BodGanleonid
JF-Expert Member
- Nov 14, 2022
- 3,021
- 4,330
Asingekuwa na hatia ingekuwa ni uonevu kweli.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo miezi aliyokaa rumande imejuishwa ktk mwaka mmoja aliohukumia ?mimi sio mtaalam wa sheriaBila shaka wewe ni Kerubi.
Huyo mama alikutwa na hatia akafungwa kifungo cha mwaka mmoja. Hukumu yake ilisomwa mwezi uliopita, ametoka jela leo kwasababu alikua tayari ameshasota butimba kwa miezi 11.
Kwahiyo hakuna uonevu wala udhalilishaji wa huyo mfalme wenu.
Mfalme gan wa kike?Leo ni siku njema,hatimaye shetani na wafuasi wake wamepatwa na aibu,mfalme katoka sasa tunaanza pale tulipo ishia kwa nguvu na ari zaidi. live long mfalme zumaridi.
🤣🤣🤣😂😂🤣🤣😂Mfalme gan wa kike?
Sasa unamlinganisha huyu na yale magaidi ya uamsho?Usanii tu, umeona wapi wa huko wakafungwa? Au hata kukaa tu rumande angalau miaka nane?
Double standard
Haya mambo ya uonevu uonevu yamezidi sana huyu mama walimkamata na kumbambikizia makesi kibao leo hii ashasota gerezani ndo wanamuachia
Hawajui ni kwa kiasi gani amepata hasara?Hawajui ni kwa kiasi gani mmemuharibia maisha yake?
Tanzania tuna uhuru wa kuabudu kila kitu ana ruhusa ya kuabudu anavyotaka, tatizo ni wivu tu inawezekana kuna vigogo au watu wa kwenye usalama waliokua wanataka pesa zake au kuona anapata fungu kubwa ndo wakaona hawapeww wakaona wambambikizie kesi
Wameshamdhalilisha sana, jee serikali imepata nini?Sijui tunatengeneza taifa gani la uonevu uonetu tu...Huu ni wakati wa yeye kulipwa fidia kwa kudhalilishwa na kusoteshwa magerezani na rumande ilhali hakua na hatia
My take:Wafia dini watakuja kutukana kwenye huu uzi tafadhali pita kushoto
Mungu anakamatwaje kizembe vile mitume akina Petro na akina Paulo walipokamatwa milango ilikuwa ikifungua.Ioa ndipo unapogundua wakati.mwingine binadamu ni Mbumbumbu wa kurupwa.Mtu anajiita mungu,lakini kakamatwa kawwkwa mahabusu,mahakama imemhukumu.Alafu kifungo kimeisha.Na kuna watu wanamini ni mungu wao.Du
Wewe mwenyewe ni shetani sema hujijui, kubishana na maumbile ya Mungu, ni ushetani. Dunia mzima inajua hakuna mfalme mwanamke, bali kuna malkia ila Zumaridi anatumia utambulisho wakiume huku akiwa mwanamke, alafu mnamuita mtu wa Mungu.Leo ni siku njema,hatimaye shetani na wafuasi wake wamepatwa na aibu,mfalme katoka sasa tunaanza pale tulipo ishia kwa nguvu na ari zaidi. live long mfalme zumaridi.
Umemkosea sana kiongozi wakiroho na waumini wakeMtu na kakaake aliyesuka
Hahaha eti ewe mtu..Unataka nini na "mfalme" Zumaridi ewe mtu?
Mfalme na mkongo wapi na wapi?Kwa uno lile alikuwa analikata adharani
Vijana wawe na mkongo wa kutosha
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Mfalme gan wa kike?
Ashukuru kanenepea magereza mpka nyonyo imenenepaDiana Bundala maarufu kama Mfalme Zumaridi ameachiwa huru leo Februari 18 baada ya kumaliza kifungo chake cha mwaka mmoja katika gereza kuu la Butimba, ambapo mahakama iliamuru atumikie mwezi mmoja gerezani baada ya kukaa mahabusu miezi 11.
Credit: East Africa Radio
View attachment 2521594
View attachment 2521604