Mfalme wa Morocco - Kweli alistahili heshima ya Rais wetu Muadilifu Magufuli?

Mfalme wa Morocco - Kweli alistahili heshima ya Rais wetu Muadilifu Magufuli?

View attachment 425812

Mfalme akiwa katika starehe zake Zanzibar. Kama Taifa, tunajivunia nini Rais wetu kupokea mgeni wa aina hii? Tukisema hii ni aibu (alama ya bangi kifuani) kwa taasisi ya Rais, tutaitwa wachochezi?

@Ritz,@msemajiukweli,Lizaboni, @nguruvi3,Mag3
Nani alikuambia alama ya bangi ni aibu? Huyu ni kawaida yake na kama hujazoea basi ni lazima ushangae. Ishi kwa wakati.

mohamed-paris6.jpg


mohamed-paris3.jpg
 
View attachment 425812

Mfalme akiwa katika starehe zake Zanzibar. Kama Taifa, tunajivunia nini Rais wetu kupokea mgeni wa aina hii? Tukisema hii ni aibu (alama ya bangi kifuani) kwa taasisi ya Rais, tutaitwa wachochezi?

@Ritz,@msemajiukweli,Lizaboni, @nguruvi3,Mag3
Awe muhuni,msela,sijui makitu gani ila swala ni mfalme wa huko kwao,na inchi kwa inchi zaweza shirikiana kwa namna moja ama nyingine
 
Ukiwa mfalme wa taifa la kiislamu lazima uwe imamu? Na mbaya wafalme na matajiri wa kiarabu watoto wao kusoma na kula raha ni ulaya na USA. Hapo chacha!

Na washawasha!
Kwani uislamu umeruhusu tawala za kifalme?
 
Mimi sitaki kuongelea sana kuhusu hiyo Picha. Ila kafanya kufuru sana kwenye hoteli aliyofikia. Wamefumua kila kitu kuanzia AC, TV, mafridge, hadi mlango wameweka wa kwao. Nikajiuliza siku anaondoka hivyo vitu wataviondoa au vitabaki pale kama kumbukumbu?
Taarifa zaidi zinadokeza kwamba ALIKUJA NA KITANDA CHAKE .
 
It's genuine. Camera zetu zilimkuta Mercury Pub & Restaurant inayomilikiwa na mjumbe wa baraza la wawakilishi Mh. Simai Mpakabasi (CCM) na pia alipita Memories shop.

Photoshop hiyo, Mfalme wa Moroco hawezi kuvaa Tishert yenye Picha la Bhangi lililo nakshiwa kwa Rangi ya bendera za Marekani
 
Back
Top Bottom