Mfalme wa Saudi Arabia ashukuru Morocco kwa kuwawakilisha waarabu kwenye kombe la dunia



Wewe kama kawaida yako umeiandika kichochezi na kishabiki zaidi, juu ya yote huwezi kupinga kwamba wachezaji wa Morocco ni 1-Waarabu, 2--Waisilamu, 3---Waafrika, huyo mfalme wa Saudia kawasifu kwa kuwa wao ni waarabu kama yeye na mtu mwingine yeyote anaweza kuwasifia kupitia sifa mojawapo kati ya hizo sifa tatu na sio kosa.
 
Wao wakishabikia ufaransa kwa sababu weusi wengi mbona wafaransa wazungu hawaleti nongwa?
Waafrika tuna choyo sana
 

hehehe ustadhi mweusi hapa anatetea uharo wa waarabu, leo waza mzungu wa Afrika Kusini angesema ushindi wa kombe lake ni kwa ajili ya wazungu na mataifa ya wakristo halafu atokee kiongozi uzunguni ampigie simu kumshukuru kwa kuwakilisha wazungu, leo mngelialia na makanzu yenu hapo kwa Mtongole...
 
"anayekunya na kujamba"

Kama hilo [emoji115] siyo tusi basi kauli yake si rafiki kwa hii media inayotumiwa na Watu wengi sana duniani.

Punguza ukali wa maneno twende sawa na kama hoja haiwezi kujibiwa bila mihemuko, ukimya nao ni jibu la hekima.
Unapoteza muda wako
 
Wale weusi waliokuwepo eneo hilo kabla ya waarabu hao kuvamia eneo hilo ambalo Leo linaitwa Morocco walienda wapi?


Kipindi waarabu wanaingia huko Maghreb (Afrika kaskazini ) huko hakukuwa na watu au walikuwepo watu wachache mno kwani maeneo hayo ni jangwa au nusu jangwatofauti na huku chini kwetu chini ya jangwa la Sahara, kumbuka kwamba Waarabu ni watu wenye asili ya jangwani na hata neno "Arab" maana yake ni mtu wa jangwani, ni katika hali hiyo ikawa kwao ni rahisi kutoka Mashariki ya kati na kuhamia huko Africa ya kaskazini na ngamia zao.
 
Wao wakishabikia ufaransa kwa sababu weusi wengi mbona wafaransa wazungu hawaleti nongwa?
Waafrika tuna choyo sana
Wafaransa wanamaindi.
Waziri wa ufaransa alishawahi kumuandikia barua ya onyo mchekeshaji Trevor Noah kwa kusema "Ufaransa ikishinda kombe la dunia, Africa imeshinda"
 
Daah uelewa kwenye baadhi ya mambo inakuwa kitu ngumu sana sometimes asee kwa baadhi yetu sisi

Moroccans wale ni waarabu pia ni waafrika......naomba niishie hapo hapo

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
 
Kwa hivyo wazungu walio Afrika Kusini watakua sahihi kusema ushindi wowote wao ni kwa ajili ya mataifa ya wazungu, sijui maustadhi huwa mumerogwa na nani hadi kutetea kila ujinga unaofanywa na mwarabu.
Na wewe unakuwaga na tabia za kishoga, yaelekea unapuliwaga na ma chokoraa wa mathare kisha wanakumwagia gundi.

Hakuna hata muislamu mmoja anaye shabikia hizi kauli za kijinga. Ni baadhi ya wakristo waliyo wajinga na washamba ndiyo wana shadadia kauli za kipumbavu za kugawa watu.

Asilimia kubwa ya brazil ni wakatoliki, na waislam bado wanashabikia na hawasemi leo mapadri wanacheza.

Hizo tabia za kikabila zilizo komaa kenya unataka ulete na udini tanzania. Koma kabisa hiyo tabia ya kishetani
 
Duh, ndo msikitini mnaambiwa hivi
 
Waarabu Koko wa huku wanampongeza bi kidude kwa kuupiga mwingi
 
Mi nashindwaga kuwaelewa Wabongo au mijitu ya humu Jamii Forum.

Kwahiyo mtu asiwe proud na Dini yake na Uarabu wake, unakuja wewe kumpangia chakuzungumza.

Ukiona mtu anaweka Dini yake mbele basi ujue ya kuwa anaiamini Dini yake vizuri kuwa ni ya kweli na haina mashaka.

Wewe ukiona huwezi kuisemea Dini yako kwa kuogopa eti ubaguzi basi ni upumbavu. Yule mchezaji hakuwa mbaguzi bali alikuwa proud na alichokisema.

Kama ubaguzi upo mwingi sana nchi za Magharibi na USA kwa ujumla tukianza kuusema hapa tutamaliza maneno yote Dunia nzima na Bado kitabu hakitajaa. Mfano Mzuri Samuel Etoo alishawahi kurushiwa Ndizi(Sasa huu ndio ubaguzi halisi wa kwa vitendo).

Kama wewe ni Mkristo na Dini yako unaiweka Nyuma pamoja na Identity yako basi unafeli sana, ndio mana hata Ushoga umeingizwa kwenye Dini ya Kikristo na hamna kulipigania kama Dini bali ni Kukaa kimya tu.

All in all kajli iliongelewa na Mchezaji tu mmoja na wala hakuwa kauli ya Klabu. Alafu msiwapangie Waarabu real wa Morocco wakitaka Muda wowote wanaweza wakahama bara na Ramani ya Afrika ikabadilishwa tusiishi kwa Kukariri.
 
"anayekunya na kujamba"

Kama hilo [emoji115] siyo tusi basi kauli yake si rafiki kwa hii media inayotumiwa na Watu wengi sana duniani.

Punguza ukali wa maneno twende sawa na kama hoja haiwezi kujibiwa bila mihemuko, ukimya nao ni jibu la hekima.
Kwani kunya na kujamba ni matusi? Mbona wewe umeandika? Ukali gani wa maneno na wewe umeandika?😝😝
 
Kasome historia ya mtakatifu Augustine (bishop of hippo) eneo la kaskazini mwa afrika hasa hasa Algeria ilikuwa dini ya kikatoliki, walivamia na kuchinjwa na yaumn jihad
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sas kwan kuna ubaya gani?Kuna umoja wa nchi za kiarabu Morocco ni moja ya hizo nchi so ni kosa kupongezwa na member wa umoja wao?.Unacholalamika ni siku tanzania ifanye miujiza sehem then museven aseme naiopengeza Tanzania kuiwakilisha vyema EAC then mtu wa Ghana ablame tunawabagua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…