Mfalme wa Saudi Arabia ashukuru Morocco kwa kuwawakilisha waarabu kwenye kombe la dunia

Mfalme wa Saudi Arabia ashukuru Morocco kwa kuwawakilisha waarabu kwenye kombe la dunia

Uislam unachafuliwaje hapo?

Halafu ujue context matters.
Huyu Prince kusema hayo maneno ingekuwa haina shida kama Wamorroco wenyewe kina Boufal wasingesema kuwa huu ushindi hauwahusu waafrika.

Ni sawa na Ufaransa inavyoshabikiwa na Waafrika.
Assume siku moja Mbappe aseme Ushindi wa Ufaransa hauhusu bara la ulaya ila ni kwa ajili ya waafrika tu.

Lazima wazungu wange feel some type of way.
Interview ya huyo mchezaji hakusema uislam lakin media uchwara zinaandika uislam like ways to huyo mwanamfalme hakusema uislam, wew huoni kuna ajenda chafu hapa.

Huyo mchezaji aliomba msamah, aombae msamah husamehewa why yeye. Except huyo mchezaji wachezaji wote walidedicate ushindi Africa mpka kocha. SAS why tusiende na hizi positive talks za wachezaj wengne, tumeng'ang'ana na udhaif wa mtu mmoja tena alieomba msamah [emoji2357][emoji2357]

Wew huoni tunahaki ya kutetea
 
Haijalishi wataongea nini kuhusu waarabu, uhalisia upo palepale hao ni waafrica na ticket ya kushiriki wameipatia Africa. Wakishinda credits na documents zote zitaandika Africa waliwahi kubeba ndoo.
 
Kasome historia ya mtakatifu Augustine (bishop of hippo) eneo la kaskazini mwa afrika hasa hasa Algeria ilikuwa dini ya kikatoliki, walivamia na kuchinjwa na yaumn jihad


Mbona Udanganya hiyo Algeria ilianza wakati wa Bishop of Hippo ??
 
Wale weusi waliokuwepo eneo hilo kabla ya waarabu hao kuvamia eneo hilo ambalo Leo linaitwa Morocco walienda wapi?
Wengine waliuawa wakati walipokuwa wakieneza uislamu wengine walikimbilia kusini mwa jangwa la Sahara na ndio hawa wako Afrika Magharibi leo.
 
Kocha wa Morocco ameomba Afrika iwe nyuma yao kwenye mechi yao ya leo dhidi ya Ufaransa.
 
Kwahio kwa Obama kuwa Mmarekani inamaanisha hana roots kutoka Kenya ?

Ofcourse Morocco ni Waarabu, na ni Waislamu sasa kama unadhani uarabu wao unawaondolea uafrika wao that's your prerogative ila according to CAF / FIFA hao ni Africans na katika hii battle of 3 remaining continents nitashukuru kama Europe wakiondoka (Sababu hata Afrika kuongezewa Timu walifanya Figisu)

 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nakujub ya mwisho. Mfalme kuwapongeza wamorocco kama warab sio kosa sabab Morocco ni warab kiasil na wapo kweny umoja wa kiarab.Pia rais wa Nigeria yuko sawa kuwapongeza wamorocco sabab ni waafrica kijiografia.Pia Shakira hana kosa kuwapongeza sabab tupo kweny dunia moja.Inshu ya uislam sijaiskia kweny interview ya yule mchezaji wala kweny maneno ya mfalme though muislam yoyote yule anahaki kuwapongeza wamorocco waislam pia wakristo mnahaki kuwapongeza wamorocco wakristo kama wapo.

Nilikua shabiki kindakindaki wa Morocco, Tunisia, na Misri kila walipohusika kwenye kombe la dunia, lakini tangu hiyo kauli ya kuleta ubaguzi wa kidini kwenye mpira, samahani leo nimelala kwa furaha sana baada ya Morocco kushindwa, itachukua muda mrefu sana kurudisha hali ilivyokua, na sio kwangu mimi tu, ingia kwenye mitandao uone comments za Waafrika kote, kila mmoja alichukia, mtatetea na kupindisha pindisha but damage is done.
 
Kwahio kwa Obama kuwa Mmarekani inamaanisha hana roots kutoka Kenya ?

Ofcourse Morocco ni Waarabu, na ni Waislamu sasa kama unadhani uarabu wao unawaondolea uafrika wao that's your prerogative ila according to CAF / FIFA hao ni Africans na katika hii battle of 3 remaining continents nitashukuru kama Europe wakiondoka (Sababu hata Afrika kuongezewa Timu walifanya Figisu)


Damage is done, hizi nadharia hazisaidii kitu, itabidi uhangaike kwenye mitandao ya waafrika uwaaminishe haya unaandika humu, siku zote tulishabikia Misri, Tunisia, na Morocco bila kujali rangi wala dini, ila kwa ubaguzi wenu mumeharibu.
 
Mbona hakuna shida, wawakilishe waarabu au wahindi sijui wabudha ni sawa tu.

Kwani wakisema kwamba huu ushindi ni kwa ajili ya weusi wote wewe utapata sh ngapi?

Ushabiki kwa Misri, Tunisia, na Morocco ndio umezama hivyo, ingia kwenye mitandao ya waafrika wanasheherekea kushondwa Morocco usiku wa leo, tuliishabikia hizo timu miaka yote bila kujali rangi wala dini, mumeharibu kwa ubaguzi wenu huo, hamna mnachokigusa kinabaki salama.
 
Kwa hiyo timu ya kandanda ya Morocco ni dhehebu la kiislam!!?..wewe sijui wanakulawiti!!..una akili za hovyo,hata Kama walisema si ni timu yao,uamuzi wao,siku Italia ikiingia kombe la dunia waambie waseme wanacheza kwa ajili ya kanisa,chuki humtafuna anayeihifadhi,endelea kuchukua uislam na waislam,itakusaidia

Ushabiki kwa Misri, Tunisia, na Morocco ndio umezama hivyo, ingia kwenye mitandao ya waafrika wanasheherekea kushondwa Morocco usiku wa leo, tuliishabikia hizo timu miaka yote bila kujali rangi wala dini, mumeharibu kwa ubaguzi wenu huo, hamna mnachokigusa kinabaki salama.
 
Kwanini kusikalike wakati hata majezi yao yana misalaba na maisha yanaenda?

Ushabiki kwa Misri, Tunisia, na Morocco ndio umezama hivyo, ingia kwenye mitandao ya waafrika wanasheherekea kushondwa Morocco usiku wa leo, tuliishabikia hizo timu miaka yote bila kujali rangi wala dini, mumeharibu kwa ubaguzi wenu huo, hamna mnachokigusa kinabaki salama.
 
Nimesikitika sana leo baada ya Mpira kwisha na Moroco kufungwa hawakusujudu kama kawaida yao. Inaonekana wao wanamshukuru Mola pale wanaposhinda tu. Wakishindwa hawakumbuki kushukuru
Dah sisi waafrika tumeshawakataa, na nyie waislam mnawakataa tena???
Imebaki waarabu tu sasa kuwakataa..
Utasikia Prince wa saudi anasema Morroco sio pure arabs wale ni wahabesh
 
Ushabiki kwa Misri, Tunisia, na Morocco ndio umezama hivyo, ingia kwenye mitandao ya waafrika wanasheherekea kushondwa Morocco usiku wa leo, tuliishabikia hizo timu miaka yote bila kujali rangi wala dini, mumeharibu kwa ubaguzi wenu huo, hamna mnachokigusa kinabaki salama.
Shauri yao..
 
Ushabiki kwa Misri, Tunisia, na Morocco ndio umezama hivyo, ingia kwenye mitandao ya waafrika wanasheherekea kushondwa Morocco usiku wa leo, tuliishabikia hizo timu miaka yote bila kujali rangi wala dini, mumeharibu kwa ubaguzi wenu huo, hamna mnachokigusa kinabaki salama.
Umetembea afrika yote ukathibitisha unayosema!?..jibu swali Morocco ni dhehebu la kiislam!?
 
Umetembea afrika yote ukathibitisha unayosema!?..jibu swali Morocco ni dhehebu la kiislam!?

Dunia imekua kijiji siku hizi, hapa nina uwezo wa kutamba popote pale kwa kubonyeza bonyeza tu, damage is done, mumeharibu what was a good thing, kitu ambacho kilikua kinatuunganisha kwa furaha bila kujali dini.
 
Dunia imekua kijiji siku hizi, hapa nina uwezo wa kutamba popote pale kwa kubonyeza bonyeza tu, damage is done, mumeharibu what was a good thing, kitu ambacho kilikua kinatuunganisha kwa furaha bila kujali dini.
Banda umiza nililokuwepo Morocco tulikua wengi tu
 
Banda umiza nililokuwepo Morocco tulikua wengi tu

Wala hainishangazi maana mlioingiwa na udini na kutetea huo ubaguzi mpo wengi tu, sema kunao waislamu nimeona kwa mara ya kwanza wanalaani huo ujinga wa waarabu kuleta ubaguzi wa kidini kwenye soka la dunia, mchezo ambao hutuleta pamoja bila kujali itikadi, kwa heshima ya hao waislamu wachache, naacha kubishana na wewe, endelea kuogelea kwenye huo ujinga, kawaida yangu nafahamika, ningetiririka na wewe humu mpaka huu uzi uchezee kurasa hata mia, ila nawaheshimu hao wachache, kwaheri.
 
Back
Top Bottom