We shika adabu zako ,achana na Maustadh , eti ujinga unaofanywa na waarabu !, He mjinga nani kati yako wewe na waafrika wenzako msiojua kila kitu nyie waafrika ni kugongwa tu na wazungu kila mechi kisha unataka mwarabu awape nyie ushindi wake kwa sababu tu ya mipaka iliyochorwa na wazungu kwa maslahi yao nonsence!, Wamoroco hawafanani chochote na nyie wasukuma lkn wasaudia na Morocco ni mtoto wa shangazi na mjomba iweje mnajipendekeza kwa wasiowajua ?, Maustadh wana suhubiana na waarabu kwa Uislam wao, hata wamoroco wenyewe wamesema USHINDI WAO NI ZAWADI YA WAARABU WOTE NA WAISLAM WOTE , we hutaki basi tafuna wembe.