweli shauri yako na imani yako Biblia ina makosa zaidi ya Elfu 50 kuna mikono ya watu ndani ya biblia ndio maana haisemi maneno ya ukweli.mama wa sulemani (BATH-SHEBA) alikuwa tayari ni mke wa mtu (URIA MHITI) huyu URIA alikuwa askari wa mfalme DAUDI. so mfalme DAUDI alipo nogewa na penzi la BATH SHEBA akafanya mbinu za kifo cha URIA vitani.
lakini mbona kama ni uvumi tu,anaeshikilia sasa mali ya rothchild sasa ni kijana Nathaniel Rothchild mbona yuko simple tu,na hivi karibuni walikua na beef na tycoon la kiindonesia,walipigana vijembe vya hatari kule twitter,
Na alikua mzee wa totozi balaa...
Alikua na wanawake wa kihalali 300 na vimada 700, hata "ukiwashugulikia" kila mmoja kwa siku hauwamalizi ndani ya mwaka mmoja
Na alikua mzee wa totozi balaa...
Alikua na wanawake wa kihalali 300 na vimada 700, hata "ukiwashugulikia" kila mmoja kwa siku hauwamalizi ndani ya mwaka mmoja
aiwezaje kuwahudumia kimwili wake 700 na bado ma concubine.
Rothchild family ndo familia tajiri ambayo inatawala dunia.... zikiwepo rockerfeller, morgan na du pont family.... wanatawala dunia kwa siri
Mansa Mussa ndie Tajiri mkubwa aliwe wali kutokea dunia
Yaap nijuavyo mimi ni mansa musa,wajuzi endeleeni kutujuza
Ni story tu,hiyo dhahabu wakiitoa wapi?wakitumia mitambo gani kuchimba.,na ilikwenda wapi,maana dhahabu haiozi
Kodi alilipa kiasi gani?