Mfalme wa Jordan kaenda white house kamuunga mkono Trump kuwahamisha wapalestina, Misri na nchi nyingine kukutana Saudi Arabia kusuka mpango kazi

Huyo Mfalme kama kachoka kukaa Ikulu afanye huo ujinga, analindwa na Israel na USA lakini yuko wapi Assad aliyekuwa analindwa na Russia
Mbona tayari kakubali sasa.Kuanzia atachukua watoto na badae utaratibu mwingine utafuata(Arabs can't be trusted).Kikubwa tulieni tu maana Misri hana kauli kwa Marekani ,huyo mwana wa mfalme wa Saudia ndio kabisa kwa Trump hawezi kunyanyua mdomo
 
Hao wakazi wa Gaza ina maana hawatafaidika na lolote na hiyo Gaza mpya??
Yaani mnatimuliwa kabisa aisee.

Wacha tusubiri .
 
Trump ndo mtu sahihi wa kuimalizia usa
 
Ila waarabu bhana 😁dah,Yani mgeni kutoka mbali anakuja kukubwekea nyumbani kwako na kukupangia Cha kufanya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…