Mfalme wa Saudi Arabia ashukuru Morocco kwa kuwawakilisha waarabu kwenye kombe la dunia

Mfalme wa Saudi Arabia ashukuru Morocco kwa kuwawakilisha waarabu kwenye kombe la dunia

Juzi mchezaji wa Morocco alisema ushindi wa Morocco ni kwa ajili ya waarabu na nchi za kiislamu, naye mfalme wa Arabia ameshukuru Morocco kwa kuwaakilisha waarabu vyema....

Waafrika tuache makelele haya mambo hayatuhusu, hata maustadhi waarabu wa Bongo ambao hupenda kushobokea waarabu asili wajue kwenye hili hawana cha kujivunia.

Sema najaribu kuwaza hapa timu nyingine ingeshinda na kusema kombe ni kwa ajili ya Wakristo, hivi kungekalika?

RIYADH: Saudi Arabia’s Crown Prince Mohammed bin Salman has sent his best wishes to the Moroccan team after they became the first African nation to make it to the last four of a World Cup.

The Arab team will play France on Wednesday for a place in the World Cup Final in Qatar against either Argentina or Croatia.

Morocco booked their place in the showdown following their historic 1-0 victory over Portugal on Saturday.

And during a telephone call with King Mohammed VI on Monday, the crown prince said the team’s achievement was guaranteed to make every Arab happy.

He wished the Moroccan national team further success in the competition, and King Mohammed thanked him for his warm sentiments.
Ameshindwa kutofautisha inhabitants na ethnicity. Mfano Japanese ni Asians, Indians ni Asians. Hawa wote ni inhabitants wa same continent with different ethnicities.
 
Wale weusi waliokuwepo eneo hilo kabla ya waarabu hao kuvamia eneo hilo ambalo Leo linaitwa Morocco walienda wapi?
Uthibitisho unao kuonesha ilo eneo lilivamiwa na waarab? Mbna watanzania tuna argument za ajab namna hii. Em kaangalie raman uangalie arab land ni ipi na black land ni ipi
 
Kasome historia ya mtakatifu Augustine (bishop of hippo) eneo la kaskazini mwa afrika hasa hasa Algeria ilikuwa dini ya kikatoliki, walivamia na kuchinjwa na yaumn jihad
Ulitegemea bishop of hippo aseme warab walihamia kaskazini mwa Africa kwa aman [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] like serious bro.Pale misri alikuepo firauni na musa wanaasii ya uarabuni hio ni before jesus sas sijui huyo bishop historia kaitoa wap?
 
Leo wanapigwa 3-0 lakin unashabikiaje timu ambayo hain blank hata mmoja, timu ya kiafrika ni France 50,50
 
Tatizo mnawashobokea na hawawendi kabisa...

screenshot_20220731-204338-2-jpg.2310321
Kaka mim ni muislam.Siku ukimsikia mtu anasema waislam jifunzeni uislam muachane na kiingereza muite #mpumbavu. Kweny uislam mungu anasema katuumba mataifa mbalimbali ili tujuane na haya mataifa hutumia lugha mbalimbali,lengo la kujuana litafikiwa vip kama hatujifunzi lugha za mataifa mbalimbali?
 
Iko sawa,
Wana haki ya kuutangaza Uislamu.
Wana haki ya kufurahia timu ya Waarabu kufika nusu fainali ya kombe la dunia toka dunia iumbwe.
Wana haki ya kufurahia kama nchi ya Kiislamu (hata kama hawafuati sharia) kwa mala ya kwanza wanafika nusu fainali.

Slogan yao ya, 'ni ushindi kwa waarabu na waislamu' ni sahihi kabisa.

Ni muda wao muafaka wa kufurahia hiyo rekodi. Leo nawatakia ushindi mnono dhidi ya Ufaransa.

Ni muda wa Waarabu na Waislamu kufurahia mafanikio ya mchezo wa mpira wa miguu.
Upo kwenye hili kundi
IMG_20221212_122746.jpg
 
Sielew kwanini hii imekua big deal em tuwaache kama walivyo. Mbona sikusikia Brazil, Argentina ama Uruguay wakisema they are doing it for their South America?

Kila mtu apambane na taifa lake jamani tuacheni shobo. I wish tungeacha kuongelea hii kitu maana ndio tunawafanya na wao wazidi kutuprovoke zaidi
Bora usiongee kitu kuliko kuongea kauli za kibaguzi
 
Wewe mbona inashobokea NATO na USA ni wazungu wenzio?au kwa vile kochoma wenzio?
 
Mnataka waseme wao sio waarabu? Ni waarabu and Africans simultaneously, can be proud of both, nothing wrong with that.
 
Hakusema umoja wa waarabu, alisema waarabu na waislamu, acheni kutetea uharo wa waarabu hadi lugha

screenshot_20220731-204338-2-jpg.2310321
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nakujub ya mwisho. Mfalme kuwapongeza wamorocco kama warab sio kosa sabab Morocco ni warab kiasil na wapo kweny umoja wa kiarab.Pia rais wa Nigeria yuko sawa kuwapongeza wamorocco sabab ni waafrica kijiografia.Pia Shakira hana kosa kuwapongeza sabab tupo kweny dunia moja.Inshu ya uislam sijaiskia kweny interview ya yule mchezaji wala kweny maneno ya mfalme though muislam yoyote yule anahaki kuwapongeza wamorocco waislam pia wakristo mnahaki kuwapongeza wamorocco wakristo kama wapo.
 
Juzi mchezaji wa Morocco alisema ushindi wa Morocco ni kwa ajili ya waarabu na nchi za kiislamu, naye mfalme wa Arabia ameshukuru Morocco kwa kuwaakilisha waarabu vyema....

Waafrika tuache makelele haya mambo hayatuhusu, hata maustadhi waarabu wa Bongo ambao hupenda kushobokea waarabu asili wajue kwenye hili hawana cha kujivunia.

Sema najaribu kuwaza hapa timu nyingine ingeshinda na kusema kombe ni kwa ajili ya Wakristo, hivi kungekalika?

RIYADH: Saudi Arabia’s Crown Prince Mohammed bin Salman has sent his best wishes to the Moroccan team after they became the first African nation to make it to the last four of a World Cup.

The Arab team will play France on Wednesday for a place in the World Cup Final in Qatar against either Argentina or Croatia.

Morocco booked their place in the showdown following their historic 1-0 victory over Portugal on Saturday.

And during a telephone call with King Mohammed VI on Monday, the crown prince said the team’s achievement was guaranteed to make every Arab happy.

He wished the Moroccan national team further success in the competition, and King Mohammed thanked him for his warm sentiments.
Mbona hakuna shida, wawakilishe waarabu au wahindi sijui wabudha ni sawa tu.

Kwani wakisema kwamba huu ushindi ni kwa ajili ya weusi wote wewe utapata sh ngapi?
 
Hajawahi kuibuka hata mzungu mmoja akasema kombe la dunia analisaka kwa ajili ya mataifa ya wazungu na Ukristo, mumerogwa kwenye hiyo dini yenu mpaka mnashobokea kila uharo wa mwarabu....kwanza huyo mwarabu huwaona kama mbwa mnaoshobokea dini yake, hebu ona hili tamko lao...

screenshot_20220521-114037_gallery-jpg.2240761
Kwa hiyo timu ya kandanda ya Morocco ni dhehebu la kiislam!!?..wewe sijui wanakulawiti!!..una akili za hovyo,hata Kama walisema si ni timu yao,uamuzi wao,siku Italia ikiingia kombe la dunia waambie waseme wanacheza kwa ajili ya kanisa,chuki humtafuna anayeihifadhi,endelea kuchukua uislam na waislam,itakusaidia
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nakujub ya mwisho. Mfalme kuwapongeza wamorocco kama warab sio kosa sabab Morocco ni warab kiasil na wapo kweny umoja wa kiarab.Pia rais wa Nigeria yuko sawa kuwapongeza wamorocco sabab ni waafrica kijiografia.Pia Shakira hana kosa kuwapongeza sabab tupo kweny dunia moja.Inshu ya uislam sijaiskia kweny interview ya yule mchezaji wala kweny maneno ya mfalme though muislam yoyote yule anahaki kuwapongeza wamorocco waislam pia wakristo mnahaki kuwapongeza wamorocco wakristo kama wapo.
Ni maneno ya busara umesema...

Lakini kinachonitatiza ni kuwa kwanini mnaotetea hawa waarabu ni waislam??
Nyie sio waafrika? Au dini kwanza?
Akisema mkristo hayo maneno kidogo kwangu itamake sense.
 
Juzi mchezaji wa Morocco alisema ushindi wa Morocco ni kwa ajili ya waarabu na nchi za kiislamu, naye mfalme wa Arabia ameshukuru Morocco kwa kuwaakilisha waarabu vyema....

Waafrika tuache makelele haya mambo hayatuhusu, hata maustadhi waarabu wa Bongo ambao hupenda kushobokea waarabu asili wajue kwenye hili hawana cha kujivunia.

Sema najaribu kuwaza hapa timu nyingine ingeshinda na kusema kombe ni kwa ajili ya Wakristo, hivi kungekalika?

RIYADH: Saudi Arabia’s Crown Prince Mohammed bin Salman has sent his best wishes to the Moroccan team after they became the first African nation to make it to the last four of a World Cup.

The Arab team will play France on Wednesday for a place in the World Cup Final in Qatar against either Argentina or Croatia.

Morocco booked their place in the showdown following their historic 1-0 victory over Portugal on Saturday.

And during a telephone call with King Mohammed VI on Monday, the crown prince said the team’s achievement was guaranteed to make every Arab happy.

He wished the Moroccan national team further success in the competition, and King Mohammed thanked him for his warm sentiments.
the first African nation to make it... mfalme anaiwakilisha Afrika... Unajua Lugha ya Malkia???
 
Mimi mwarabu wa Nawatakia wamorocow wote leo wapate kipigo cha Mbwa Mwizi.
 
Ni maneno ya busara umesema...

Lakini kinachonitatiza ni kuwa kwanini mnaotetea hawa waarabu ni waislam??
Nyie sio waafrika? Au dini kwanza?
Akisema mkristo hayo maneno kidogo kwangu itamake sense.
Sijui wengne wanatetea kwa misingi ipi ila mimi natetea kwa sabab zifuatazo:

•UPOTOSHAJI,uislam unachafuliwa kwa kupotosha hii taarifa.

•UMOJA,nataman siku moja Brazil waipongeze Tanzania kwa kigezo tu cha "Hawa ni binadam wenzet".Matamanio haya hayatotokea kama tukilazmisha kupongezan kimabara. Hili jambo sio kubwa ni vile tumeshindwa kuzishirikisha halmashauri za bongo zetu vizur,kwann Rais wa Nigeria [If am not mistaken] alivowapongeza wamorocco haijawa nogwa why nogwa imekuja after mwanamfalme wa saudia kuwapongeza .Upongezaji mseto namna hii ndo unafaa, upongezaji kutoka sehem tofaut tofaut. Tunalalamika tafkir watu kutoka mabara mengine hawana haki ya kuwapongeza wamorocco. Kwa ilichofanya Morocco inapaswa kupongezwa na dunia nzima mpka yule atakae beba kombe, sabab ni history wameandika na wametuheshimisha waafrica wamewaheshimisha waarabu pia wamedumisha utaratibu wa kiulimwengu kweny swala la football. ACHA WARABU WAWAPONGEZE SABABU NI WAARABU NA SIS WAAFRICA TUWAPONGEZE SABABU NI WAAFRICA [emoji120]
 
Sijui wengne wanatetea kwa misingi ipi ila mimi natetea kwa sabab zifuatazo:

•UPOTOSHAJI,uislam unachafuliwa kwa kupotosha hii taarifa.

•UMOJA,nataman siku moja Brazil waipongeze Tanzania kwa kigezo tu cha "Hawa ni binadam wenzet".Matamanio haya hayatotokea kama tukilazmisha kupongezan kimabara. Hili jambo sio kubwa ni vile tumeshindwa kuzishirikisha halmashauri za bongo zetu vizur,kwann Rais wa Nigeria [If am not mistaken] alivowapongeza wamorocco haijawa nogwa why nogwa imekuja after mwanamfalme wa saudia kuwapongeza .Upongezaji mseto namna hii ndo unafaa, upongezaji kutoka sehem tofaut tofaut. Tunalalamika tafkir watu kutoka mabara mengine hawana haki ya kuwapongeza wamorocco. Kwa ilichofanya Morocco inapaswa kupongezwa na dunia nzima mpka yule atakae beba kombe, sabab ni history wameandika na wametuheshimisha waafrica wamewaheshimisha waarabu pia wamedumisha utaratibu wa kiulimwengu kweny swala la football. ACHA WARABU WAWAPONGEZE SABABU NI WAARABU NA SIS WAAFRICA TUWAPONGEZE SABABU NI WAAFRICA [emoji120]
Uislam unachafuliwaje hapo?

Halafu ujue context matters.
Huyu Prince kusema hayo maneno ingekuwa haina shida kama Wamorroco wenyewe kina Boufal wasingesema kuwa huu ushindi hauwahusu waafrika.

Ni sawa na Ufaransa inavyoshabikiwa na Waafrika.
Assume siku moja Mbappe aseme Ushindi wa Ufaransa hauhusu bara la ulaya ila ni kwa ajili ya waafrika tu.

Lazima wazungu wange feel some type of way.
 
Juzi mchezaji wa Morocco alisema ushindi wa Morocco ni kwa ajili ya waarabu na nchi za kiislamu, naye mfalme wa Arabia ameshukuru Morocco kwa kuwaakilisha waarabu vyema....

Waafrika tuache makelele haya mambo hayatuhusu, hata maustadhi waarabu wa Bongo ambao hupenda kushobokea waarabu asili wajue kwenye hili hawana cha kujivunia.

Sema najaribu kuwaza hapa timu nyingine ingeshinda na kusema kombe ni kwa ajili ya Wakristo, hivi kungekalika?

RIYADH: Saudi Arabia’s Crown Prince Mohammed bin Salman has sent his best wishes to the Moroccan team after they became the first African nation to make it to the last four of a World Cup.

The Arab team will play France on Wednesday for a place in the World Cup Final in Qatar against either Argentina or Croatia.

Morocco booked their place in the showdown following their historic 1-0 victory over Portugal on Saturday.

And during a telephone call with King Mohammed VI on Monday, the crown prince said the team’s achievement was guaranteed to make every Arab happy.

He wished the Moroccan national team further success in the competition, and King Mohammed thanked him for his warm sentiments.
Kwanini kusikalike wakati hata majezi yao yana misalaba na maisha yanaenda?
 
Back
Top Bottom