Hivi wewe ni kipofu? Wahi ccbrt ukapimwe macho picha inaonesha miguu yote miwili.
Si mna cyber crime ACT? Kama ni Photoshop na uchochezi kuwasilisha genuine images za mfalme akiwa na vazi linalotukuza bangi, Kwanini msiende mahakamani? Hili sio suala la itikadi za vyama, tukubali kwamba taasisi ya Rais imeingizwa chaka, tujifunze isitokee tena.
Wewe ndio unahitaji kumwona daktari wa macho.
Si mna cyber crime ACT? Kama ni Photoshop na uchochezi kuwasilisha genuine images za mfalme akiwa na vazi linalotukuza bangi, Kwanini msiende mahakamani? Hili sio suala la itikadi za vyama, tukubali kwamba taasisi ya Rais imeingizwa chaka, tujifunze isitokee tena.
Unfortunately ukweli ni kwamba mgeni wa Rais Magufuli, mfalme wa Morocco juzi alikuwa club mercury Zanzibar na vazi la kutukuza bangi. Kwa wanaobisha na kusema ni Photoshop na uchochezi, waende mahakamani, tutakutana huko. Vinginevyo tuweke siasa pembeni, hii ni aibu kwa taasisi yetu ya Urais, tujifunze kutorudia kosa kama hili la uongozi wa nchi kukumbatia viongozi wa nje wasioendana na maadili yetu kama watanzania.I'm not a fan of cybercrime act of Tanzania. I think it's repressive and so do the international community.
I believe in freedom of speech, 100%.
What I do believe, as far as I can see, is that this photo is missing the left leg of the King.
There are some who accused me of being blind. But this is what I see on my end. Therefore, it has to be fake.
And like Kiranga, I believe that the King would not wear such a shirt in a conservative host nation on his first ever visit.
Dar Es Salaam ain't Paris.
Unfortunately ukweli ni kwamba mgeni wa Rais Magufuli, mfalme wa Morocco juzi alikuwa club mercury Zanzibar na vazi la kutukuza bangi. Kwa wanaobisha na kusema ni Photoshop na uchochezi, waende mahakamani, tutakutana huko. Vinginevyo tuweke siasa pembeni, hii ni aibu kwa taasisi yetu ya Urais, tujifunze kutorudia kosa kama hili la uongozi wa nchi kukumbatia viongozi wa nje wasioendana na maadili yetu kama watanzania.
Still can't you see both legs? My God! Wewe wameshakuscorpion
Wewe ndio unahitaji kumwona daktari wa macho.
Kiranga bana. Ndio maana nikakuambia imani wakati mwingine inaaply katika mazingira fulani. Hii ni kwa kuwa mimi/wewe kama individual hatuwezi kuwa na taarifa zote, hivyo fulani akisema jambo fulani au akitoa taarifa fulani inabidi tuikubali.Waarabu wenye msimamo mkali are highly overrated. Wa Morocco tuko nao Unyamwezini wanakula ma burger ya kinyamwezi kama hawana akili nzuri.
Ushahidi beyond reasonable doubt ni upi? Reason gani? Doubt gani?
Unafahamu ukiamua kubishia kitu kwa reasonable doubt ambayo haijawa defined hata wewe mwenyewe unaweza kujibishia kwamba kweli upo kwa kutumia "reasonable doubt" ?
Pamoja hizo nguo zake je umeangalia maendeleo ya nchi anayoiongoza Na ya kwako Kama vinafanana? Jaribu kuwa na akili kidogo..View attachment 425812
Mfalme akiwa katika starehe zake Zanzibar. Kama Taifa, tunajivunia nini Rais wetu kupokea mgeni wa aina hii? Tukisema hii ni aibu (alama ya bangi kifuani) kwa taasisi ya Rais, tutaitwa wachochezi?
@Ritz,@msemajiukweli,Lizaboni, @nguruvi3,Mag3
My man Mchambuzi anasema alikuwepo na picha anazo kwenye camera.Kiranga bana. Ndio maana nikakuambia imani wakati mwingine inaaply katika mazingira fulani. Hii ni kwa kuwa mimi/wewe kama individual hatuwezi kuwa na taarifa zote, hivyo fulani akisema jambo fulani au akitoa taarifa fulani inabidi tuikubali.
Nawe tena baada ya kuamini umeenda mbali na kuleta dhana nyingine kuwa jamaa ni gay. Nawe unaweza japo kuturidhisha kuwa unakaribia kukubaliana na hilo?
Inawezekana kabisa sina akili lakini wewe ni hauna uelewa hata kidogo. GDP ya Morocco ni about $100billion, GDP ya Tanzania ni about $50billion. Upo hapo? Barani Afrika nchi inayoongoza ni Nigeria. Morocco ni ya tano ikitanguliwa na Nigeria, South Africa, Egypt, na Algeria, upo? Morocco imeipita Angola kwa kiasi kidogo sana, baada ya Angola ni Tanzania tukiwa ni wa saba, upo? Tunajitapa kwamba hatuhitaji misaada, mwisho wa siku tunakimbilia misaada ya nchi inayofanana na Angola kiuchumi.Pamoja hizo nguo zake je umeangalia maendeleo ya nchi anayoiongoza Na ya kwako Kama vinafanana? Jaribu kuwa na akili kidogo..
Sawa. Hata mimi nilijiridhisha kwanza ndio maana nikakoment. Bahati mbaya hukutaka kuelewa kuwa nami nilijiridhisha kuwa mtu huyo kwenye picha ndiye aliyepokelewa kiutukufu na Rais. So what will happen as far as arab spring is concerned? Nothing. WanamjuaMy man Mchambuzi anasema alikuwepo na picha anazo kwenye camera.
Nimeitazama habari upya kwa heshima ya Mchambuzi.
Waholanzi wanasema jamaa gay.Kama ni kweli basi he is even more counterculture by our standards. Apparently in Morocco that is no big deal.
Imani haikwepeki. Mimi sina tatizo na imani. Ukishapanga mambo ya kesho tu ushapanga kwa imani. Kesho inaweza isiwepo. Ukitembea ile hatua unayopiga ni imani. Hujui kama hapo unapokanyaga hamna sinkhole.
Sina tatizo na imani. Nina tatizo na imani potofu.
Question everything, question faith, question religion. Question even questioning.
Ukitaka habari za kujiridhisha bila kuelezea mipaka yako ni ipi tutashindwa kuelewa kitu.Mpaka sasa kujiridhisha kwetu kokote kuna mipaka. Na mipaka inazua maswali kuliko majibu kuhusu kujiridhisha kwetu.Sawa. Hata mimi nilijiridhisha kwanza ndio maana nikakoment. Bahati mbaya hukutaka kuelewa kuwa nami nilijiridhisha kuwa mtu huyo kwenye picha ndiye aliyepokelewa kiutukufu na Rais. So what will happen as far as arab spring is concerned? Nothing. Wanamjua
Mkuu ni kwamba,baada ya kumaliza ziara ya kiserikali Dar ndo akaenda ziara binafsi Zanzibar.View attachment 425812
Mfalme akiwa katika starehe zake Zanzibar. Kama Taifa, tunajivunia nini Rais wetu kupokea mgeni wa aina hii? Tukisema hii ni aibu (alama ya bangi kifuani) kwa taasisi ya Rais, tutaitwa wachochezi?
@Ritz,@msemajiukweli,Lizaboni, @nguruvi3,Mag3
Utaaibika wewe na babako na ukoo wenu wote lkn sio JPM.Mbona ni bitothii
Japo napenda kumwona JPM akiaibika, bado siamini kama hiyo ni picha ya Mfalme!!?
What do you think?Huwezi kumjibu kwa kiswahili? Au ndio kuonesha msisitizo?
Hahaha,Mbona jamaa kama Mlanguzi wa Bangi ivi