Allah kaangukia pua hahahaha kwikwikwi. Mliyataka wenyewe.Banda umiza nililokuwepo Morocco tulikua wengi tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Allah kaangukia pua hahahaha kwikwikwi. Mliyataka wenyewe.Banda umiza nililokuwepo Morocco tulikua wengi tu
Allah kaangukia pua hahahaha kwikwikwi.Nimesikitika sana leo baada ya Mpira kwisha na Moroco kufungwa hawakusujudu kama kawaida yao. Inaonekana wao wanamshukuru Mola pale wanaposhinda tu. Wakishindwa hawakumbuki kushukuru
Eti hakuna mnachokigusa kikabaki salama, unaijua rekodi ya timu ya afrika kufika nusu fainali imetafutwa kwa WC ngapi? Kuhusu ubaguzi hata sisi magiza ni wabaguzi kutwa kuchwa tunawaita waarabu huo sio ubaguzi?Ushabiki kwa Misri, Tunisia, na Morocco ndio umezama hivyo, ingia kwenye mitandao ya waafrika wanasheherekea kushondwa Morocco usiku wa leo, tuliishabikia hizo timu miaka yote bila kujali rangi wala dini, mumeharibu kwa ubaguzi wenu huo, hamna mnachokigusa kinabaki salama.
Eti hakuna mnachokigusa kikabaki salama, unaijua rekodi ya timu ya afrika kufika nusu fainali imetafutwa kwa WC ngapi? Kuhusu ubaguzi hata sisi magiza ni wabaguzi kutwa kuchwa tunawaita waarabu huo sio ubaguzi?
Una akili finyu Sana,na utakua mfuasi wa akina mwamposa tu,ndo akili zenu hiziAllah kaangukia pua hahahaha kwikwikwi. Mliyataka wenyewe.
Uliyeona ubaguzi wa kidini ni wewe,sisi tumeona taifa la kiafrika likicheza nusu fainali kwa Mara ya kwanzaWala hainishangazi maana mlioingiwa na udini na kutetea huo ubaguzi mpo wengi tu, sema kunao waislamu nimeona kwa mara ya kwanza wanalaani huo ujinga wa waarabu kuleta ubaguzi wa kidini kwenye soka la dunia, mchezo ambao hutuleta pamoja bila kujali itikadi, kwa heshima ya hao waislamu wachache, naacha kubishana na wewe, endelea kuogelea kwenye huo ujinga, kawaida yangu nafahamika, ningetiririka na wewe humu mpaka huu uzi uchezee kurasa hata mia, ila nawaheshimu hao wachache, kwaheri.
Ubaguzi haupo kwenye rangi bali mentality..., unadhani mimi ni muarabu au muislamu ? mtu anashabikia kitu kutokana na attachment...., now wametoka huko wamerudi huku sitawashabikia nitashabikia east, then central, south, west kabla ya north (nina-identify na wao kuliko northen ambao wana-identify na middle eastern) pia huenda nikashabikia underdogs na huenda nisishabikie Kenya sababu ya ujirani (bragging rights) kwahio utaona kwamba ushabiki una layers tofauti...Damage is done, hizi nadharia hazisaidii kitu, itabidi uhangaike kwenye mitandao ya waafrika uwaaminishe haya unaandika humu, siku zote tulishabikia Misri, Tunisia, na Morocco bila kujali rangi wala dini, ila kwa ubaguzi wenu mumeharibu.
Aaah bana. The imaginary Arab skygod kaangukia pua. Hohoo kwikwikwi huhuuhuu. Kashindwa hata kuwasaidia wapalestina. Bwahaha.Una akili finyu Sana,na utakua mfuasi wa akina mwamposa tu,ndo akili zenu hizi
Aaah bana. The imaginary Arab skygod kaangukia pua. Hohoo kwikwikwi huhuuhuu. Kashindwa hata kuwasaidia wapalestina. Bwahaha.
YESU AKBAR YESUU AKBAAAAARRRRR
NAJIVUNIA MIMI SIYO MUISLAMU
Nahonyo adriz battawi Gavana mjingamimi Kikwajuni One Covax
Aaah bana. The imaginary Arab skygod kaangukia pua. Hohoo kwikwikwi huhuuhuu. Kashindwa hata kuwasaidia wapalestina. Bwahaha.
YESU AKBAR YESUU AKBAAAAARRRRR
NAJIVUNIA MIMI SIYO MUISLAMU
Nahonyo adriz battawi Gavana mjingamimi Kikwajuni One Covax
Allah kaangukia pua jana mechi ua Morocco.Yesu anasemaje?
Yohana 17:3 imeandikwa hivi –
…uzima wa milele ndiyo huu wakujue Mungu wa pekee na Yesu uliyemtuma.
Katika Aya hii Yesu anasema kwamba ili kupata uzima lazima tumjue kwanza Mungu wa pekee na umjue Yesu Kristo aliyetumwa na Mungu, hapa Yesu hasemi lolote kuhusu yeye kuwa nafasi ya pili ya Mungu ila anakiri wazi yeye ametumwa na Mungu mmoja wa pekee.
Luka 2:40 imeandikwa hivi: - .
..Yule mtoto akakua akaongezeka nguvu amejaa hekima na neema ya Mungu ilikua juu yake.
Katika Aya hii tunaambiwa kwamba Yesu alijaa hekima na neema ya Mungu. Tahadhari ufikirie vizuri kwa makini sababu hapa inayonyesha kwamba bila ya Mungu kumpa neema Yesu asingelikuwa na hekima hii inaonyesha wazi Yesu ni kiumbe aliyeteuliwa na Mungu na hii ni kawaida yake Mwenyezi Mungu kwa Mitume na Manabii wake kuwapa neema na hekima.
Allah kaangukia pua jana mechi ua Morocco.
NAJIVUNIA MIMI SIYO MUISLAMU SIJAWAHI NA SITAWAHI
KATIKA YESU LAZIMA TUAMINI NA KUABUDU
JESUS FIRST JESUS FOREVER
JESUS IS GOD (YESU NI MUNGU)
Yesuuu Akbar Yesuuu Akbar Yesuuu aakkkbarr
Unahangaika na punguaniKuna vifungu vingi katika Agano Jipya vinavyokana uungu wa Yesu. Kwa mfano, katika Mathayo 19:17,
Yesu alimjibu yule aliyemtambulisha yeye kama ni “Mwalimu mwema” kwa kusema “Akawaambia, Kwani kuniuliza habari ya wema? Aliye mwema ni mmoja…” Kama Yesu amekataa kuitwa “mwema”, na ameeleza kuwa ni mungu pekee ndiye aliyemwema wa kweli, naye kwa uwazi kabisa ameashiria kuwa yeye si Mungu.
Katika Yohana 14:28, yesu alikuwa anasema:
“Mlisikia ya kwamba mimi niliwaambia, Naenda zangu, tena naja kwenu. Kama mngalinipenda, mngalifurahia kwa sababu naenda kwa Baba; kwa maana Baba ni mkuu kuliko mimi.” Kwa kusema “Baba” ni mkuu kuliko yeye, Yesu amejitenganisha na Mungu.
Pia katika Yohana 20:17, Yesu alimwambia Mariam Magdalene awaambie wafuasi wake:
"Yesu akawaambia, Usinishike, kwa maana sijapaa kwenda kwa Baba. Lakini enenda kwa ndugu zangu ukawaambie, ninapaa kwenda kwa Baba yangu naye ni Baba yenu, kwa Mungu wangu naye ni Mungu wenu.”
Yesu amemwashiria Mungu kuwa ni “Baba yangu na Baba yenu” amesisitiza zaidi, tofauti yake na Mungu.
Zaidi ya hayo, Yesu amemwashiria Mungu kuwa ni “Mungu wake”, hakutoa nafasi kwa yoyote kudai kiujanja ujanja kuwa Yeye Yesu ndiye Mungu.
Endeleeni kujifunza biblia naona wavaakobazi ni wanafunzi wazuri wa injili.Unahangaika na punguani
We shika adabu zako ,achana na Maustadh , eti ujinga unaofanywa na waarabu !, He mjinga nani kati yako wewe na waafrika wenzako msiojua kila kitu nyie waafrika ni kugongwa tu na wazungu kila mechi kisha unataka mwarabu awape nyie ushindi wake kwa sababu tu ya mipaka iliyochorwa na wazungu kwa maslahi yao nonsence!, Wamoroco hawafanani chochote na nyie wasukuma lkn wasaudia na Morocco ni mtoto wa shangazi na mjomba iweje mnajipendekeza kwa wasiowajua ?, Maustadh wana suhubiana na waarabu kwa Uislam wao, hata wamoroco wenyewe wamesema USHINDI WAO NI ZAWADI YA WAARABU WOTE NA WAISLAM WOTE , we hutaki basi tafuna wembe.Kwa hivyo wazungu walio Afrika Kusini watakua sahihi kusema ushindi wowote wao ni kwa ajili ya mataifa ya wazungu, sijui maustadhi huwa mumerogwa na nani hadi kutetea kila ujinga unaofanywa na mwarabu.
We shika adabu zako ,achana na Maustadh , eti ujinga unaofanywa na waarabu !, He mjinga nani kati yako wewe na waafrika wenzako msiojua kila kitu nyie waafrika ni kugongwa tu na wazungu kila mechi kisha unataka mwarabu awape nyie ushindi wake kwa sababu tu ya mipaka iliyochorwa na wazungu kwa maslahi yao nonsence!, Wamoroco hawafanani chochote na nyie wasukuma lkn wasaudia na Morocco ni mtoto wa shangazi na mjomba iweje mnajipendekeza kwa wasiowajua ?, Maustadh wana suhubiana na waarabu kwa Uislam wao, hata wamoroco wenyewe wamesema USHINDI WAO NI ZAWADI YA WAARABU WOTE NA WAISLAM WOTE , we hutaki basi tafuna wembe.