Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
"Mfalme" huwa hawazi hayo!😜😜😜😜hapana nauliza tu maana amekaa gerezani muda, hivyo familia ina haki ya ujio wake especiallyt mume wake na watoto
Kwa Mauno aliyoyakata yaonyesha hata Huduma Tamu ya Kibaiolojia ataitoa pia pale ikihitajika.Huduma itaendelea au imesitishwa?
Hahaha kuna watu ukali wa nyota zao sijui wamebust na kitu gani huko[emoji23]Diana Bundala maarufu kama Mfalme Zumaridi ameachiwa huru leo Februari 18 baada ya kumaliza kifungo chake cha mwaka mmoja katika gereza kuu la Butimba, ambapo mahakama iliamuru atumikie mwezi mmoja gerezani baada ya kukaa mahabusu miezi 11.
Credit: East Africa Radio
View attachment 2521594
View attachment 2521604
Mtu na kakaake aliyesuka
Mm! Hajambo kwa kukata viuno vya vigodoro.Diana Bundala maarufu kama Mfalme Zumaridi ameachiwa huru leo Februari 18 baada ya kumaliza kifungo chake cha mwaka mmoja katika gereza kuu la Butimba, ambapo mahakama iliamuru atumikie mwezi mmoja gerezani baada ya kukaa mahabusu miezi 11.
Credit: East Africa Radio
View attachment 2521594
View attachment 2521604
Mi nikajua waumini walimwombea mpaka Kuta za gereza zikafungukaDiana Bundala maarufu kama Mfalme Zumaridi ameachiwa huru leo Februari 18 baada ya kumaliza kifungo chake cha mwaka mmoja katika gereza kuu la Butimba, ambapo mahakama iliamuru atumikie mwezi mmoja gerezani baada ya kukaa mahabusu miezi 11.
Credit: East Africa Radio
View attachment 2521594
View attachment 2521604
Ukipewa habari unakasirika sasa matusi ya niniSura kama ngozi ya goti.
Kumbe Magereza pazuri, naona kanawiri [emoji1]Diana Bundala maarufu kama Mfalme Zumaridi ameachiwa huru leo Februari 18 baada ya kumaliza kifungo chake cha mwaka mmoja katika gereza kuu la Butimba, ambapo mahakama iliamuru atumikie mwezi mmoja gerezani baada ya kukaa mahabusu miezi 11.
Credit: East Africa Radio
View attachment 2521594
View attachment 2521604