Mfalme wa Morocco - Kweli alistahili heshima ya Rais wetu Muadilifu Magufuli?

Nani alikuambia alama ya bangi ni aibu? Huyu ni kawaida yake na kama hujazoea basi ni lazima ushangae. Ishi kwa wakati.



 
Awe muhuni,msela,sijui makitu gani ila swala ni mfalme wa huko kwao,na inchi kwa inchi zaweza shirikiana kwa namna moja ama nyingine
 
Ukiwa mfalme wa taifa la kiislamu lazima uwe imamu? Na mbaya wafalme na matajiri wa kiarabu watoto wao kusoma na kula raha ni ulaya na USA. Hapo chacha!

Na washawasha!
Kwani uislamu umeruhusu tawala za kifalme?
 
Taarifa zaidi zinadokeza kwamba ALIKUJA NA KITANDA CHAKE .
 
It's genuine. Camera zetu zilimkuta Mercury Pub & Restaurant inayomilikiwa na mjumbe wa baraza la wawakilishi Mh. Simai Mpakabasi (CCM) na pia alipita Memories shop.

Photoshop hiyo, Mfalme wa Moroco hawezi kuvaa Tishert yenye Picha la Bhangi lililo nakshiwa kwa Rangi ya bendera za Marekani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…