Mfalme wa Saudi Arabia ashukuru Morocco kwa kuwawakilisha waarabu kwenye kombe la dunia

Mfalme wa Saudi Arabia ashukuru Morocco kwa kuwawakilisha waarabu kwenye kombe la dunia

Nimesikitika sana leo baada ya Mpira kwisha na Moroco kufungwa hawakusujudu kama kawaida yao. Inaonekana wao wanamshukuru Mola pale wanaposhinda tu. Wakishindwa hawakumbuki kushukuru
Allah kaangukia pua hahahaha kwikwikwi.
 
Ushabiki kwa Misri, Tunisia, na Morocco ndio umezama hivyo, ingia kwenye mitandao ya waafrika wanasheherekea kushondwa Morocco usiku wa leo, tuliishabikia hizo timu miaka yote bila kujali rangi wala dini, mumeharibu kwa ubaguzi wenu huo, hamna mnachokigusa kinabaki salama.
Eti hakuna mnachokigusa kikabaki salama, unaijua rekodi ya timu ya afrika kufika nusu fainali imetafutwa kwa WC ngapi? Kuhusu ubaguzi hata sisi magiza ni wabaguzi kutwa kuchwa tunawaita waarabu huo sio ubaguzi?
 
Eti hakuna mnachokigusa kikabaki salama, unaijua rekodi ya timu ya afrika kufika nusu fainali imetafutwa kwa WC ngapi? Kuhusu ubaguzi hata sisi magiza ni wabaguzi kutwa kuchwa tunawaita waarabu huo sio ubaguzi?

Ndio maana yangu haswa ya hakuna kizuri mnachokifanya kikabaki kizuri au salama, huwa mumelaaniwa, lazima mtie doa na kuharibu kikawa kichafu hata kuzidi awali.
You just destroyed a very good thing kwa ubaguzi wa kijinga wa kidini....
Miaka yote Tunisia, Misri na Morocco walikua wanahusika kwenye hii michuano, bara lote tulikua tunaungana kuwashabikia bila kuzingatia rangi ya ngozi yao au dini, mlivyo wapumbavu you just had to destroy that....

Mchuano wa kombe la dunia huwa baina ya mataifa kisha unapungua na kuwa ushindani baina ya bara, kwa mfano bara Uropa dhidi ya bara Marekani Kusini au Kaskazini, kila mmoja anavutia bara lake bila kuchomekea udini au asili, Mmarekani mzawa wa Kaskazini mwenye asili ya Scotland au Uingereza anabaki mzalendo wa bara la Marekani kaskazini hata kama mababu zake walitokea Scotland au Uingereza.
 
Wala hainishangazi maana mlioingiwa na udini na kutetea huo ubaguzi mpo wengi tu, sema kunao waislamu nimeona kwa mara ya kwanza wanalaani huo ujinga wa waarabu kuleta ubaguzi wa kidini kwenye soka la dunia, mchezo ambao hutuleta pamoja bila kujali itikadi, kwa heshima ya hao waislamu wachache, naacha kubishana na wewe, endelea kuogelea kwenye huo ujinga, kawaida yangu nafahamika, ningetiririka na wewe humu mpaka huu uzi uchezee kurasa hata mia, ila nawaheshimu hao wachache, kwaheri.
Uliyeona ubaguzi wa kidini ni wewe,sisi tumeona taifa la kiafrika likicheza nusu fainali kwa Mara ya kwanza
 
Damage is done, hizi nadharia hazisaidii kitu, itabidi uhangaike kwenye mitandao ya waafrika uwaaminishe haya unaandika humu, siku zote tulishabikia Misri, Tunisia, na Morocco bila kujali rangi wala dini, ila kwa ubaguzi wenu mumeharibu.
Ubaguzi haupo kwenye rangi bali mentality..., unadhani mimi ni muarabu au muislamu ? mtu anashabikia kitu kutokana na attachment...., now wametoka huko wamerudi huku sitawashabikia nitashabikia east, then central, south, west kabla ya north (nina-identify na wao kuliko northen ambao wana-identify na middle eastern) pia huenda nikashabikia underdogs na huenda nisishabikie Kenya sababu ya ujirani (bragging rights) kwahio utaona kwamba ushabiki una layers tofauti...

Zaidi ya yote I would like to think am bigger than that nashabikia timu kutokana na their style of play ndio maana I have always liked Brazil au Italy ya kina Baggio... Nigeria ya kina Okocha na Morocco ya kina Hadji... Sihitaji mtu anipende sababu kwenye pitch kinachotafutwa ni burudani kwenye 90 minutes na sio yanayofanyika kabla au baada ya hizo dakika

 
Aaah bana. The imaginary Arab skygod kaangukia pua. Hohoo kwikwikwi huhuuhuu. Kashindwa hata kuwasaidia wapalestina. Bwahaha.

YESU AKBAR YESUU AKBAAAAARRRRR

NAJIVUNIA MIMI SIYO MUISLAMU

Nahonyo adriz battawi Gavana mjingamimi Kikwajuni One Covax


Yesu anasemaje?


Yohana 17:3 imeandikwa hivi –

…uzima wa milele ndiyo huu wakujue Mungu wa pekee na Yesu uliyemtuma.
Katika Aya hii Yesu anasema kwamba ili kupata uzima lazima tumjue kwanza Mungu wa pekee na umjue Yesu Kristo aliyetumwa na Mungu, hapa Yesu hasemi lolote kuhusu yeye kuwa nafasi ya pili ya Mungu ila anakiri wazi yeye ametumwa na Mungu mmoja wa pekee.

Luka 2:40 imeandikwa hivi: - .

..Yule mtoto akakua akaongezeka nguvu amejaa hekima na neema ya Mungu ilikua juu yake.

Katika Aya hii tunaambiwa kwamba Yesu alijaa hekima na neema ya Mungu. Tahadhari ufikirie vizuri kwa makini sababu hapa inayonyesha kwamba bila ya Mungu kumpa neema Yesu asingelikuwa na hekima hii inaonyesha wazi Yesu ni kiumbe aliyeteuliwa na Mungu na hii ni kawaida yake Mwenyezi Mungu kwa Mitume na Manabii wake kuwapa neema na hekima.
 
Aaah bana. The imaginary Arab skygod kaangukia pua. Hohoo kwikwikwi huhuuhuu. Kashindwa hata kuwasaidia wapalestina. Bwahaha.

YESU AKBAR YESUU AKBAAAAARRRRR

NAJIVUNIA MIMI SIYO MUISLAMU

Nahonyo adriz battawi Gavana mjingamimi Kikwajuni One Covax

Wanafunzi wa kwanza walimuelewaje Yesu?

Matendo ya Mitume 3:13 imeandikwa hivi…

Mungu wa Ibrahimu na wa Isaka na wa Yakobo, Mungu wa Baba zetu amemtukuza Mtumishi wake Yesu ambaye nyinyi mlimsaliti na kumkana mbele ya Pilato, alipokuwa ametoa hukumu yake ili afunguliwe.

Maneno ya wanafunzi yalikuwa wazi kuwa Yesu ni Mtumishi wa Mungu tu yaani Mtume pia ni Nabii.

Matendo ya Mitume 4:27 imeandikwa hivi…

maana ni kweli Herode na Pontio Pilato pamoja na Mataifa na watu wa Israel walikusanyika katika mji huu juu ya Mtumishi wako Mtakatifu Yesu uliyemtia mafuta.

Wanafunzi wanaendelea na msimamo wao kwamba Yesu ni Mtumishi wa Mungu aliyetumwa (Mtume) tu.

Luka 24:19 imeandikwa: -

Akawauliza mambo gani? Wakamwambia mambo ya Yesu Wanazareti aliyekuwa mtu nabii mwenye uwezo wa kutenda na kusema mbele za Mungu na Wanadamu.

Marko 6:2 imeandikwa: -

Na ilipokuwa Sabato aliingia katika Sinagogi, wengi waliposikia walishangaa wakasema huyu ameyapata wapi haya! Hekima gani hii? Aliyopewa huyu? Nini miujiza hii mikubwa inayotendeka kwa mikono yake? Huyu si ni yule Selemala mwana wa Mariamu na nduguyao Yakobo na Yosef na Yuda na Simoni na Maumbu wake hawapo hapa? (Maana ya Maumbu ni Madada)

Maneno haya yanathibitisha kwamba watu waliomfahamu Yesu walishangaa matendo makubwa anayoyatenda hata hivyo walijua kwamba yeye ni Selemala wa Mwana wa Mariamu tu. Na ni kiumbe mwenye ndugu zake na dada zake, kama watu wengine.

Marko 13:31 tunasoma hivi –

Mbingu na Nchi zitapita lakini maneno yangu hayatapita kamwe. Walakini habari ya siku ile na saa ile hakuna anaye ijua hata malaika wala Mwana (Yesu) ila Baba tu Mungu… hapa Yesu alikua anazungumza habari ya siku ya mwisho alikiri wazi kwamba yeye siku haijui hata Malaika hawajui ila Mungu peke yake.
 
Yesu anasemaje?


Yohana 17:3 imeandikwa hivi –

…uzima wa milele ndiyo huu wakujue Mungu wa pekee na Yesu uliyemtuma.
Katika Aya hii Yesu anasema kwamba ili kupata uzima lazima tumjue kwanza Mungu wa pekee na umjue Yesu Kristo aliyetumwa na Mungu, hapa Yesu hasemi lolote kuhusu yeye kuwa nafasi ya pili ya Mungu ila anakiri wazi yeye ametumwa na Mungu mmoja wa pekee.

Luka 2:40 imeandikwa hivi: - .

..Yule mtoto akakua akaongezeka nguvu amejaa hekima na neema ya Mungu ilikua juu yake.

Katika Aya hii tunaambiwa kwamba Yesu alijaa hekima na neema ya Mungu. Tahadhari ufikirie vizuri kwa makini sababu hapa inayonyesha kwamba bila ya Mungu kumpa neema Yesu asingelikuwa na hekima hii inaonyesha wazi Yesu ni kiumbe aliyeteuliwa na Mungu na hii ni kawaida yake Mwenyezi Mungu kwa Mitume na Manabii wake kuwapa neema na hekima.
Allah kaangukia pua jana mechi ua Morocco.

NAJIVUNIA MIMI SIYO MUISLAMU SIJAWAHI NA SITAWAHI

KATIKA YESU LAZIMA TUAMINI NA KUABUDU

JESUS FIRST JESUS FOREVER

JESUS IS GOD (YESU NI MUNGU)

Yesuuu Akbar Yesuuu Akbar Yesuuu aakkkbarr
 
Allah kaangukia pua jana mechi ua Morocco.

NAJIVUNIA MIMI SIYO MUISLAMU SIJAWAHI NA SITAWAHI

KATIKA YESU LAZIMA TUAMINI NA KUABUDU

JESUS FIRST JESUS FOREVER

JESUS IS GOD (YESU NI MUNGU)

Yesuuu Akbar Yesuuu Akbar Yesuuu aakkkbarr

Kuna vifungu vingi katika Agano Jipya vinavyokana uungu wa Yesu. Kwa mfano, katika Mathayo 19:17,

Yesu alimjibu yule aliyemtambulisha yeye kama ni “Mwalimu mwema” kwa kusema “Akawaambia, Kwani kuniuliza habari ya wema? Aliye mwema ni mmoja…” Kama Yesu amekataa kuitwa “mwema”, na ameeleza kuwa ni mungu pekee ndiye aliyemwema wa kweli, naye kwa uwazi kabisa ameashiria kuwa yeye si Mungu.

Katika Yohana 14:28, yesu alikuwa anasema:

“Mlisikia ya kwamba mimi niliwaambia, Naenda zangu, tena naja kwenu. Kama mngalinipenda, mngalifurahia kwa sababu naenda kwa Baba; kwa maana Baba ni mkuu kuliko mimi.” Kwa kusema “Baba” ni mkuu kuliko yeye, Yesu amejitenganisha na Mungu.

Pia katika Yohana 20:17, Yesu alimwambia Mariam Magdalene awaambie wafuasi wake:

"Yesu akawaambia, Usinishike, kwa maana sijapaa kwenda kwa Baba. Lakini enenda kwa ndugu zangu ukawaambie, ninapaa kwenda kwa Baba yangu naye ni Baba yenu, kwa Mungu wangu naye ni Mungu wenu.”

Yesu amemwashiria Mungu kuwa ni “Baba yangu na Baba yenu” amesisitiza zaidi, tofauti yake na Mungu.

Zaidi ya hayo, Yesu amemwashiria Mungu kuwa ni “Mungu wake”, hakutoa nafasi kwa yoyote kudai kiujanja ujanja kuwa Yeye Yesu ndiye Mungu.
 
Duh !!!!

And they Say its the White Man I should Fear.., But its the Black Man doing all the Killing Here.....

Yaani watu badala ya kuwaza ni vipi Afrika tunaweza kuvuka hapa na kuchukua Kombe watu mnashikana mashati wenyewe kwa wenyewe kwa Dini ambazo zilikuja na Meli wala hazikuwepo hapa....

Kweli kama Taifa tuna Safari Ndefu..., Kama Bara la Afrika tuna Safari ndefu zaidi na kama Binadamu ndio tumepotea kabisa badala ya kupigana na kushirikiana kupambana na koberesha mazingira yetu tupo busy kushikana Uchawi...
 
Kama si mikataba ya kimataifa juu mambo ya ushirikiano wa utamaduni na mambo ya kidiplomasia muarabu aachiwe utamaduni wake wa kiislam ni haki yake abaki nao, waafrika waache kufuata tamaduni za wageni, waafrika wajiamini waache kutawaliwa kitamaduni na ukoloni mkongwe na ukoloni mambo leo
 
Kuna vifungu vingi katika Agano Jipya vinavyokana uungu wa Yesu. Kwa mfano, katika Mathayo 19:17,

Yesu alimjibu yule aliyemtambulisha yeye kama ni “Mwalimu mwema” kwa kusema “Akawaambia, Kwani kuniuliza habari ya wema? Aliye mwema ni mmoja…” Kama Yesu amekataa kuitwa “mwema”, na ameeleza kuwa ni mungu pekee ndiye aliyemwema wa kweli, naye kwa uwazi kabisa ameashiria kuwa yeye si Mungu.

Katika Yohana 14:28, yesu alikuwa anasema:

“Mlisikia ya kwamba mimi niliwaambia, Naenda zangu, tena naja kwenu. Kama mngalinipenda, mngalifurahia kwa sababu naenda kwa Baba; kwa maana Baba ni mkuu kuliko mimi.” Kwa kusema “Baba” ni mkuu kuliko yeye, Yesu amejitenganisha na Mungu.

Pia katika Yohana 20:17, Yesu alimwambia Mariam Magdalene awaambie wafuasi wake:

"Yesu akawaambia, Usinishike, kwa maana sijapaa kwenda kwa Baba. Lakini enenda kwa ndugu zangu ukawaambie, ninapaa kwenda kwa Baba yangu naye ni Baba yenu, kwa Mungu wangu naye ni Mungu wenu.”

Yesu amemwashiria Mungu kuwa ni “Baba yangu na Baba yenu” amesisitiza zaidi, tofauti yake na Mungu.

Zaidi ya hayo, Yesu amemwashiria Mungu kuwa ni “Mungu wake”, hakutoa nafasi kwa yoyote kudai kiujanja ujanja kuwa Yeye Yesu ndiye Mungu.
Unahangaika na punguani
 
Unahangaika na punguani
Endeleeni kujifunza biblia naona wavaakobazi ni wanafunzi wazuri wa injili.

Kuhusu Uungu wa kristo ndio imani kuu ya wakristo..huwezi watenganisha wakristo na imani hiyo.


#MaendeleoHayanaChama
 
Kwa hivyo wazungu walio Afrika Kusini watakua sahihi kusema ushindi wowote wao ni kwa ajili ya mataifa ya wazungu, sijui maustadhi huwa mumerogwa na nani hadi kutetea kila ujinga unaofanywa na mwarabu.
We shika adabu zako ,achana na Maustadh , eti ujinga unaofanywa na waarabu !, He mjinga nani kati yako wewe na waafrika wenzako msiojua kila kitu nyie waafrika ni kugongwa tu na wazungu kila mechi kisha unataka mwarabu awape nyie ushindi wake kwa sababu tu ya mipaka iliyochorwa na wazungu kwa maslahi yao nonsence!, Wamoroco hawafanani chochote na nyie wasukuma lkn wasaudia na Morocco ni mtoto wa shangazi na mjomba iweje mnajipendekeza kwa wasiowajua ?, Maustadh wana suhubiana na waarabu kwa Uislam wao, hata wamoroco wenyewe wamesema USHINDI WAO NI ZAWADI YA WAARABU WOTE NA WAISLAM WOTE , we hutaki basi tafuna wembe.
 
We shika adabu zako ,achana na Maustadh , eti ujinga unaofanywa na waarabu !, He mjinga nani kati yako wewe na waafrika wenzako msiojua kila kitu nyie waafrika ni kugongwa tu na wazungu kila mechi kisha unataka mwarabu awape nyie ushindi wake kwa sababu tu ya mipaka iliyochorwa na wazungu kwa maslahi yao nonsence!, Wamoroco hawafanani chochote na nyie wasukuma lkn wasaudia na Morocco ni mtoto wa shangazi na mjomba iweje mnajipendekeza kwa wasiowajua ?, Maustadh wana suhubiana na waarabu kwa Uislam wao, hata wamoroco wenyewe wamesema USHINDI WAO NI ZAWADI YA WAARABU WOTE NA WAISLAM WOTE , we hutaki basi tafuna wembe.

Ndio maana nilisheherekea sana hao waarabu na waislamu kushindwa, mlipoanza ujinga wa kidini mkaangukia pua kwenye kila kitu, hilo dini lenu huharibu kila kitu, hamna sehemu limefanya chochote kikaisha vizuri.
 
Back
Top Bottom