BodGanleonid
JF-Expert Member
- Nov 14, 2022
- 3,021
- 4,330
Sura pana kama ndala za guest.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sura pana kama ndala za guest.
Kwangu hiyo habari si chochote labda kwako mfuasi wake.Ukipewa habari unakasirika sasa matusi ya nini
Duh!! hata mwezi mmoja bado toka ahukumiwe kutumikia mwaka mmoja jela keshatoka jela!!!Diana Bundala maarufu kama Mfalme Zumaridi ameachiwa huru leo Februari 18 baada ya kumaliza kifungo chake cha mwaka mmoja katika gereza kuu la Butimba, ambapo mahakama iliamuru atumikie mwezi mmoja gerezani baada ya kukaa mahabusu miezi 11.
Credit: East Africa Radio
View attachment 2521594
View attachment 2521604
Gerezani ngono za jinsia moja ndiyo kwake hawezi kuwa na kiu kama vile alikuwa jangwani.hapo alipo ana nyege hatariii..inabidi wahuni wahuko waandae na misasa laini😅😅😅
Daah....Diana Bundala maarufu kama Mfalme Zumaridi ameachiwa huru leo Februari 18 baada ya kumaliza kifungo chake cha mwaka mmoja katika gereza kuu la Butimba, ambapo mahakama iliamuru atumikie mwezi mmoja gerezani baada ya kukaa mahabusu miezi 11.
Credit: East Africa Radio
View attachment 2521594
View attachment 2521604
Wajinga ndiyo waliwao,Diana Bundala maarufu kama Mfalme Zumaridi ameachiwa huru leo Februari 18 baada ya kumaliza kifungo chake cha mwaka mmoja katika gereza kuu la Butimba, ambapo mahakama iliamuru atumikie mwezi mmoja gerezani baada ya kukaa mahabusu miezi 11.
Credit: East Africa Radio
View attachment 2521594
View attachment 2521604
Wadau nataka nimuoe zumaridi
Wewe ulisema mama ameleta neema kuna haki sana siku hizi imekuwaje tenaHaya mambo ya uonevu uonevu yamezidi sana huyu mama walimkamata na kumbambikizia makesi kibao leo hii ashasota gerezani ndo wanamuachia
Hawajui ni kwa kiasi gani amepata hasara?Hawajui ni kwa kiasi gani mmemuharibia maisha yake?
Tanzania tuna uhuru wa kuabudu kila kitu ana ruhusa ya kuabudu anavyotaka, tatizo ni wivu tu inawezekana kuna vigogo au watu wa kwenye usalama waliokua wanataka pesa zake au kuona anapata fungu kubwa ndo wakaona hawapeww wakaona wambambikizie kesi
Wameshamdhalilisha sana, jee serikali imepata nini?Sijui tunatengeneza taifa gani la uonevu uonetu tu...Huu ni wakati wa yeye kulipwa fidia kwa kudhalilishwa na kusoteshwa magerezani na rumande ilhali hakua na hatia
My take:Wafia dini watakuja kutukana kwenye huu uzi tafadhali pita kushoto