Mfalme Zumaridi aachiliwa huru, amwaga uno mbele ya waumini

Mfalme Zumaridi aachiliwa huru, amwaga uno mbele ya waumini

Diana Bundala maarufu kama Mfalme Zumaridi ameachiwa huru leo Februari 18 baada ya kumaliza kifungo chake cha mwaka mmoja katika gereza kuu la Butimba, ambapo mahakama iliamuru atumikie mwezi mmoja gerezani baada ya kukaa mahabusu miezi 11.

Credit: East Africa Radio

View attachment 2521594
View attachment 2521604

Kuna wanaume hapo wana wake na watoto wanashabiki huu upumbavu
 
hapo alipo ana nyege hatariii..inabidi wahuni wahuko waandae na misasa laini[emoji28][emoji28][emoji28]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] natamani nikutane nae nimsugue na msasa wa jang'ombe
 
Diana Bundala maarufu kama Mfalme Zumaridi ameachiwa huru leo Februari 18 baada ya kumaliza kifungo chake cha mwaka mmoja katika gereza kuu la Butimba, ambapo mahakama iliamuru atumikie mwezi mmoja gerezani baada ya kukaa mahabusu miezi 11.

Credit: East Africa Radio

View attachment 2521594
View attachment 2521604
Naona kuna wanaume wana ndevu kabisa wanamshangilia na ni wafuasi wake 🤣🤣🤣
 
Kwa hiyo kazi inaendelea?
Maana najua kondoo wake walishatawanyika ana jukumu kubwa la kuwakusanya
 
Diana Bundala maarufu kama Mfalme Zumaridi ameachiwa huru leo Februari 18 baada ya kumaliza kifungo chake cha mwaka mmoja katika gereza kuu la Butimba, ambapo mahakama iliamuru atumikie mwezi mmoja gerezani baada ya kukaa mahabusu miezi 11.

Credit: East Africa Radio

View attachment 2521594
View attachment 2521604
Du! Ila baadhi ya watanzania ni majitu ya ovyo sana. Ona wanavyomshangilia!! 😳 🙄
 
Diana Bundala maarufu kama Mfalme Zumaridi ameachiwa huru leo Februari 18 baada ya kumaliza kifungo chake cha mwaka mmoja katika gereza kuu la Butimba, ambapo mahakama iliamuru atumikie mwezi mmoja gerezani baada ya kukaa mahabusu miezi 11.

Credit: East Africa Radio

View attachment 2521594
View attachment 2521604
Jamani, hakuna kitu cha kijinga duniani kama dini
 
Diana Bundala maarufu kama Mfalme Zumaridi ameachiwa huru leo Februari 18 baada ya kumaliza kifungo chake cha mwaka mmoja katika gereza kuu la Butimba, ambapo mahakama iliamuru atumikie mwezi mmoja gerezani baada ya kukaa mahabusu miezi 11.

Credit: East Africa Radio

View attachment 2521594
View attachment 2521604
Hizi ni nyakati za mwisho. Shetani ana nguvu sana. Kila mmoja achukue tahadhari kivyake. Wanaoendelea kupotea na kumtumikia shetani kwa nguvu zote, waacheni wapotee kwa kukosa maarifa.
 
Wewe ulisikia wapi mfalme akawa na mume??, angekuwa Malkia hapo sawa ungeuliza hilo swali.

Huyo ni mfalme Zumaridi atakuwa anao "wake" (Mamalkia) 🤣🤣
Hawa ndo wale wa slavely matrons
 
Watu wa ivi hua nawapa heshima
Mmama kutongoza wanaume na wanawake wengi ivo ukawashika akili inahitaji akili kubwa
Sisi mwanamke mmoja tu mkurugenzi tunachelea kumwimbisha akae kundini ummiliki
 
Back
Top Bottom